Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

maandamano

  • Viongozi wa Sudan wapiga marufuku maandamano ya aina yoyote

    Viongozi wa Sudan wapiga marufuku maandamano ya aina yoyote

    Apr 30, 2022 11:25

    Viongozi wa Sudan wametangaza kupiga marufuku maandamano yoyote yale kwa mnasaba wa miaka mitatu ya maandamano ya kulalamikia madaraka ya nchi kutwaliwa na wanajeshi wa nchi hiyo.

  • Watetezi wa Palestina wafanya maandamano mbele ya ubalozi wa Israel mjini New York

    Watetezi wa Palestina wafanya maandamano mbele ya ubalozi wa Israel mjini New York

    Apr 22, 2022 01:52

    Makundi ya wapinzani wa utawala ghasibu wa Israel yamefanya maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Tel Aviv mjini New York, Marekani na kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina. Maandamano hayo yamefanyika kupinga ukatili na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Apr 17, 2022 08:17

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Rabat kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina, sanjari na kulaani kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kuuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa.

  • Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake

    Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake

    Apr 12, 2022 10:27

    Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kuishinikiza serikali ya nchi hiyo impe Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo pasipoti yake ya kusafiria iliyotwaa.

  • Macron na Le Pen waingia duru ya pili uchaguzi wa rais Ufaransa, ushiriki umepungua

    Macron na Le Pen waingia duru ya pili uchaguzi wa rais Ufaransa, ushiriki umepungua

    Apr 11, 2022 11:50

    Rais anayemaliza muda wake wa Ufaransa, Emmanuel Macron na mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia wa , Marine Le Pen wameongoza matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais wa Ufaransa uliofanyika jana Jumapili, na wakahamia duru ya pili kati ya hizi. uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili 24.

  • Wayemen wafanya maandamano ya kulaani uvamizi na vita dhidi ya nchi yao

    Wayemen wafanya maandamano ya kulaani uvamizi na vita dhidi ya nchi yao

    Mar 27, 2022 02:31

    Wananchi wa Yemen katika mkoa wa Saada jana Jumamosi walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga na kulaani moto wa vita uliowashwa na Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya nchi hiyo maskini kuanzia mwezi Machi 2015 na kuendelea hadi sasa.

  • Maandamano ya Wasudani milioni moja kufanyika leo, wanapinga utawala wa kijeshi

    Maandamano ya Wasudani milioni moja kufanyika leo, wanapinga utawala wa kijeshi

    Mar 21, 2022 07:47

    Makundi yanayopinga utawala wa kijeshi nchini Sudan yameitisha maandamano ya watu milioni moja leo Jumatatu, ambayo wamesema yataelekea katika ikulu ya rais katikati mwa mji mkuu, Khartoum. Maandamano ya leo ya Wasudani yanafuatia yale yaliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika miji mingine kadhaa ya Sudan.

  • Waturuki wabeba picha za Shahidi Soleimani wakiandamana dhidi ya Israel

    Waturuki wabeba picha za Shahidi Soleimani wakiandamana dhidi ya Israel

    Mar 12, 2022 13:24

    Wananchi wa Uturuki jana Ijumaa, kwa mara nyingine tena walimiminika mabarabarani katika maandamano ya kulaani ziara tata ya rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini mwao.

  • Wasudan waandamana tena kupinga utawala wa kijeshi, 50 wajeruhiwa

    Wasudan waandamana tena kupinga utawala wa kijeshi, 50 wajeruhiwa

    Mar 04, 2022 12:17

    Zaidi ya watu 50 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum na miji mingine mikubwa ya nchi hiyo.

  • Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine

    Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine

    Mar 04, 2022 08:04

    Wakazi wa mji mkuu wa Lebanon, Beirut wamefanya maandamano wakishirikiana na Warussia wanaoishi nchini humo wakiunga mkono operesheni ya Jeshi la Russia dhidi ya "mafashisti wa Ukraine".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS