Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

kirusi cha corona

  • Waafghani wote walioko Iran wamepokea chanjo ya bure ya COVID-19

    Waafghani wote walioko Iran wamepokea chanjo ya bure ya COVID-19

    Apr 23, 2022 02:35

    Waziri wa Afya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema raia wote wa Afghanistan wanaoshi kama wakimbizi hapa nchini wamepigwa chanjo ya kupambana na ugonjwa wa COVID-19 bila malipo.

  • Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Afrika Kusini

    Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Afrika Kusini

    Apr 22, 2022 07:55

    Afrika Kusini ambayo ilikuwa shwari kutokana na kupungua kwa maambukizi ya corona kwa kiasi fulani katika siku za karibuni imetangaza kukumbwa kwa mara nyingine tena na ongezeko la maambukizi ya corona nchini humo.

  • Kiwango cha maambukizi ya corona chapungua duniani kwa wiki ya tatu mtawalia

    Kiwango cha maambukizi ya corona chapungua duniani kwa wiki ya tatu mtawalia

    Apr 14, 2022 02:25

    Kiwango cha maambukizi ya Covid-19 duniani kimepungua kwa kwa wiki ya tatu mfululizo hadi kufikia tarehe 10 Aprili.

  • Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Uingereza

    Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Uingereza

    Apr 06, 2022 11:14

    Idadi ya watu wanaougua ugonjwa wa UVIKO1-19 nchini Uingereza khususan wale wanaopatwa na maambukizi aina mpya ya kirusi cha corona cha Omicron inazidi kuongezeka.

  • Chanjo ya kwanza ya COVID-19 kwa njia ya pua duniani yasajiliwa Russia

    Chanjo ya kwanza ya COVID-19 kwa njia ya pua duniani yasajiliwa Russia

    Apr 02, 2022 07:50

    Wizara ya Afya ya Russia imesajili chanzo ya kwanza duniani ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 inayotolewa kupitia puani.

  • Shirika la Afya Duniani laonya kuhusu mlipuko mpya wa corona

    Shirika la Afya Duniani laonya kuhusu mlipuko mpya wa corona

    Mar 17, 2022 08:52

    Shirika la Afya Duniani limeonya kwamba kuondoa vizuizi vya kijamii, kupunguza uzingatiaji wa masuala ya afya ya umma na viwango vya chini vya chanjo vimesababisha ongezeko la idadi ya visa vya maambukizi ya Covid-19 duniani.

  • WHO inaanza kujadili vipi na lini itangaze kumalizika kwa janga la COVID-19

    WHO inaanza kujadili vipi na lini itangaze kumalizika kwa janga la COVID-19

    Mar 12, 2022 06:53

    Wataalamu wa afya ya jamii katika Shirika la Afya Duniani WHO wameanza kujadili vipi na lini itangazwe kumalizika kwa janga la dunia nzima la maradhi ya COVID-19, tukio linalotazamiwa kuwa na umuhimu kihistoria baada ya kupita zaidi ya miaka miwili tangu kilipojitokeza kirusi cha maradhi hayo.

  • Kesi za maambukizi ya corona zaongezeka Nigeria baada ya wanafunzi kurejea nchini wakitokea Ukraine

    Kesi za maambukizi ya corona zaongezeka Nigeria baada ya wanafunzi kurejea nchini wakitokea Ukraine

    Mar 11, 2022 04:43

    Nigeria imetangaza ongezeko la maambukizo ya Covid-19 siku moja baada ya kusajili idadi ndogo zaidi ya kila siku iliyorekodiwa tangu kuanza kwa janga hilo.

  • Iran yafanyia majaribio yaliyofana chanjo ya kukabiliana na Omicron

    Iran yafanyia majaribio yaliyofana chanjo ya kukabiliana na Omicron

    Feb 17, 2022 03:19

    Shirika la Kutengeneza Dawa la Shifa la Iran limetangaza mafanikio makubwa ya awali katika majaribio ya chanjo ya kukabiliana na COVID-19 aina ya Omicron.

  • Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu

    Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu

    Feb 17, 2022 03:18

    Serikali ya Zanzibar jana Jumatano ilizindua rasmi teknolojia mpya inayoweza kutambua uwezekano wa maambukizi ya Covid-19 kwa muda mfupi kwa kutumia simu (EDE).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS