Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

JCPOA

  • Mashauriano ya Blinken na Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mashauriano ya Blinken na Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    May 16, 2022 07:33

    Akizungumza karibuni kando ya mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa NATO, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameshauriana na mawaziri wenzake wa Ujerumani, Ufaransa na Uingereza kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran na vilevile matukio ya hivi karibuni nchini Ukraine.

  • Iran yaikosoa Marekani kwa kuibua masharti mapya ya kuondoa vikwazo

    Iran yaikosoa Marekani kwa kuibua masharti mapya ya kuondoa vikwazo

    Apr 11, 2022 02:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani imeibua masharti mapya inayotaka Tehran itekeleze ili iondolewe vikwazo sanjari na kuhuishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ya mwaka 2015.

  • Iran haiwezi kusalimu amri mbele ya kujitakia makuu Marekani

    Iran haiwezi kusalimu amri mbele ya kujitakia makuu Marekani

    Apr 05, 2022 02:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu katu haiwezi kusalimu amri mkabala wa uchu, tamaa na kujitakia makuu Marekani.

  • Marekani yaendeleza msimamo ulio dhidi ya makubaliano ya nyuklia, JCPOA

    Marekani yaendeleza msimamo ulio dhidi ya makubaliano ya nyuklia, JCPOA

    Mar 28, 2022 03:39

    Mwakilishi maalumu wa serikali ya Marekani katika masuala ya Iran ameendeleza msimamo wa Washington ulio dhidi ya makubaliano ya nyuklia, JCPOA kwa kudai kwamba, serikali ya sasa haiwezi kutoa hakikisho na dhamana juu ya maamuzi yatakayochukuliwa na serikali ijayo ya Marekani kuhusu makubaliano hayo.

  • Iran na EU zajadili masuala yaliyosalia katika mazungumzo ya Vienna

    Iran na EU zajadili masuala yaliyosalia katika mazungumzo ya Vienna

    Mar 27, 2022 12:29

    Kiongozi wa timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna, Ali Baqeri Kani amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Enrique Mora, mratibu wa mazungumzo ya Vienna, ambapo wamejadili hatua zilizopigwa na masuala yaliyosalia katika mazungumzo hayo yanayofanyika huko Austria.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake

    Mar 17, 2022 06:38

    Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aliwasili mjini Moscow siku ya Jumanne akiongoza ujumbe wa ngazi za juu kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na Sergey Lavrov, Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Russia kuhusu masuala ya pande mbili, mazungumzo ya Vienna, Ukraine, Syria, Yemen na Afghanistan.

  • Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna

    Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna

    Mar 11, 2022 03:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema masuala ya msingi na kuondolewa Iran vikwazo havipaswi kuathiriwa na tabia ya kujitakia makuu Marekani.

  • Iran yaionya Marekani, yasema ina mpango wa pili iwapo mazungumzo ya Vienna yatafeli

    Iran yaionya Marekani, yasema ina mpango wa pili iwapo mazungumzo ya Vienna yatafeli

    Mar 01, 2022 11:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Saeed Khatibzadeh ameionya Marekani kuhusu ‘kuhadaa na kuboronga’ katika mazungumzo ya Vienna yaliyoitishwa kufufua mapatano ya nyuklia ya mwaka 2015 ya JCPOA. Katika ujumbe wake kupitia Twitter mapema Jumanne, Khatibzadeh amesema Iran iko tayari kufikia mapatano kupitia mazungumzo lakini haitasubiri milele.

  • Amir-Abdollahian: Mazungumzo ya Vienna yatafanikiwa iwapo nchi za Magharibi zaitabadilisha msimamo

    Amir-Abdollahian: Mazungumzo ya Vienna yatafanikiwa iwapo nchi za Magharibi zaitabadilisha msimamo

    Feb 27, 2022 04:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya na kusema baadhi ya masuala muhimu yaliyosalia katika mazungumzo ya Vienna ya kuondolewa Iran vikwazo yanaweza kutatuliwa.

  • Iran kuendelea kurutubisha urani kwa 20% hata ikiondolewa vikwazo

    Iran kuendelea kurutubisha urani kwa 20% hata ikiondolewa vikwazo

    Feb 26, 2022 02:39

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuzalisha madini ya urani iliyoritubishwa kwa kiwango cha asilimia 20, hata kama itaondolewa vikwazo katika mazungumzo ya Vienna yanayolenga kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS