Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Lebanon

  • Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

    Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

    May 20, 2022 09:08

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, juzi usiku alitoa hutuba akibainisha tathmini yake kuhusu matokeo ya uchaguzi wa hivi karibu wa bunge la nchi hiyo.

  • Matokeo ya karibuni ya uhesabuji kura za awali katika uchaguzi wa bunge Lebanon

    Matokeo ya karibuni ya uhesabuji kura za awali katika uchaguzi wa bunge Lebanon

    May 16, 2022 07:37

    Ripota wa televisheni ya al Aalam ametangaza kuwa, Harakati ya Amal inayoongozwa na Nabih Berri Spika wa Bunge la Lebanon imetangaza baada ya kujulikana matokeo ya awali ya uhesabuji kura kwamba, hadi sasa imeshinda viti 17 bungeni huku Harakati ya Muqawama ya nchi hiyo Hizbullah pia ikishinda viti 23 hadi sasa.

  • Ukosoaji wa Sayyid Nasrullah kwa wanaoziandama silaha za muqawama badala ya matatizo ya uchumi, katika kampeni za uchaguzi wa Lebanon

    Ukosoaji wa Sayyid Nasrullah kwa wanaoziandama silaha za muqawama badala ya matatizo ya uchumi, katika kampeni za uchaguzi wa Lebanon

    May 11, 2022 10:42

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah, amesema kuhusu matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na vituo kadhaa vya utafiti kwamba dukuduku la akthari ya watu wa Lebanon si silaha za Muqawama bali ni hali zao za maisha.

  • Nasrallah: Watu wa Lebanon hawapingi Hizbullah kumiliki silaha

    Nasrallah: Watu wa Lebanon hawapingi Hizbullah kumiliki silaha

    May 10, 2022 04:33

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah ameashiria uchunguzi wa maoni wa hivi karibuni na kusema tatizo la waliowengi nchini Lebanon si silaha za Hizbullah au Muqawama bali ni hali ya maisha.

  • Kuwa tayari Lebanon kwa ajili ya zoezi la uchaguzi wa Bunge

    Kuwa tayari Lebanon kwa ajili ya zoezi la uchaguzi wa Bunge

    May 05, 2022 08:03

    Bassam Mawlawi, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Lebanon ametangaza kuwa, maandalizi ya lazima kwa ajili ya kuendesha zoezi la uchaguzi wa Bunge nchini humo katika muda uliopangwa yamekamilika.

  • Nasrullah atahadharisha kuhusu njama za kuitumbukiza Lebanon katika mzozo baada ya ajali ya boti

    Nasrullah atahadharisha kuhusu njama za kuitumbukiza Lebanon katika mzozo baada ya ajali ya boti

    Apr 25, 2022 10:51

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah ametahadharisha juu ya njama zenye lengo la kuibua machafuko katika nchi hiyo ambayo imeathiriwa na mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Sayyid Hassan Nasrullah ameeleza haya baada ya boti kuzama mashariki mwa bahari ya Mediterania.

  • Spika wa Lebanon: Iran ndio chimbuko kuu la muqawama katika eneo

    Spika wa Lebanon: Iran ndio chimbuko kuu la muqawama katika eneo

    Mar 25, 2022 14:23

    Spika wa Bunge la Lebanon ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama chanzo kikuu cha harakati za muqawama katika eneo la Asia Magharibi, zilizoipa ilhamu kambi ya muqawama kote duniani.

  • Saudia na Kuwait kuwarejesha mabalozi wao Lebanon

    Saudia na Kuwait kuwarejesha mabalozi wao Lebanon

    Mar 25, 2022 02:29

    Saudi Arabia na Kuwait zimeamua kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia na Beirut, ambao uliingia doa mwaka jana kufuatia matamshi ya ukosoaji aliyotoa aliyekuwa waziri wa habari wa Lebanon kuhusiana na uchokozi na uvamizi wa kijeshi wa muungano wa kivita wa unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen.

  • Hizbullah: Vikwazo vya Marekani haviathiri mapambano ya Walebanon

    Hizbullah: Vikwazo vya Marekani haviathiri mapambano ya Walebanon

    Mar 05, 2022 14:16

    Mbunge wa harakati ya Hizbullah katika Bunge la Lebanon amesema vikwazo vya Marekani havina taathira yoyote katika mapambano ya Kiislamu au muqawama na kuongeza kuwa, Hizbullah ina njia mbalimbali za kusimama kidete na kukabiliana na mashinikizo ya maadui.

  • Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine

    Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine

    Mar 04, 2022 08:04

    Wakazi wa mji mkuu wa Lebanon, Beirut wamefanya maandamano wakishirikiana na Warussia wanaoishi nchini humo wakiunga mkono operesheni ya Jeshi la Russia dhidi ya "mafashisti wa Ukraine".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS