-
Uchafuzi wa hali ya hewa umeua watu milioni 6.7 duniani, wakiwemo watoto 470,000
Oct 23, 2020 07:31Uchafuzi wa hali ya hewa mwaka jana 2019 uliua watu milioni sita na laki saba kote duniani, wakiwemo watoto wadogo wa kuzaliwa zaidi ya 476,000.
-
Marekani yaanza kujiondoa rasmi kwenye Makubaliano ya Paris
Nov 05, 2019 07:23Marekani imeanzisha mchakato wa kujiondoa rasmi katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.
-
Utafiti: Uchafuzi wa hali ya hewa duniani umekithirisha kuharibika kwa mimba
Jan 13, 2019 07:44Utafiti mpya umebainisha kuwa, uchafuzi wa hali ya hewa duniani umepelekea kuongezeka idadi ya mimba kuharibika au wanawake kujifungua kabla ya wakati.
-
Joto kali laua makumi ya watu mashariki mwa Canada
Jul 07, 2018 02:42Wimbi la joto kali ambalo halijawahi kushuhudiwa limesababisha vifo vya watu 33 katika mkoa wa Quebec mashariki mwa Canada.
-
Ripoti: Watoto karibu milioni 2 wanakufa kila mwaka kwa kuvuta hewa chafu
Mar 11, 2017 02:32Kwa akali watoto milioni 1.7 wanapoteza maisha kila mwaka kutokana na kuvuta hewa chafu kote duniani.
-
Joto kali katika siku ya Hali ya Hewa Dunaini
Mar 22, 2016 07:51Leo, ikiwa ni Siku ya Kimataifa ya Hali ya Hewa, kumetolewa tahadhari ya joto kali katika eneo la Pwani ya Afrika Mashariki huku Shirika la Hali ya Hewa Duniani likibainisha wasiwasi wake kutokana na kuongezeka joto katika sayari ya dunia.