-
Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi
Jan 26, 2021 11:55Bunge la Canada limeitaka serikali ya nchi hiyo liliweke rasmi genge la wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na wafuasi sugu wa aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump katika orodha ya magenge ya kigaidi kama vile al-Qaeda na ISIS (Daesh).
-
Russia kuwasilisha kimataifa malalamiko ya uingiliaji wa Marekani katika masuala yake ya ndani
Jan 26, 2021 11:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa hivi karibuni Moscow itawasilisha rasmi malalamiko yake kuhusu usambazwaji wa habari bandia na za ugaidi unaofanywa na mitandao ya intaneti ya Marekani.
-
Amir Abdolahian: Uhusiano wa Iran, China na Russia ni wa kiistratijia
Jan 26, 2021 11:10Mshauri Mkuu wa wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, uhusiano wa Tehran, Beijing na Moscow ni wa kiistratijia na kuongeza kuwa, uhusiano na nchi za dunia ambazo zilikuwa pamoja na wananchi wa Iran wakati wa hali ngumu umejengeka juu ya msingi na stratijia ya urafiki, ushirikiano na kuheshimiana.
-
9 wauawa katika mpaka wa Kenya na Somalia, AU yatoa kauli
Jan 26, 2021 10:58Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema amani katika mpaka wa Kenya na Somalia ni jambo muhimu kwa ajili ya uthabiti wa eneo zima la Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika.
-
Misri yawaweka viongozi 50 wa Ikhwanul Muslimin katika orodha ya magaidi
Jan 26, 2021 10:55Mahakama nchini Misri imewaweka viongozi 50 wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo katika orodha ya magaidi.
Chaguo La Mhariri
-
Kushadidi malalamiko ya wananchi nchini Sudan13 hours ago
-
Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq1 day ago
-
Rwanda yaanza kugawa chakula kwa wananchi waliothirika na karantini ya Corona +SAUTI1 day ago
-
Serikali ya Uganda yatakiwa kuzingatia maslahi ya vijana +SAUTI1 day ago
-
Kuendelea machafuko nchini Tunisia2 days ago
-
Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya2 days ago
-
Matamshi yenye mgongano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia kuhusu vita vya Yemen3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
-
Uturuki kutuma jeshi Afrika Magharibi baada ya meli yake kutekwa nyara
-
Mkuu wa majeshi Uhispania ajiuzulu kwa kudunga chanjo ya corona bila kuwemo kwenye orodha
-
Kamanda: Iran inafuatilia kwa karibu harakati zote za adui
-
Dozi zaidi ya milioni 16 za chanjo ya corona kuingizwa nchini Iran hivi karibuni
-
Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi
-
Wamarekani wakatishwa tamaa na chanjo ya corona ya Pfizer
-
Kremlin yakosoa uingiliaji kati wa Marekani katika maandamano huko Russia
-
Saudia yashambulia mara 13 ndani ya siku moja mikoa ya Sa'dah na Ma'rib nchini Yemen
-
9 wauawa katika mpaka wa Kenya na Somalia, AU yatoa kauli
-
Russia kuwasilisha kimataifa malalamiko ya uingiliaji wa Marekani katika masuala yake ya ndani

Kushadidi malalamiko ya wananchi nchini Sudan
Sambamba na kushadidi matatizo ya kiuchumi nchini Sudan, wananchi wa nchi hiyo wameanza tena kufanya maandamano wakilalamikia hali hiyo.

Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq
Jana Jumatatu, Januari 25, 2021, Brigedia Jenerali Yahya Rasoul, msemaji wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iraq alizungumzia ushahidi mpya uliopatikana kuhusu mashambulio ya hivi karibuni ya mjini Baghdad na kusema kuwa, hadi hivi sasa vikosi vya usalama vya Iraq vimefanikiwa kuzima majaribio kadhaa makubwa ya kujiripua kwa mabomu katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.

Kuendelea machafuko nchini Tunisia
Licha ya kupita takriban muongo mzima tangu yalipotokea mapinduzi ya wananchi wa Tunisia na kuchochea mapinduzi mengine katika nchi kadhaa za ulimwengu wa Kiarabu, lakini bado wananchi wa nchi hiyo wanalalamikia matatizo mengi ya kijamii na kisiasa nchini mwao.

Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya
Licha ya kuongezeka kila siku hitilafu baina ya Uturuki na Umoja wa Ulaya lakini bado viongozi wa Ankara wanafuatilia juhudi za kupewa uanachama katika umoja huo.
-
Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya2 days ago
-
UN yakaribisha kuanza kutekelezwa mkataba unaopiga marufuku silaha za nyuklia
-
Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria
-
Urais wa Biden waanza katika kivuli cha migogoro
-
Utawala wa Trump waendelea kutekeleza siasa zilizofeli dhidi ya Iran
-
Uhasama usio na mwisho wa Marekani dhidi ya Hashdu Shaabi
-
Trump; maafa na msiba kwa haki za binadamu
-
Marekani yakataa ombi la Umoja wa Mataifa la kuitaka ifutilie mbali vikwazo dhidi ya Ansarullah
-
Ombi jipya la Uturuki kujiunga na Umoja wa Ulaya
-
Mjadala wa kumfuta kazi Trump wafanyika katika Congress ya Marekani
-
Twitter ya Zarif kwa Biden; chaguo la msingi la imma kuendeleza siasa zilizofeli au kurejea katika njia ya amani na utulivu3 days ago
-
Iran yakaribisha wito wa kufanyika mazungumzo kwa ajili ya kuleta amani na maelewano katika eneo
-
Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani
-
Tehran mwenyeji wa mkutano kwa njia ya video wa mabunge yanayounga mkono Quds na Palestina
-
Maneva ya 15 ya Mtume Mtukufu (SAW); dhihirisho la nguvu ya makombora na ndege zisizo na rubani
-
Ukwamishaji mpya wa Marekani dhidi ya juhudi za Iran za kupambana na virusi vya corona
-
Mantiki yenye nguvu ya Iran katika kulinda usalama na kukabiliana na vitisho
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; fedheha ya kidemokrasia ya Marekani na mustakabali wa JCPOA
-
Mazoezi makubwa ya ndege zisizo na rubani ya Iran na uwezo wa kujilinda
-
Kukosoa ripota wa Umoja wa Mataifa hatua isiyo ya kisheria ya Marekani ya kumuua Qassim Suleimani
-
Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq1 day ago
-
Matamshi yenye mgongano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia kuhusu vita vya Yemen
-
Januari 21; siku ya umwagaji mkubwa wa damu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad
-
Radiamali na sababu za pendekezo la kuakhirishwa uchaguzi wa bunge nchini Iraq
-
Ishara za mabadiliko katika siasa za kieneo za Saudi Arabia
-
Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen
-
Wapalestina wakaribisha tangazo la tarehe ya kufanyika uchaguzi mkuu
-
Mabadiliko katika stratijia ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi
-
Nukta muhimu katika hotuba ya Sayyid Hassan Nasrallah
-
Malengo ya safari ya ghafla ya Saad Hariri nchini Uturuki

Kushadidi malalamiko ya wananchi nchini Sudan
Sambamba na kushadidi matatizo ya kiuchumi nchini Sudan, wananchi wa nchi hiyo wameanza tena kufanya maandamano wakilalamikia hali hiyo.

Rwanda yaanza kugawa chakula kwa wananchi waliothirika na karantini ya Corona +SAUTI
Wakati wakazi wa mji mkuu wa Rwanda Kigali wakiingia juma la pili la zuio la kutotoka nje katika hatua ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona, serikali ya nchi hiyo imeanza zoezi la mgawo wa vyakula kwa wananchi walioathiriwa kutokana na kupoteza vyanzo vyao vya mapato.

Serikali ya Uganda yatakiwa kuzingatia maslahi ya vijana +SAUTI
Viongozi wa vikundi vya vijana nchini Uganda wameitaka serikali ya nchi hiyo kuzingatia maslahi ya vijana wote badala ya kuwaita kila mara kwamba, wao ni viongozi wa kesho.

Kuendelea machafuko nchini Tunisia
Licha ya kupita takriban muongo mzima tangu yalipotokea mapinduzi ya wananchi wa Tunisia na kuchochea mapinduzi mengine katika nchi kadhaa za ulimwengu wa Kiarabu, lakini bado wananchi wa nchi hiyo wanalalamikia matatizo mengi ya kijamii na kisiasa nchini mwao.
-
Wananchi wa Sudan waandamana kupinga uhusiano na Israel + Video9 days ago
-
Jeshi la Iran la IRGC lafanya majaribio makubwa ya makombora mapya11 days ago
-
Iran Yazindua kituo kikubwa cha chini ya ardhi cha makombora Ghuba ya Uajemi + VIDEO19 days ago
-
Iran imepata mafanikio ya kipekee katika uzalishaji droni + Video22 days ago