Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Iran

  • Zarif: Iran iko tayari kushirikiana na Russia kuhusu maeneo ya Caucasia na Ghuba ya Uajemi

    Jan 27, 2021 04:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa Iran na Russia ni kwa ajili ya amani na uthabiti katika eneo. Ameongeza kuwa: "Tuko tayari kushirkiana na Russia katika masuala ya Caucasia na Ghuba ya Uajemi."

  • Amir Abdolahian: Uhusiano wa Iran, China na Russia ni wa kiistratijia

    Jan 26, 2021 11:10

    Mshauri Mkuu wa wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, uhusiano wa Tehran, Beijing na Moscow ni wa kiistratijia na kuongeza kuwa, uhusiano na nchi za dunia ambazo zilikuwa pamoja na wananchi wa Iran wakati wa hali ngumu umejengeka juu ya msingi na stratijia ya urafiki, ushirikiano na kuheshimiana.

  • Balozi wa Iran UN: Rais wa Marekani achukue hatua ya kwanza

    Jan 26, 2021 07:35

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mpango wowote wa kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Marekani Joe Biden, lakini inasubiri serikali mpya ya Washington ichukue hatua ya kwanza ya kuliondolea taifa hili vikwazo na kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Dozi zaidi ya milioni 16 za chanjo ya corona kuingizwa nchini Iran hivi karibuni

    Jan 25, 2021 12:46

    Mkuu wa kamati ya afya na tiba ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema, taratibu zinakamilishwa kwa ajili ya kuingiza nchini dozi 16,800,000 za chanjo ya corona kutoka nchi zenye kuaminika na zilizokubalika.

  • Polisi Sudan wakabiliana na waandamanaji wanaolalamikia ughali wa maisha

    Jan 25, 2021 07:39

    Polisi nchini Sudan wamelazimika kutumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa na hasira katika mji mkuu Khartoum ambao walikuwa wanalalamikia ugali wa maisha.

  • Wapalestina: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina

    Jan 25, 2021 02:31

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina na muqawama wa taifa hilo mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Waziri wa Afya wa Iran: Utoaji chanjo ya corona nchini utaanza hivi karibuni

    Jan 24, 2021 14:01

    Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, utoaji chanjo ya corona hapa nchini utaanza hivi karibuni.

  • Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo

    Jan 23, 2021 12:12

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaanza kutoa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 hapa nchini katika kipindi cha siku chache zijazo.

  • Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele

    Jan 23, 2021 11:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuasa Rais mpya wa Marekani Joe Biden, ahitimishe sera za mashinikizo zilizogonga mwamba za mtangulizi wake Donald Trump na kusisitiza kuwa, "dirisha la fursa kwa timu mpya ya Ikulu ya White House halitabakia wazi milele."

  • Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Jan 23, 2021 05:06

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuanzisha kituo kikubwa cha ubunifu na teknolojia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi ikiwa ni katika mkakati wa kuimarisha uhusiano wa nchi hizi mbili rafiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS