Ripoti
-
Jaribio la mapinduzi Jordan, makumi ya viongozi watiwa mbaroni + Video
Apr 04, 2021 03:08Duru za habari usiku wa kuamkia leo zimetangaza habari ya kutiwa mbaroni makumi ya viongozi wa ngazi za juu wa Jordan kwa tuhuma za kujaribu kufanya mapinduzi dhidi ya mfalme Abdallah II.
-
Othman Masoud Othman Sharif aapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar + SAUTI
Mar 02, 2021 18:47Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amemwapisha Othman Masoud Othman Sharif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar kufuatia uteuzi aliofanya tarehe mosi Machi mwaka huu
-
Zanzibar yatangaza siku 7 za maombolezo kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad +SAUTI
Feb 17, 2021 17:03Maalim Seif Sharif Hamad, mwanasiasa mkongwe na Makamu wa Kwanza wa rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 77.
-
Hatimaye Jumuiya ya Waislamu Burundi yapata kiongozi mpya + SAUTI
Feb 08, 2021 16:00Jumuia ya Waislamu nchini Burundi (COMIBU) hatimaye imepata kiongozi mpya baada ya kubakia wazi kwa muda wa miezi 5. Kiongozi huyo mpya Sheikh Hassan Nyamweru aliyeshinda uchaguzi kwa asilimia 84 ya kura dhidi ya mpinzani wake Sheikh Salum Nayabagabo aliyepata kura 32. Amida ISSA na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.
-
Mauaji dhidi yao yaongezeka, waandishi wa habari wataka ulinzi zaidi Uganda + SAUTI
Feb 08, 2021 15:53Kwa mara nyingine waandishi wa habari nchini Uganda wameiomba Serikali iwape ulinzi wa kutosha ili kuzuia mauaji wanayofanyiwa mara kwa mara na ambayo sasa hivi yamekithiri. Mwandishi wa Kampala Kigozi Ismail na taarifa zaidi:
-
Iran yazindua kiwanda cha kuunda makombora ya kubebwa begani + Video
Feb 07, 2021 03:04Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kiwanda cha kuunda makombora ya kisasa yanayovurumishwa kutoka begani ikiwa ni katika hatua nyingine ya kuimarisha uwezo wake wa kujihami.
-
Rwanda yaanza kugawa chakula kwa wananchi waliothirika na karantini ya Corona +SAUTI
Jan 25, 2021 18:17Wakati wakazi wa mji mkuu wa Rwanda Kigali wakiingia juma la pili la zuio la kutotoka nje katika hatua ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona, serikali ya nchi hiyo imeanza zoezi la mgawo wa vyakula kwa wananchi walioathiriwa kutokana na kupoteza vyanzo vyao vya mapato.
-
Serikali ya Uganda yatakiwa kuzingatia maslahi ya vijana +SAUTI
Jan 25, 2021 18:11Viongozi wa vikundi vya vijana nchini Uganda wameitaka serikali ya nchi hiyo kuzingatia maslahi ya vijana wote badala ya kuwaita kila mara kwamba, wao ni viongozi wa kesho.
-
Wanaokaidi karantini ya corona Kigali Rwanda, kukiona + Sauti
Jan 21, 2021 18:08Siku tatu baada ya mji mkuu wa Rwanda Kigali kuwekwa kwenye zuio la wakazi wake kukaa nyumbani, baadhi ya wananchi wameonekana kukaidi miito hiyo na polisi wameonya kuwachukulia hatua kali ikiwa wataendelea kufanya hivyo. Serikali ya Rwanda iliamua kuweka zuio la wiki mbili kwa wakazi wa mji mkuu Kigali kutokana na ongezeko la maambukizi ya kirusi cha corona. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.
-
Iran imepata mafanikio ya kipekee katika uzalishaji droni + Video
Jan 05, 2021 12:31Kamanda wa kikosi cha nchi kavu cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikosi hicho kimepata mafanikio makubwa na ya kipekee katika uzalishaji na utumiaji wa droni yaani ndege zisizo na rubani.