Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

kirusi cha corona

  • Aboul Gheit: Maambukizi ya corona yamezidisha umaskini katika Ulimwengu wa Kiarabu

    Aboul Gheit: Maambukizi ya corona yamezidisha umaskini katika Ulimwengu wa Kiarabu

    Feb 14, 2022 03:20

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesema janga la corona limezidisha pakubwa umaskini na ukosefu wa ajira miongoni mwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo.

  • Aina mpya ya spishi ya Corona ya Omicron yaripotiwa katika nchi 57 duniani

    Aina mpya ya spishi ya Corona ya Omicron yaripotiwa katika nchi 57 duniani

    Feb 03, 2022 03:11

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema aina mpya ya spishi ya kirusi cha Corona cha Omicron imeripotiwa katika nchi 57 duniani kufikia sasa.

  • ICN yatahadharisha kuhusu ukosefu wa usawa katika sekta ya afya zama za corona

    ICN yatahadharisha kuhusu ukosefu wa usawa katika sekta ya afya zama za corona

    Jan 24, 2022 12:28

    Baraza la Kimataifa la Wauguzi (ICN) limeonya juu ya kuongezeka harakati ya kuajiri wauguzi kutoka nchi maskini kwenda nchi tajiri huku aina ya Omicron ya kirusi cha corona ikiongezeka katika nchi hizo.

  • WHO: Omicron huwenda ikahitimisha corona barani Ulaya

    WHO: Omicron huwenda ikahitimisha corona barani Ulaya

    Jan 24, 2022 03:12

    Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani barani Ulaya ameeleza kuwa maambukizi ya kirusi cha corona aina ya Omicron huwenda yakawa mwisho wa kumalizika ugonjwa wa UVIKO-19 barani Ulaya.

  • Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Jan 22, 2022 02:39

    Rais Joe Biden wa chama cha Democrat aliingia madarakani mwaka mmoja uliopita mnamo Januari 20, 2021, huku akitoa ahadi nyingi, hasa za kubadilisha hatua zilizochukuliwa na mtangulizi wake, Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wa chama cha Republican.

  • CAF yaweka sheria za ajabu za corona katika fainali za AFCON 2021 huko Cameroon

    CAF yaweka sheria za ajabu za corona katika fainali za AFCON 2021 huko Cameroon

    Jan 10, 2022 06:17

    Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limetangaza sheria zilizowastaajabisha wengi za corona Katika mashindayo yaliyoanza jana ya Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Cameroon.

  • Maambukizi ya Corona Afrika yapindukia kesi milioni 10, WHO yatahadharisha kuhusu tsunami ya kutatanisha

    Maambukizi ya Corona Afrika yapindukia kesi milioni 10, WHO yatahadharisha kuhusu tsunami ya kutatanisha

    Jan 08, 2022 02:50

    Bara la Afrika limevuka visa milioni 10 vilivyorekodiwa vya maambukizi ya Covid-19, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likuonya juu ya tsunami kubwa na ya haraka ya maambukizo ya corona ambayo yanachanganya mifumo ya afya kote duniani.

  • Waziri wa Afya Kenya: Hoteli na migahawa isiwapokee watu ambao hawajachanjwa

    Waziri wa Afya Kenya: Hoteli na migahawa isiwapokee watu ambao hawajachanjwa

    Dec 28, 2021 08:02

    Serikali ya Kenya kupitia Wizara ya Afya, imeagiza migahawa na hoteli kutotoa huduma kwa wateja ambao hawajachanjwa kama njia ya kukabiliana na maambukizi ya COVID-19 nchini humo hususan katika kipindi hiki cha sikukuu za mwishoni mwa mwaka.

  • Safari zaidi ya 4,500 za ndege zafutwa duniani kutokana na msambao wa omicron

    Safari zaidi ya 4,500 za ndege zafutwa duniani kutokana na msambao wa omicron

    Dec 25, 2021 12:18

    Mashirika ya ndege katika maeneo mbalimbali duniani yamefuta zaidi ya safari 4,500, kutokana na msambao wa virusi vya omicron, sambamba na kuanza mapumziko ya mwaka mpya wa miladia.

  • Gordon Brown: Nchi za Afrika zisilaumiwe kwa kusambaa kirusi cha corona aina ya Omicron

    Gordon Brown: Nchi za Afrika zisilaumiwe kwa kusambaa kirusi cha corona aina ya Omicron

    Dec 25, 2021 04:31

    Gordon Brown, waziri mkuu wa zamani wa Uingereza, amesema kuzuka kwa kirusi kipya cha corona, "Omicron" sio kosa la Afrika, na amezilaumu nchi tajiri ambazo zilijilimbikizia mamia ya mamilioni ya dozi za chanjo ya corona, kwa kukataa kutoa chanjo kwa nchi maskini licha ya tahadhari iliyotolewa hapo awali kwamba kutofanya hivyo kutatatiza juhudi za kuangamiza kirusi hicho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS