Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Italia

  • Wataliano waandamana kulaani mashambulizi dhidi ya Wapalestina al-Aqsa

    Wataliano waandamana kulaani mashambulizi dhidi ya Wapalestina al-Aqsa

    Apr 19, 2022 07:25

    Maandamano makubwa yamefanyika katika mji mkuu wa Italia, Rome ya kulaani mashambulio ya wanajeshi makatili wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Msikiti wa al-Aqsa ulioko katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • DRC yawakamata wanaotuhumiwa kumuua balozi wa Italia

    DRC yawakamata wanaotuhumiwa kumuua balozi wa Italia

    Jan 20, 2022 04:24

    Vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo vimewatia nguvuni watu wawili wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya aliyekuwa balozi wa Italia nchini humo.

  • Wanawake nchini Italia waandamana kulaani ukatili wa kijinsia

    Wanawake nchini Italia waandamana kulaani ukatili wa kijinsia

    Nov 28, 2021 11:59

    Mitaa na barabara za Rome, mji mkuu wa Italia zimeshuhudia maandamano makubwa ya wanawake wanaolalamikia ongezeko la kesi za ukatili wa kijinsia na mizozo ya kinyumbani.

  • Watu wenye kirusi kipya cha corona cha Omicron wapatikana Ujerumani, Uingereza na Italia

    Watu wenye kirusi kipya cha corona cha Omicron wapatikana Ujerumani, Uingereza na Italia

    Nov 28, 2021 07:46

    Mashirika ya tiba katika nchi za Ujerumani, Uingereza na Italia yametangaza kuwa watu kadhaa wamegunduliwa kuwa na aina mpya ya kirusi cha corona cha omicron ambacho kinasambaa kwa kasi zaidi kulinganisha na spishi za kabla yake.

  • Mgogoro wa wakimbizi; italia yataka kuitishwe kikao maalumu cha kutafuta suluhisho

    Mgogoro wa wakimbizi; italia yataka kuitishwe kikao maalumu cha kutafuta suluhisho

    Aug 06, 2021 02:24

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Italia ametoa wito wa kuitishwa kikao maalumu cha kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa wakimbizi na kugawana wakimbizi hao baina ya nchi za Ulaya kwa uadilifu.

  • Italia yakanusha madai ya kutaka kuimarisha uwepo wa askari wake Libya

    Italia yakanusha madai ya kutaka kuimarisha uwepo wa askari wake Libya

    Jun 27, 2021 07:34

    Wizara ya Ulinzi ya Italia imekadhibisha madai ya baadhi ya vyombo vya habari kuwa Rome ina mpango wa kuongeza idadi ya wanajeshi wake nchini Libya.

  • Maandamano ya kuunga mkono Palestina yafanyika Italia

    Maandamano ya kuunga mkono Palestina yafanyika Italia

    Jun 06, 2021 12:44

    Watu wa Italia wameshiriki katika maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Roma kwa lengo la kutangaza uungaji mkono wao kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina sambamba na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Safari ya mawaziri watatu wa mambo ya nje wa Ulaya nchini Libya

    Safari ya mawaziri watatu wa mambo ya nje wa Ulaya nchini Libya

    Mar 27, 2021 02:30

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Ufaransa, Ujerumani na Italia Alkhamisi iliyopita walikwenda Tripoli mji mkuu wa Libya kwa shabaha ya kujadili mustakbali wa uhusiano wa nchi za Ulaya na Libya. Mawaziri hao pia wamesisitiza udharura wa kuondoka vikosi vya majeshi ya kigeni katika ardhi ya Libya.

  • Italia: Tunaunga mkono juhudi za kuleta amani na utulivu nchini Libya

    Italia: Tunaunga mkono juhudi za kuleta amani na utulivu nchini Libya

    Mar 12, 2021 12:02

    Serikali ya Italia imesema kuwa inaunga mkono kikamilifu juhudi za kurejesha amani na utulivu katika nchi ya kaskazini mwa Afrika ya Libya.

  • Italia pia yasitisha mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati

    Italia pia yasitisha mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati

    Jan 30, 2021 07:52

    Serikali ya Italia imesimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, baada ya wanaharakati na wabunge wa nchi hiyo ya Ulaya kuonya kuwa, silaha hizo zinatumika kukanyaga haki za binadamu nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS