Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

  • Iran yapinga tuhuma zisizo na msingi za Arab League

    Iran yapinga tuhuma zisizo na msingi za Arab League

    Mar 11, 2022 08:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekadhibisha madai yaliyotolewa dhidi ya taifa hili katika mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

  • Aboul Gheit: Maambukizi ya corona yamezidisha umaskini katika Ulimwengu wa Kiarabu

    Aboul Gheit: Maambukizi ya corona yamezidisha umaskini katika Ulimwengu wa Kiarabu

    Feb 14, 2022 03:20

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesema janga la corona limezidisha pakubwa umaskini na ukosefu wa ajira miongoni mwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo.

  • Kurejea Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu; kushindwa siasa za kuvuruga usalama wa eneo

    Kurejea Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu; kushindwa siasa za kuvuruga usalama wa eneo

    Nov 26, 2021 10:35

    Mwanachama wa Kamisheni ya Usalama wa Kitaifa na Siasa za kigeni ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema ombi la nchi za Kiarabu la kutaka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League, ni alama ya kushindwa siasa za kuvuruga usalama na kutaka kubadilisha muundo wa siasa nchini Syria.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono mwafaka wa kisiasa uliofikiwa nchini Sudan

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono mwafaka wa kisiasa uliofikiwa nchini Sudan

    Nov 24, 2021 16:19

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amesema, jumuiya hiyo inaunga mkono makubaliano ya kisiasa yaliyofikiwa nchini Sudan.

  • Iran yalaani tuhuma za kuaibisha zilizotolewa na inayojiita kamati ya pande nne ya Jumuiya ya Waarabu

    Iran yalaani tuhuma za kuaibisha zilizotolewa na inayojiita kamati ya pande nne ya Jumuiya ya Waarabu

    Sep 10, 2021 12:53

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani tuhuma za kuaibisha zilizotolewa na inayojiita kamati ya pande nne ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Ethiopia yapinga azimio la Arab League kuhusu Bwawa la Renaissance

    Ethiopia yapinga azimio la Arab League kuhusu Bwawa la Renaissance

    Jun 17, 2021 02:27

    Ethiopia imepinga na kukosoa vikali azimio lililopasishwa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu linalolitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liingilie kati mgogoro juu ya Bwawa la al-Nahdha.

  • Hatimae Arab League yajitutumua kujadili jinai za utawala wa Kizayuni

    Hatimae Arab League yajitutumua kujadili jinai za utawala wa Kizayuni

    May 09, 2021 05:50

    Hatimaye Jumuiya ya nchi za Kiarabu (Arab League) imeamua kuitisha kikao cha kuchukua maamuzi kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia ombi la Mamlaka ya Ndani ya Palestina.

  • Arab League: Maazimio ya Baraza la Usalama la UN kuhusu ulazima kuondoka maghasibu huko Palestina yatekelezwe

    Arab League: Maazimio ya Baraza la Usalama la UN kuhusu ulazima kuondoka maghasibu huko Palestina yatekelezwe

    Apr 21, 2021 02:29

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesisitiza udharura wa kutekelezwa maazimio yote ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayotaka kukomeshwa uvamizi wa Israel na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.

  • Russia yasisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Arab League

    Russia yasisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Arab League

    Apr 13, 2021 02:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

  • Arab League yatakiwa iache kutoa taarifa zisizo na msingi

    Arab League yatakiwa iache kutoa taarifa zisizo na msingi

    Mar 06, 2021 08:17

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ijiepushe na tabia yake ya kutoa taarifa zisizo na msingi wowote na badala yake, ikumbatie mambo ambayo yanaweza kuimarisha ushirikiano wa nchi za eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS