-
Iran ni miongoni mwa nchi 10 duniani zinazotengeneza na kurusha satelaiti katika anga za mbali
May 23, 2022 03:45Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Issa Zarepour amesema, Iran ni miongoni mwa nchi 10 duniani zinazotengeneza na kurusha satelaiti katika anga za mbali na kusisitiza kuwa sekta hiyo inailetea Iran nguvu na teknolojia mpya.
-
Televisheni ya Kizayuni: Israel kuchukua hatua dhidi ya Iran ni vitisho vya maneno tu
May 21, 2022 12:31Televisheni ya Kizayuni ya Kan 11 imesema, madai yote yanayotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwmba utachukua hatua dhidi ya Iran ni vitisho vya maneno matupu.
-
Uungaji mkono wa Iran kwa hatua za Umoja wa Mataifa katika kukabiliana na mgogoro wa chakula duniani
May 21, 2022 03:14"Dunia nzima imeathirika na uhaba wa chakula." Hayo yalisemwa siku ya Alhamisi na Majid Takht-e Ravanchi, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa.
-
Sultan Haitham atoa amri ya kifalme ya kuimarishwa ushirikiano wa baharini wa Oman na Iran
May 19, 2022 07:11Sultan Haitham bin Tariq wa Oman ametoa amri ya kifalme ya kupasisha makubaliano ya ushirikiano wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa uchukuzi na usafiri wa baharini.
-
Iran yalaani ukiukwaji mpya wa haki za binadamu uliogundulika Marekani
May 15, 2022 11:01Kazem Gharibabadi, Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa taarifa baada ya uchunguzi kubaini vifo vya zaidi ya watoto 500 wa jamii za asili za Marekani katika shule za bweni za kanisa, zilizofadhiliwa na serikali na kusema: "Pamoja na kuwepo ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu huko Marekani nchi hiyo inajipa jukumu la kuwapa wengine nasaha kuhusu haki za binadamu."
-
Safari ya Amir wa Qatar nchini Iran; ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi mbili
May 13, 2022 10:57Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Amir wa Qatar aliwasili mjini Tehran siku ya Alhamisi kwa ziara rasmi ambapo amekutana na kuzungumza na mwenyeji wake Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wanafunzi Tehran walaani mauaji ya mwandishi habari Mpalestina Abu Akleh
May 13, 2022 07:55Wanafunzi wa vyuo vikuu katika mji mkuu wa Iran, Tehran wameandamana nje ya Ubalozi wa Palestina na kuulaani utawala haramu wa Israel kwa kumuua kinyama mwandishi habari Mpalestina wa Televisheni ya Al Jazeera Shireen Abu Akleh.
-
Mkurugenzi Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu: Iran inaamiliana kwa ukarimu na wahajiri
May 10, 2022 04:22Mkurugenzi Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Shirika la Msalaba Mwekundu (ICRC) amesema kuwa kwa mtazamo wa jamii ya kimataifa Iran ni mwenyeji mzuri wa wakimbizi wa Kiafghani na inaamiliana nao kwa ukarimu.
-
Iran ni miongoni mwa nchi tano bora katika teknolojia ya nano duniani
May 03, 2022 10:15Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetajwa kuwa miongoni mwa nchi tano zinazoongoza duniani katika uga wa teknolojia ya nano.
-
Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai
May 03, 2022 04:46Ushirikiano wa Iran na nchi za ukanda huu ambao ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu hasa katika serikali ya hivi sasa, umezaa matunda mengi mazuri yakiwemo ya kuongezeka mabadilishano ya kibiashara baina ya Tehran na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.