Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Mazungumzo ya amani ya CAR yamalizika pasina na matunda yoyote

    Mazungumzo ya amani ya CAR yamalizika pasina na matunda yoyote

    Mar 29, 2022 01:30

    Mazungumzo ya amani katika nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati iliyoathiriwa na vita vya ndani vinavyoendelea tangu mwaka 2013 yamemalizika pasina na kuchukuliwa na maamuzi muhimu.

  • Kadhaa wauawa katika shambulio la waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati.

    Kadhaa wauawa katika shambulio la waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati.

    Mar 25, 2022 14:24

    Watu wasiopungua watano wameuawa baada ya genge moja la waasi kushambulia kambi ya jeshi huko mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Shambulio jipya la waasi laua watu 33 Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Shambulio jipya la waasi laua watu 33 Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 02, 2021 08:12

    Watu wapatao 33, wakiwemo wanajeshi wawili, wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa kwa wakati mmoja na watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa waasi wa kundi liitwalo 3R katika vijiji viwili vilivyoko kaskazini magharibi mwa mkoa wa Ouham-Pendé, nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Wakimbizi 15,000 kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamiminika Kongo DR

    Wakimbizi 15,000 kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamiminika Kongo DR

    Nov 05, 2021 07:47

    Zaidi ya raia 15,000 wa Jamhuri ya Afrika ya Kati waliokimbia mapigano kati ya jeshi na waasi wamevuka mpaka na kuingia eneo la Bosobolo, Ubangi Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya muda wa siku 17.

  • Rwanda na Jamhuri ya Afrika ya Kati zafikia makubaliano ya kilimo + Sauti

    Rwanda na Jamhuri ya Afrika ya Kati zafikia makubaliano ya kilimo + Sauti

    Sep 15, 2021 04:24

    Nchi za Rwanda na Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) zimekubaliana kuunda tume maalumu itakayoratibu ushirikiano wa mataifa hayo mawili katika sekta ya kilimo na biashara,. Sylvanus Karemera na maelezo zaidi kutoka Kigali

  • UN: Raia sita wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mwa CAR

    UN: Raia sita wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mwa CAR

    Aug 01, 2021 08:04

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa watu sita wameuawa katika shambulio la waasi wanaobeba silaha kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Raia 13 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Raia 13 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jul 23, 2021 07:45

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuuawa raia wasiopungua 13 katika shambulio la wabeba silaha huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • 7 wauawa baada ya waasi kushambulia kambi za jeshi CAR

    7 wauawa baada ya waasi kushambulia kambi za jeshi CAR

    Jul 01, 2021 07:38

    Watu wasiopungua saba wameuawa katika msururu wa mashambulio ya genge moja la waasi mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Russia yakanusha kuhusika wakufunzi wake wa kijeshi na mauaji huko CAR

    Russia yakanusha kuhusika wakufunzi wake wa kijeshi na mauaji huko CAR

    Jun 29, 2021 11:21

    Ikulu ya Russia (Kremlin) imekanusha madai kwamba wakufunzi wa kijeshi wa nchi hiyo waliopo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wamehusika katika mauaji ya raia na kupora mali za watu majumbani.

  • UN yakosoa mienendo ya vikosi vya usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yakosoa mienendo ya vikosi vya usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 17, 2021 06:51

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewakosoa vikali maafisa usalama wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, kwa kile alichokitaja kuwa kushtadi mienendo ya kiuhasama na vitisho dhidi ya askari wa kulinda amani wa umoja huo nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS