Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

China

  • China: NATO inaiingiza dunia katika Vita Baridi

    China: NATO inaiingiza dunia katika Vita Baridi

    Mar 27, 2022 02:31

    China imelionya Shirika la Jeshi la Nchi za Magharibi NATO dhidi ya kuitumbukiza dunia katika kipindi kipya cha Vita Baridi kupitia sera zake za usalama zilizopitwa na wakati.

  • China: Marekani na NATO ziombe radhi kwa kuzivamia na kuzishambulia kijeshi nchi mbalimbali

    China: Marekani na NATO ziombe radhi kwa kuzivamia na kuzishambulia kijeshi nchi mbalimbali

    Mar 25, 2022 14:23

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameitaka Marekani na shirika la kijeshi la NATO ziombe radhi kwa kuzivamia na kuzishambulia kijeshi nchi mbalimbali duniani.

  • Marekani na NATO wahusika wakuu wa mzozo wa Ukraine

    Marekani na NATO wahusika wakuu wa mzozo wa Ukraine

    Mar 18, 2022 15:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema Marekani na NATO ndio wasababishaji wakuu wa mgogoro wa Ukraine na ndio wenye ufunguo wa kumaliza mgogoro huo.

  • Khatibzadeh: Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo za Marekani

    Khatibzadeh: Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo za Marekani

    Mar 07, 2022 12:25

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inachukua maamuzi kwa mujibu wa nyenendo na si kwa mujibu wa jumbe zisizo wazi za Marekani katika mazungumzo ya Vienna.

  • Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Mar 06, 2022 04:22

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amependekeza nchi ya tatu iwe mpatanishi wa kumaliza mivutano kati ya Russia na Ukraine.

  • China yaanza mazoezi ya kijeshi ya wiki nzima katika bahari ya China Kusini

    China yaanza mazoezi ya kijeshi ya wiki nzima katika bahari ya China Kusini

    Mar 06, 2022 04:21

    China imetangaza kuanza mazoezi ya kijeshi ya vikosi vyake vya ulinzi katika eneo la bahari ya China Kusini.

  • China yalaani uchokozi wa meli ya kivita ya Marekani katika Njia Bahari ya Taiwan

    China yalaani uchokozi wa meli ya kivita ya Marekani katika Njia Bahari ya Taiwan

    Feb 27, 2022 08:04

    China imeutaja kuwa ni "uchochezi" hatua ya kupita meli ya kivita ya Marekani katika Lango Bahari la Taiwan ambalo ni nyeti kimkakati, kwani inatenganisha eneo la Taipei ya China (Taiwan) linalojitawala na China Bara.

  • Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Feb 25, 2022 03:18

    Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amekutana na mabalozi wa Russia na China nchini Iran ambapo wametangaza kwa pamoja kupinga kutumiwa vibaya kadhia ya haki za binadamu kama chombo cha kuyashinikiza mataifa mengine.

  • Mazungumzo ya Vienna; anga nzuri ndani ya kivuli cha ubunifu wa Iran

    Mazungumzo ya Vienna; anga nzuri ndani ya kivuli cha ubunifu wa Iran

    Feb 14, 2022 03:11

    Awamu ya nane ya mazungumzo ya Vienna baina ya Iran na kundi la 4+1 inaendelea katika Hoteli ya Palais Coburg nchini Austria huku kukiwa na dalili nzuri za kufanyika mazungumzo katika mazingira yenye kuleta matumaini. Mazungumzo hayo yanaendelea baada ya kusimama kidogo kwa ajili ya kutoa fursa kwa timu za mazungumzo kurejea katika nchi zao kwa mashauriano.

  • China: Sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake

    China: Sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake

    Feb 13, 2022 04:15

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China amesema, sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS