Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Magharibi

  • Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    May 05, 2022 02:15

    Ikulu ya Kremlin imetangaza Jumanne kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia ametia saini amri ya kukabiliana na 'hatua zisizo za kirafiki za baadhi ya nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa." Dikrii hiyo inasisitiza hatua za kulipiza kisasi dhidi ya nchi ambazo zimetajwa kuwa 'zisizo za kirafiki'. Kwa mujibu wa amri hiyo Russia itaziwekea vikwazo baadhi ya nchi na taasisi za kimataifa.

  • Russia yakosoa juhudi za Magharibi za kurefusha vita vya Ukraine

    Russia yakosoa juhudi za Magharibi za kurefusha vita vya Ukraine

    Apr 21, 2022 09:11

    Waziri wa Ulinzi wa Russia, Sergei Shoigu amesema kwamba Marekani na nchi nyingine za Magharibi zimefanya jitihada kubwa za kurefusha muda wa operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu

    Apr 02, 2022 08:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa China, Wang Yi wamejadili masuala ya pande mbili, kieneo na kimataifa pembezoni mwa mkutano wa tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi jirani na Afghanistan.

  • Mbunge wa EU: Saudia inafanya jinai huku Wamagharibi wakiiba mafuta, gesi Yemen

    Mbunge wa EU: Saudia inafanya jinai huku Wamagharibi wakiiba mafuta, gesi Yemen

    Apr 02, 2022 02:33

    Mjumbe wa Bunge la Umoja wa Ulaya amesema katika hali ambayo muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia unaendelea kufanya kila aina ya jinai nchini Yemen tokea mwaka 2018 kwa upande mmoja, nchi za Magharibi kwa upande mwingine zinapora na kuiba rasilimali za nchi hiyo maskini, yakiwemo mafuta na gesi.

  • Lavrov awashutumu Wamagharibi kwa kutoshughuliswa na wananchi wa Ukraine

    Lavrov awashutumu Wamagharibi kwa kutoshughuliswa na wananchi wa Ukraine

    Mar 24, 2022 03:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezishutumu Marekani na Umoja wa Ulaya kwa kutoshughulishwa na wananchi wa Ukraine na wala mambo yaliyopelekea kutokea vita nchini humo.

  • Bin Salman atumia mafuta kuishinikiza Magharibi iiruhusu Saudia iendelee kunyonga watu

    Bin Salman atumia mafuta kuishinikiza Magharibi iiruhusu Saudia iendelee kunyonga watu

    Mar 20, 2022 02:49

    Tovuti ya habari ya Middle East Eye imeripoti kuwa, Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia anazinishiniza nchi za Magharibi zikubali Saudia iendelee kunyonga watu na kufanya inavyotaka mkabala wa mafuta ya petroli.

  • Bashar al-Assad: Magharibi imegeuza dunia kuwa msitu

    Bashar al-Assad: Magharibi imegeuza dunia kuwa msitu

    Mar 18, 2022 14:58

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amekosoa sera za nchi za Magharibi dhidi ya nchi yake na kusema: "Magharibi imeigeuza dunia kuwa msitu."

  • Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia

    Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia

    Feb 25, 2022 13:33

    Baada ya Russia kuchukua uamuzi wa kuishambuulia kijeshi Ukraine, kambi ya magharibi imeonyesha radiamali katika fremu ya kuiwekea vikwazo Moscow ambapo kabla ya hapo madola hayo yalikuwa yameahidi kuchukua uamuzi huo.

  • Vikwazo vya kimaonyesho vya Magharibi dhidi ya Russia kwa kisingizio cha mgogoro wa Ukraine

    Vikwazo vya kimaonyesho vya Magharibi dhidi ya Russia kwa kisingizio cha mgogoro wa Ukraine

    Feb 24, 2022 02:52

    Tangazo la Russia la kutambua rasmi uhuru wa Jamhuri za watu wa Donetsk na Luhansk huko mashariki mwa Ukraine limeibua hisia kali za nchi za Magharibi.

  • Mahakama ya Iran yakosoa sera za kupenda vita za Wamagharibi

    Mahakama ya Iran yakosoa sera za kupenda vita za Wamagharibi

    Jan 06, 2022 02:50

    Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amekosoa vikali sera za kupenda na kuchochea vita za nchi za Magharibi, huku akizilaani nchi hizo kwa madai yao bandia kuhusu suala la haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS