Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Ethiopia

  • Baraza la Usalama laendelea kufumbia macho mapigano Tigray, Ethiopia

    Mar 06, 2021 08:15

    Jitihada za kulitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litoe taarifa ya kutaka kusitishwa machafuko na mauaji yanayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia zimegonga mwamba.

  • UN: Majeshi ya Eritrea, Ethiopia yumkini yamefanya jinai za kivita Tigray

    Mar 05, 2021 02:32

    Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema ofisi yake ina ithibati ya kufanyika jinai za kutisha ambazo zinaweza kuwa jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na wanajeshi wa Ethiopia na Eritrea katika eneo la Tigray.

  • Ethiopia yataka kutatuliwa hitilafu za mpaka na Sudan kwa njia za amani

    Mar 04, 2021 04:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Ethiopia amesema kuwa, Addis Ababa inataka kutatua hitilafu zake za mpaka na Sudan kwa njia za amani na haitaingia vitani kutokana na kadhia hiyo.

  • Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari watiwa mbaroni katika eneo la Tigray, Ethiopia

    Mar 02, 2021 10:50

    Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari katika eneo lililoathiriwa na machafuko la Tigray nchini Ethiopia wametiwa mbaroni na kushikiliwa korokoroni. Hayo yameelezwa na familia na wafanyakazi wenzao.

  • Amnesty: Jeshi la Eritrea liliua mamia ya raia Ethiopia Novemba 2020

    Feb 26, 2021 08:03

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amesty International limesema mauaji ya kiholela ya mamia ya raia yaliyofanywa na jeshi la Eritrea katika mji wa kale wa Ethiopia wa Axum Novemba mwaka jana ni ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu na ukanyagaji wa sheria za kimataifa za kumlinda mwanadamu.

  • Sudan yataka upatanishi wa kimataifa kuhusu mgogogoro wa Bwawa la al-Nahdha

    Feb 24, 2021 02:42

    Waziri wa Umwagiliaji na Vyanzo vya Maji wa Sudan amesema kuwa, nchi yake inakusudia kuandaa uungaji mkono na upatanishi wa pande nne kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi mzozo wa Bwawa la al-Nahdha.

  • Umoja wa Afrika waanza upatanishi katika mzozo wa Sudan na Ethiopia

    Feb 18, 2021 11:00

    Duru za kuaminika nchini Sudan zimeripoti kuwa, mjumbe wa Umoja wa Afrika alitazamiwa kuwasili Khartoum akiongoza ujumbe wa upatanishi wa umoja huo katika mzozo wa mpakani baina ya Sudan na Ethiopia.

  • Ethiopia yakubali kwa masharti upatanishi baina yake na Sudan

    Feb 15, 2021 01:24

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa imekubali upatanishi wa nchi nyingine katika mgogoro baina yake na nchi jirani ya Sudan lakini kwa masharti.

  • UN yataka mashirika ya misaada yapewe uhuru wa kuingia Tigray, Ethiopia

    Feb 14, 2021 03:45

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Ethiopia iruhusu mashirika ya misaada kuingia na kufanya kazi zake kwa uhuru katika eneo la Tigray ili kuokoa roho za wakazi wa eneo hilo.

  • UNICEF: Watoto wanateseka katike eneo lenye mgogoro la Tigray, Ethiopia

    Feb 13, 2021 04:50

    Kadri misaada ya dharura na wafanyakazi wa kusambaza misaada hiyo wanafikia eneo la mzozo la Tigray huko Ethiopia, taswira halisi ya masikitiko inazidi kuibuka jinsi watoto kwenye eneo hilo wanavyoendelea kuteseka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS