-
Televisheni ya Kizayuni: Israel kuchukua hatua dhidi ya Iran ni vitisho vya maneno tu
May 21, 2022 12:31Televisheni ya Kizayuni ya Kan 11 imesema, madai yote yanayotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwmba utachukua hatua dhidi ya Iran ni vitisho vya maneno matupu.
-
Askari laki moja wa Marekani kubaki Ulaya kwa kisingizio cha "kitisho cha Russia"
May 21, 2022 12:30Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa kuna uwezekano askari laki moja wa jeshi la nchi hiyo wakabaki barani Ulaya kwa ajili ya kukabiliana na kitisho cha Russia.
-
UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame
May 21, 2022 12:30Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.
-
Wanaharakati wa asasi za kiraia Korea Kusini waandamana kupinga safari ya Biden
May 21, 2022 12:29Baadhi ya wanaharakati wa asasi mashuhuri za kiraia nchini Korea Kusini wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo Seoul kupinga safari ya Rais Joe Biden wa Marekani nchini humo.
-
Askari 11 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi Burkina Faso
May 21, 2022 12:29Wanajeshi 11 wa Burkina Faso wameuawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi iliyoko mkoani Kompienga mashariki mwa nchi hiyo.
Chaguo La Mhariri
-
Mwaka mmoja baada ya Vita vya Seif al-Quds12 hours ago
-
Uungaji mkono wa Iran kwa hatua za Umoja wa Mataifa katika kukabiliana na mgogoro wa chakula duniani19 hours ago
-
Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah2 days ago
-
Wahindu wenye misimamo mikali wateketeza moto msikiti India2 days ago
-
Sisitizo la Ripota Maalumu wa UN kuwa vikwazo ni kinyume cha sheria; kashfa nyingine kwa Marekani2 days ago
-
Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi3 days ago
-
Njama za Magharibi za kuanzisha NATO ya dunia nzima4 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
-
Russia: Shirika "lililokufa ubongo" linahitaji kupatiwa viungo vipya
-
Russia yachukua udhibiti kamili wa mji wa Mariupol, Ukraine
-
Televisheni ya Kizayuni: Israel kuchukua hatua dhidi ya Iran ni vitisho vya maneno tu
-
Marekani: Kiongozi wa Korea Kaskazini hana hamu yoyote ya kukutana na Biden
-
Askari laki moja wa Marekani kubaki Ulaya kwa kisingizio cha "kitisho cha Russia"
-
UN: Njaa itaziathiri nchi zote duniani, Iran yaahidi kusaidia
-
Umoja wa Mataifa wasikitishwa na hatua ya Mali ya kujitoa katika kikosi cha kupambana na ugaidi
-
Ugonjwa nadra wa monkeypox waenea Ulaya, Marekani
-
Wahindu wenye misimamo mikali wateketeza moto msikiti India
-
Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

Mwaka mmoja baada ya Vita vya Seif al-Quds
Mwaka mmoja umepita tangu kutokea Vita vya Seif al-Quds. Licha ya kupita mwaka mmoja tangu kumalizika vita hivyo, lakini natija ya vita hivyo haijaishia katika siku 12 tu za vita hivyo.

Uungaji mkono wa Iran kwa hatua za Umoja wa Mataifa katika kukabiliana na mgogoro wa chakula duniani
"Dunia nzima imeathirika na uhaba wa chakula." Hayo yalisemwa siku ya Alhamisi na Majid Takht-e Ravanchi, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa.

Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah
Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, juzi usiku alitoa hutuba akibainisha tathmini yake kuhusu matokeo ya uchaguzi wa hivi karibu wa bunge la nchi hiyo.

Wahindu wenye misimamo mikali wateketeza moto msikiti India
Wahindu wenye misimamo mikali nchini India wameteteketeza moto msikiti kati mwa nchi hiyo.
-
Uungaji mkono wa Iran kwa hatua za Umoja wa Mataifa katika kukabiliana na mgogoro wa chakula duniani19 hours ago
-
Sisitizo la Ripota Maalumu wa UN kuwa vikwazo ni kinyume cha sheria; kashfa nyingine kwa Marekani
-
Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi
-
Njama za Magharibi za kuanzisha NATO ya dunia nzima
-
Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia
-
Wimbi la nchi nzima la chuki ndani ya Marekani; chimbuko na matokeo yake
-
Kuadhibiwa utawala wa Kizayuni; takwa la mashirika na jumuiya za haki za binadamu zipatazo 250
-
Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine
-
Moscow yasisitiza: Marekani inashiriki moja kwa moja katika vita vya Ukraine
-
Marekani; chanzo cha kusita kwa muda mrefu mazungumzo ya Vienna
-
Iran yalaani ukiukwaji mpya wa haki za binadamu uliogundulika Marekani6 days ago
-
Safari ya Amir wa Qatar nchini Iran; ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi mbili
-
Mkutano wa Rais wa Syria na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
-
Jitihada za Iran na Uturuki kwa ajili ya kuitisha mkutano wa Baraza Kuu la Ushirikiano wa Kistratejia
-
Iran yakosoa mahakama ya kimaonyesho na isiyo ya uadilifu katika kesi ya Hamid Nouri nchini Sweden
-
Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu la kupanuliwa muqawama kote Palestina
-
Safari ya Waziri wa Ulinzi wa China mjini Tehran; ukurasa mpya katika uhusiano wa kiulinzi na kijeshi wa pande mbili
-
Kiongozi Muadhamu: Kuwa na uhusiano na Wazayuni ni kosa kubwa sana
-
Ordibehesht Pili; Siku ya kuadhimisha kuasisiwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC)
-
Mwaka mmoja baada ya Vita vya Seif al-Quds12 hours ago
-
Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah
-
Wahindu wenye misimamo mikali wateketeza moto msikiti India
-
Miaka 74 baada ya Siku ya Nakba
-
Mitetemeko ya baada ya mauaji ya kigaidi ya Shireen Abu Akleh
-
Rasimu ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na Israeli yapitishwa katika bunge la Iraq
-
UN yaishukuru Iran kwa msaada wake katika jitihada za kutatua mzozo wa Yemen
-
Kuwaua kigaidi waandishi wa habari, mbinu chafu ya Wazayuni ya kujaribu kuficha jinai zake
-
Sababu ya Israel kuuchukulia kuwa 'malaika wa uokozi' uuzaji silaha na kuanzisha uhusiano wa kawaida na nchi ndogo za Kiarabu
-
Ukosoaji wa Sayyid Nasrullah kwa wanaoziandama silaha za muqawama badala ya matatizo ya uchumi, katika kampeni za uchaguzi wa Lebanon

Kufichuliwa jinai za Ufaransa baada ya kugunduliwa makaburi ya umati nchini Mali
Kugunduliwa makaburi ya umati jirani na kambi ya jeshi ya Ufaransa nchini Mali kumezidi kuweka wazi siku baada ya siku ukubwa wa jinai za Wafaransa katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

Kuendelea ukosoaji wa Algeria wa mauaji ya kinyama ya Ufaransa dhidi ya Waalgeria
Licha ya kupita miongo kadhaa tangu Ufaransa ifanyye mauaji ya kinyama dhidi ya wananchi wa Algeria, lakini mafaili ya jinai hiyo yangali wazi na yanaweza kufuatiliwa.

Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro mkubwa wa chakula Afrika
Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kupanda pakubwa bei ya chakula na mafuta kutokana na vita vya Ukraine, kumeibua mgogoro mkubwa wa chakula barani Afrika ambao haujawahi kushuhudiwa.

Rais wa Zanzibar awataka Waislamu kuendeleza yote waliyonufaika nayo ndani ya Ramadhani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, al Hajj Hussein Ali Hassan Mwinyi amewataka Waislamu kuendeleza yote mazuri waliyojifunza katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Spika: Siku ya Nakba inakumbusha uvamizi, mauaji ya kimbari, ukatili na jinai za Wazayuni7 days ago
-
Kambi za kijeshi za Marekani na MOSSAD nchini Iraq zashambuliwa kwa makombora + Video2 months ago
-
Iran yazindua vituo viwili vya makombora na drone + Video3 months ago
-
Wazayuni waripua kwa mabomu nyumba ya Mpalestina mjini Jenin + Video3 months ago