Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Iran na Afrika

  • Iran na Afrika Kusini zalaani jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Iran na Afrika Kusini zalaani jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Aug 07, 2022 07:20

    Iran na Afrika Kusini zimelaani vikali jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • Kustawisha mabadilishano ya kibiashara na nchi za Kiafrika ni katika vipaumbele vya Iran

    Kustawisha mabadilishano ya kibiashara na nchi za Kiafrika ni katika vipaumbele vya Iran

    Aug 06, 2022 11:33

    Hamid Forozan Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Wizara ya Ushirikiano, Kazi na Ustawi wa Jamii ya Iran amesisitiza kuwa, uwezo wa nchi za Kiafrika umeandaa msingi mzuri wa kustawisha biashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mjukuu wa Mandela: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa ilhamu Afrika Kusini

    Mjukuu wa Mandela: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa ilhamu Afrika Kusini

    Aug 03, 2022 12:32

    Mjukuu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanatoa ilhamu na motisha kwa taifa hilo la kusini mwa Afrika.

  • Rais, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuitembelea Afrika Kusini karibuni

    Rais, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuitembelea Afrika Kusini karibuni

    Aug 03, 2022 02:32

    Balozi wa Afrika Kusini mjini Tehran amesema Rais Ebrahim Raisi wa Iran na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hii, Hossein Amir-Abdollahian wanatazamiwa kufanya ziara ya kuitembelea Afrika Kusini karibuni.

  • Mabadilishano ya kibiashara baina ya Iran na Tanzania yameongezeka kwa 120%

    Mabadilishano ya kibiashara baina ya Iran na Tanzania yameongezeka kwa 120%

    Jul 02, 2022 11:49

    Balozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania amesema, mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili katika mwaka uliopita yaliongezeka kwa asilimia 120.

  • Kwa mara nyingine, Iran yalaani jaribio la UK la kuwahamishia wakimbizi nchini Rwanda

    Kwa mara nyingine, Iran yalaani jaribio la UK la kuwahamishia wakimbizi nchini Rwanda

    Jun 15, 2022 07:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani jaribio la Uingereza la kuwahamishia kwa lazima wakimbizi wa nchi hiyo huko Rwanda na kusema kuwa hiyo ni aibu ya kihistoria.

  • Abdollahian: Iran haina vizingiti katika kukuza ushirikiano wake na Nigeria

    Abdollahian: Iran haina vizingiti katika kukuza ushirikiano wake na Nigeria

    Jun 12, 2022 04:44

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haina vizingiti vyovyote katika njia ya kustawisha uhusiano wake na Nigeria.

  • Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Jun 11, 2022 07:27

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa ujumla wanapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja katika vita vya kuangamiza fikra potofu ya ukufurishaji.

  • Iran yazidi kuimarisha biashara na nchi za Afrika

    Iran yazidi kuimarisha biashara na nchi za Afrika

    Jun 09, 2022 03:06

    Naibu mkuu wa Shirika la Kukuza Biashara la Iran (TPO) anayeshughulikia maendeleo ya masoko ya nje amesema shirika lake linatafuta njia za kutekeleza mifumo ya biashara ya kubadilishana bidhaa na washirika wa kibiashara wa bara la Afrika.

  • Abdollahian: Iran iko tayari kuipatia Kenya misaada ya kibinadamu zikiwemo chanjo cha Covid-19

    Abdollahian: Iran iko tayari kuipatia Kenya misaada ya kibinadamu zikiwemo chanjo cha Covid-19

    Jun 03, 2022 07:17

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kuIpatia Kenya misaada ya kibinadamu katika uga wa tiba zikiwemo chanjo za Covid-19.

Onesha Zaidi

Habari Kuu

  • Raia Wapalestina 45 wameuawa shahidi katika siku 3 za hujuma za kikatili za Israeli huko Gaza
    Raia Wapalestina 45 wameuawa shahidi katika siku 3 za hujuma za kikatili za Israeli huko Gaza
    1 hour ago
  • Waangalizi 18,000 wa ndani, na kimataifa kufuatilia mchakato wa uchaguzi Kenya
  • Mamilioni ya Wairani katika maombolezo ya Imam Hussein AS ya Siku ya Ashura
  • Maombolezo ya siku ya Ashura nchini Kenya
  • Maafisa tano wa Polisi Mali wauawa katika hujuma ya kigaidi

Chaguo La Mhariri

  • Siku ya kukumbuka jinai za kivita za Marekani mjini Hiroshima na Nagasaki
    Siku ya kukumbuka jinai za kivita za Marekani mjini Hiroshima na Nagasaki
    7 hours ago
  • Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine
    Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine
    7 hours ago
  • Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram
    Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram
    1 day ago

Zilizotembelewa Zaidi

  • Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri
  • AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza
  • Siku ya kukumbuka jinai za kivita za Marekani mjini Hiroshima na Nagasaki
  • Magaidi wavamia vijiji na kuua watu 20 mashariki ya DRC
  • Ripoti ya Amnesty International kuhusu jinai za kivita za serikali ya Ukraine
  • Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura
  • Iran yalaani kuvunjiwa heshima Qurani, matukufu ya Kiislamu Ujerumani
  • Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram
  • Jinai ya utawala wa Kizayuni katika kuishambulia Jihad Islami ya Palestina
  • Russia: Tumeua makumi ya mamluki wa kigeni nchini Ukkraine
  • Waangalizi 18,000 wa ndani, na kimataifa kufuatilia mchakato wa uchaguzi Kenya
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS