Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu

  • Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu mjini Islamabad

    Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu mjini Islamabad

    Mar 23, 2022 10:46

    Mkutano wa 48 wa siku mbili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ulianza jana Jumanne mjini Islamabad, mji mkuu wa Pakistan.

  • Amir-Abdollahian: Tunatumai ushirikiano wa Iran na Saudia utasaidia kutatua matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Amir-Abdollahian: Tunatumai ushirikiano wa Iran na Saudia utasaidia kutatua matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Feb 04, 2022 08:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Iran na Saudi Arabia ni nchi muhimu katika eneo na Ulimwengu wa Kiislamu na akaeleza kwamba ana matumaini ushirikiano baina ya nchi hizo mbili utasaidia kutatua matatizo ya eneo na ya Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Baada ya miaka 6; hatimaye wanadiplomasia watatu wa Iran wawasili mjini Jiddah Saudia

    Baada ya miaka 6; hatimaye wanadiplomasia watatu wa Iran wawasili mjini Jiddah Saudia

    Jan 18, 2022 02:36

    Baada ya kupita miaka 6 ya Saudia kutoruhusu uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndani ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC, hatimaye hivi Riyadh sasa imeruhusu na tayari wanadiplomasia watatu wa Iran wamewasili mjini Jeddah kwa ajili ya kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu katika jumuiya hiyo.

  • OIC yamlaani rais wa Israel kwa kuingia Msikiti wa Ibrahim AS kinyume cha sheria

    OIC yamlaani rais wa Israel kwa kuingia Msikiti wa Ibrahim AS kinyume cha sheria

    Nov 30, 2021 07:54

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hatua ya Rais Isaac Herzog wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil au Hebron kusini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Iran  yampongeza Katibu Mkuu mpya wa OIC kwa kuanza kazi rasmi

    Iran yampongeza Katibu Mkuu mpya wa OIC kwa kuanza kazi rasmi

    Nov 25, 2021 14:34

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi balozi Hussein Ibrahim Taha, Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Uushirikiano wa Kiislamu (OIC) kwa kuanza rasmi kazi yake na kueleza utayarifu wa Tehran kwa kushirikiana naye.

  • Sisitizo la Iran la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa na mchango amilifu zaidi nchini Afghanistan

    Sisitizo la Iran la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa na mchango amilifu zaidi nchini Afghanistan

    Oct 20, 2021 02:21

    Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, lengo la genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh huko Afghanistan ni kuchochea chuki na uadui wa kimadhehebu na ameitaka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC ilaani vikali vitendo vya kinyama vya Daesh.

  • Iran yaitaka OIC ilaani mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Afghanistan

    Iran yaitaka OIC ilaani mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Afghanistan

    Oct 19, 2021 00:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa lengo la genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) huko Afghanistan ni kuchochea chuki na uadui wa kimadhehebu na ameitaka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC ilaani vikali vitendo vya kinyama vya Daesh.

  • OIC yalaani hatua ya Israel kubomoa makuburi ya Wapalestina Quds

    OIC yalaani hatua ya Israel kubomoa makuburi ya Wapalestina Quds

    Oct 13, 2021 12:56

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kubomoa makaburi ya Waislamu katika mji wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa OIC kimeanza Niamey, Niger

    Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa OIC kimeanza Niamey, Niger

    Nov 28, 2020 04:32

    Kikao cha 47 cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) kimeanza huko Niamey mji mkuu wa Niger.

  • OIC yasikitishwa na maafisa wa Ufaransa kumtusi Mtume Muhammad (SAW)

    OIC yasikitishwa na maafisa wa Ufaransa kumtusi Mtume Muhammad (SAW)

    Oct 24, 2020 07:38

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya maafisa wa serikali ya Ufaransa ya kuendelea kumtusi na kumvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS