Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Iraq

  • Rasimu ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na Israeli yapitishwa katika bunge la Iraq

    Rasimu ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na Israeli yapitishwa katika bunge la Iraq

    May 14, 2022 02:12

    Bunge la Iraq limeidhinisha rasimu ya sheria inayopiga marufuku kuanzisha au kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Rasimu hiyo inatoa adhabu ya kifo kwa mtu yeyote atakayepatikana na hatia ya kuhusika na uhalifu huo.

  • Barhum Salih asisitiza udharura wa kukabiliana na ugaidi na vitisho vya usalama

    Barhum Salih asisitiza udharura wa kukabiliana na ugaidi na vitisho vya usalama

    May 10, 2022 04:13

    Rais wa Iraq amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo ambapo amemueleza kuhusu hatua za karibuni za kupambana na masalia ya kundi la kigaidi la Daesh .

  • Ujumbe wa Idi wa makundi ya muqawama: Mapambano dhidi ya mabeberu yataendelea

    Ujumbe wa Idi wa makundi ya muqawama: Mapambano dhidi ya mabeberu yataendelea

    May 04, 2022 02:36

    Brigedi za Hizbullah nchini Iraq zimesema kuwa, zitaendeleza muqawama na kushikamana vilivyo na Uislamu hadi pale ubeberu wa madola ya Magharibi utakapoangamizwa katika nchi za Waislamu.

  • Al Kadhimi: Njama za adui katika mwezi mtukufu wa Ramadhani zimegonga mwamba

    Al Kadhimi: Njama za adui katika mwezi mtukufu wa Ramadhani zimegonga mwamba

    May 03, 2022 04:44

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, njama za adui za kutaka kuibua machafuko na ukosefu wa usalama katika miji ya Iraq katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani zimesambaratishwa na kufeli.

  • Hadi al-Amiri:  Kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel ni hatua isiyokubalika kwa namna yoyote ile

    Hadi al-Amiri: Kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel ni hatua isiyokubalika kwa namna yoyote ile

    Apr 30, 2022 10:54

    Mkuu wa Muungano wa Fat'h nchini Iraq amesema kuwa, kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel ni hatua ambayo haikubali kwa namna yoyote ile.

  • Mrengo wa Sadr waandaa muswada wa kupiga marufuku uhusiano na Israel

    Mrengo wa Sadr waandaa muswada wa kupiga marufuku uhusiano na Israel

    Apr 25, 2022 10:42

    Mrengo wa Sadr unaoongozwa na mwanachuoni mashuhuri wa Kishia nchini Iraq, Muqtada al-Sadr umeandaa muswada wa sheria inayoharamisha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Al Kadhimi: Wapiganaji wa Daesh hawana chaguo isipokuwa kifo

    Al Kadhimi: Wapiganaji wa Daesh hawana chaguo isipokuwa kifo

    Apr 23, 2022 11:29

    Waziri Mkuu wa Iraq amewambia magaidi wa Daesh (ISIS) kwamba wanasubiriwa na mashambulizi zaidi na mauaji ya kiongoi mpya wa kundi hilo.

  • Iraq: Kambi ya Marekani inayowahifadhi magaidi mashariki mwa Syria inapaswa kuvunjwa

    Iraq: Kambi ya Marekani inayowahifadhi magaidi mashariki mwa Syria inapaswa kuvunjwa

    Apr 10, 2022 11:08

    Afisa wa ngazi ya juu wa usalama wa Iraq ametoa wito wa kuvunjwa kambi ya wakimbizi inayodhibitiwa na wanamgambo wa Kikurdi wanaoungwa mkono na Marekani karibu na mpaka wa Iraq nchini Syria, akisema kambi hiyo inayohifadhi maelfu ya magaidi wa Daesh ni tishio halisi kwa nchi yake.

  • Iran na Iraq zatoa mwito wa kutekelezwa makubaliano ya pande mbili

    Iran na Iraq zatoa mwito wa kutekelezwa makubaliano ya pande mbili

    Apr 09, 2022 02:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa Iraq, Fuad Hossein wamesisitizia haja ya kuharakishwa mchakato wa kutekelezwa makubaliano mbalimbali yaliyofikiwa huko nyuma baina ya nchi mbili hizi jirani za Kiislamu.

  • Rais wa Iran azitaka nchi za eneo zisipuuze njama za kibeberu za US-Israel

    Rais wa Iran azitaka nchi za eneo zisipuuze njama za kibeberu za US-Israel

    Apr 04, 2022 02:36

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi yoyote katika eneo la Asia Magharibi itayopuuza njama na malengo ya kibeberu ya Marekani na utawala wa Kizayuni, itakuwa imepuuza maslahi ya taifa lake, na itaandamwa na ghadhabu za mataifa ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS