Iran
-
Rouhani: Taifa la Zimbabwe litavishinda vikwazo vya Marekani
Apr 19, 2021 02:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia ujumbe wa pongezi mwenzake wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa kwa mnasaba wa Siku ya Uhuru wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, iliyoadhimishwa jana Jumapili.
-
Iran: Kurutubisha urani kwa 60% ni jibu kwa njama za maadui
Apr 19, 2021 02:54Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema urutubishaji wa madini ya urani kwa kiwango cha asilimia 60 hapa nchini ni jibu kwa njama na chokochoko za maadui wa taifa hili.
-
Rais Hassan Rouhani asisitiza kupanuliwa ushirikiano wa Iran na Serbia
Apr 18, 2021 12:20Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kupanuliwa ushirikiano kati ya taifa hili na Serbia.
-
Watu 405 waripotiwa kufariki duniani nchini Iran kwa Covid-19
Apr 18, 2021 12:16Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema kuwa, watu 405 wamefariki dunia kwa Covid-19 nchini Iran katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita na kuifanya idadi ya watu walioaga dunia hadi sasa kwa virusi hivyo hapa nchini kufikia 66,732.
-
Urutubishaji wa madini ya urani hadi asilimia 60 nchini Iran na kelele za kisiasa zilizoibuliwa
Apr 18, 2021 10:49Iran kamwe haifuatilii shughuli zisizo za kawaida za nyuklia na wala haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia. Huu ni ukweli ambao umethibitishwa mara kadhaa katika ripoti za Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Iran yazindua mitambo mipya kabisa ya makombora katika gwaride la "Siku ya Jeshi"
Apr 18, 2021 08:06Mitambo mipya kabisa ya makombora ya vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezinduliwa katika gwaride maalum lililofanyika mapema leo kwa mnasaba wa "Siku ya Jeshi".
-
Araqchi: Tumeingia kwenye mkondo sahihi wa mazungumzo ya JCPOA
Apr 18, 2021 02:57Sayyid Abbas Araqchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa amesema baada ya kikao cha kamati ya pamoja ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA mjini Vienna, Austria kwamba inavyoonekana sasa tumeingia katika mkondo sahihi wa mazungumzo hayo baada ya siku kadhaa za majadiliano mazito ingawa hata hivyo bado kuna safari ndefu mbele yetu.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi nchini Iran
Apr 17, 2021 12:39Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe maalumu kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Jeshi nchini Iran na kusisitiza kuwa, jeshi liko imara katika medani kwa ajili ya kutekeleza vizuri majukumu yake.
-
Rais Rouhani: Serikali inafanya juhudi zake zote kuhakikisha chanjo ya corona inazlishwa Iran
Apr 17, 2021 12:36Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, serikali yake inafanya juhudi zake zote kuhakikisha kuwa, chanjo ya corona ya Iran inazalishwa humu nchini.
-
Picha ya aliyefanya uharibifu katika kituo cha nyuklia cha Iran, yasambazwa + Video
Apr 17, 2021 12:34Wizara ya Masuala ya Kijasusi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesambaza picha ya aliyefanya uharibifu katika kituo cha nyuklia cha Natanz hivi karibuni humu nchini.