Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Israel

  • Tunisia: Hatufanyi mazungumzo ya kidiplomasia na Israel

    Tunisia: Hatufanyi mazungumzo ya kidiplomasia na Israel

    Jun 09, 2022 23:20

    Tunisia imekadhibisha ripoti ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuwa imeanzisha mazungumzo ya kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel kutapelekea kudhalilika madola ya Kiarabu

    Kiongozi Muadhamu: Kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel kutapelekea kudhalilika madola ya Kiarabu

    Jun 08, 2022 11:52

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema tawala za Kiarabu zilizokhitari kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel bila ridhaa ya wananchi wao hazitakumbwa na hatima nyingine ghairi ya kuishia kudhalilishwa na kutumiwa vibaya na utawala huo haramu.

  • UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro

    UN: Israel kupora ardhi na kuwabagua Wapalestina, chachu ya ghasia na migogoro

    Jun 08, 2022 10:53

    Timu ya ngazi ya juu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kuwafanyia Wapalestina vitendo vya kibaguzi ndio sababu kuu ya kushuhudiwa mawimbi ya ghasia zisizokwisha katika ardhi hizo zilizoghusubiwa.

  • Jenerali: Tutateketeza Tel Aviv, Haifa iwapo Israel itafanya kosa dhidi ya Iran

    Jenerali: Tutateketeza Tel Aviv, Haifa iwapo Israel itafanya kosa dhidi ya Iran

    Jun 08, 2022 10:49

    Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa, Tehran itaiteketeza miji ya Tel Aviv na Haifa iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utajaribu kufanya kosa lolote dhidi ya taifa hili.

  • Amnesty International: Israel ikubali kubeba dhima ya jinai zake dhidi ya Wapalestina

    Amnesty International: Israel ikubali kubeba dhima ya jinai zake dhidi ya Wapalestina

    May 19, 2022 12:35

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesisitiza kuwa, haipasi tusahau kuuawa kwa Shireen Abu Akleh, mwandishi wa habari wa televisheni ya Aljazeera.

  • Mrengo wa Sadr waandaa muswada wa kupiga marufuku uhusiano na Israel

    Mrengo wa Sadr waandaa muswada wa kupiga marufuku uhusiano na Israel

    Apr 25, 2022 10:42

    Mrengo wa Sadr unaoongozwa na mwanachuoni mashuhuri wa Kishia nchini Iraq, Muqtada al-Sadr umeandaa muswada wa sheria inayoharamisha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Morocco yaendeleza siasa za kindumilakuwili kuhusu wananchi wa Palestina

    Morocco yaendeleza siasa za kindumilakuwili kuhusu wananchi wa Palestina

    Apr 23, 2022 02:49

    Baada ya serikali ya kifalme ya Morocco kufanya usaliti dhidi ya kadhia ya Palestina ambayo ndiyo muhimu zaidi kwa Umma wa Kiislamu, na baada ya Rabbat kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala pandikizi wa Kizayuni, hivi sasa nchi hiyo inajifanya kuguswa na jinai za Israel.

  • Al-Jazeera: Iran imeionya Israel, yaiambia maghala yako ya silaha yatalengwa

    Al-Jazeera: Iran imeionya Israel, yaiambia maghala yako ya silaha yatalengwa

    Apr 22, 2022 07:11

    Televisheni ya Al-Jazeera ya Qatari imeripoti kuwa, Iran imetuma picha na ramani za maghala ya silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni kwa serikali ya Tel Aviv kupitia nchi moja ya Ulaya.

  • Mufti wa Oman awakosoa viongozi wa Kiarabu wanaofuturu na Wazayuni huku al Aqsa ikitiwa najisi

    Mufti wa Oman awakosoa viongozi wa Kiarabu wanaofuturu na Wazayuni huku al Aqsa ikitiwa najisi

    Apr 21, 2022 02:49

    Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili, amepongeza misimamo ya kishujaa ya wanamapambano wanaoendelea kukabiliana na uvamizi wa mara kwa mara wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Mkuu wa zamani wa ujasusi wa Israel: Bin Salman anaitazama Tel Aviv kama mshirika

    Mkuu wa zamani wa ujasusi wa Israel: Bin Salman anaitazama Tel Aviv kama mshirika

    Apr 17, 2022 07:53

    Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Intelijensia ya Jeshi la utawala haramu wa Israel amesema Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia anaitazama Tel Aviv kama mshirika wake wa karibu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS