Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Al Qaeda

  • Iran yapuuzilia mbali madai ya kuuawa kinara wa al-Qaeda hapa nchini

    Iran yapuuzilia mbali madai ya kuuawa kinara wa al-Qaeda hapa nchini

    Nov 14, 2020 08:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu Iran amekanusha vikali habari za kipropaganda zinazodai kuwa kiongozi wa ngazi za juu wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda ameuawa hapa nchini.

  • Mahakama ya Marekani yataka kusailiwa maafisa wanne wa Saudi Arabia kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11

    Mahakama ya Marekani yataka kusailiwa maafisa wanne wa Saudi Arabia kwa kuhusika na mashambulizi ya Septemba 11

    Sep 11, 2020 14:22

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 Marekani ilijinadi kuwa kinara wa mapambano dhidi ya ugaidi duniani na ikachukua hatua ya kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan.

  • Jeshi la Yemen lamtia mbaroni kamanda mwandamizi wa al-Qaeda

    Jeshi la Yemen lamtia mbaroni kamanda mwandamizi wa al-Qaeda

    Aug 30, 2020 11:10

    Vikosi vya Yemen vimetangaza habari ya kumtia nguvuni kamanda wa ngazi ya juu wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu, Sana'a.

  • Kiongozi wa kundi la al-Qaeda kaskazini mwa Afrika auawa nchini Mali

    Kiongozi wa kundi la al-Qaeda kaskazini mwa Afrika auawa nchini Mali

    Jun 06, 2020 07:53

    Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo ya Ulaya limefanikiwa kumuua kiongozi wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda katika eneo la Maghreb kaskazini mwa Afrika (Aqim) huko nchini Mali.

  • Al-Qaeda yakiri kuhusika na shambulizi la bomu lililoua 90 Somalia

    Al-Qaeda yakiri kuhusika na shambulizi la bomu lililoua 90 Somalia

    Dec 31, 2019 07:38

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lililojitangaza kuwa ni sehemu ya mtandao wa kigaidi wa al-Qaida limekiri kuhusika na shambulizi la bomu lililotokea mwishoni mwa wiki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

  • Uungaji mkono wa kila upande wa Marekani na Saudi Arabia kwa kundi la al-Qaeda

    Uungaji mkono wa kila upande wa Marekani na Saudi Arabia kwa kundi la al-Qaeda

    Feb 05, 2019 13:11

    Kanali ya televisheni ya CCN imetangaza katika ripoti yake kwamba, Saudi Arabia imekuwa ikilipatia kundi la kigaidi la al-Qaeda silaha ambazo Marekani imeupatia muungano wa Kiarabu katika vita dhidi ya Yemen.

  • Kiongozi wa kundi la kigaidi la al Qaida Libya aangamizwa

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la al Qaida Libya aangamizwa

    Jan 19, 2019 03:01

    Ripoiti kutoka Libya zinasema kuwa kinara wa kundi la kigaidi la al Qaida nchini humo ameuawa katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.

  • Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen

    Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen

    Aug 31, 2018 06:32

    Balozi wa Qatar nchini Marekani amezishutumu Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuwa na ushirikiano wa siri na magaidi wa al-Qaeda nchini Yemen.

  • Marekani, Saudia zashirikiana na Al Qaeda Yemen kukabiliana na Ansarullah

    Marekani, Saudia zashirikiana na Al Qaeda Yemen kukabiliana na Ansarullah

    Aug 08, 2018 04:13

    Uchunguzi mpya umebaini kuwa muungano unaoongozwa na Saudia katika vita dhidi ya watu wa Yemen unashirikiana na magaidi wa Al Qaeda chini ya maelekezo ya Marekani kwa lengo la kukabiliana na harakati ya Ansarullah.

  • Kufichuliwa msaada wa kifedha wa Marekani kwa al Qaida nchini Sudan

    Kufichuliwa msaada wa kifedha wa Marekani kwa al Qaida nchini Sudan

    Jul 27, 2018 04:43

    Kituo kimoja cha utafiti nchini Marekani kimefichua kuwa serikali ya zamani ya nchi hiyo ilikuwa ikilifadhili kifedha tawi la kundi la kigaidi la al Qaida huko Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS