Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Marekani

  • Marekani na NATO zafanya mazoezi ya kijeshi karibu na mipaka ya Russia

    Marekani na NATO zafanya mazoezi ya kijeshi karibu na mipaka ya Russia

    May 17, 2022 03:04

    Mazoezi ya kijeshi ya pamoja baina ya Marekani na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO yanaendelea hivi sasa katika ardhi ya Estonia, karibu na kambi za kijeshi za Russia.

  • Asilimia 75 ya Wamarekani wanaona nchi yao inaenda upande sio; Ukraine imechangia

    Asilimia 75 ya Wamarekani wanaona nchi yao inaenda upande sio; Ukraine imechangia

    May 16, 2022 10:45

    Uchunguzi wa karibuni kabisa wa maoni unaonesha kuwa, umaarufu wa rais wa Marekani, Joe Biden umeporomoka tena, huku asilimia 75 ya Wamarekani wakiamini kuwa nchi yao inaendeshwa ovyo.

  • Iran yalaani ukiukwaji mpya wa haki za binadamu uliogundulika Marekani

    Iran yalaani ukiukwaji mpya wa haki za binadamu uliogundulika Marekani

    May 15, 2022 11:01

    Kazem Gharibabadi, Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa taarifa baada ya uchunguzi kubaini vifo vya zaidi ya watoto 500 wa jamii za asili za Marekani katika shule za bweni za kanisa, zilizofadhiliwa na serikali na kusema: "Pamoja na kuwepo ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu huko Marekani nchi hiyo inajipa jukumu la kuwapa wengine nasaha kuhusu haki za binadamu."

  • Moscow yasisitiza: Marekani inashiriki moja kwa moja katika vita vya Ukraine

    Moscow yasisitiza: Marekani inashiriki moja kwa moja katika vita vya Ukraine

    May 09, 2022 02:27

    Vyacheslav Volodin, mkuu wa Duma ya Russia, ameandika kwenye mtandao wa Telegram kwamba Merekani inashiriki moja kwa moja katika operesheni za kijeshi za Ukraine.

  • Seneta Rand Paul: Marekani ni kinara wa kusambaza habari za uongo duniani

    Seneta Rand Paul: Marekani ni kinara wa kusambaza habari za uongo duniani

    May 06, 2022 12:31

    Seneta wa chama cha Republican, Rand Paul amesema serikali ya Marekani ndiyo kinara wa kueneza habari za uongo katika historia ya dunia.

  • Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia

    Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia

    May 06, 2022 02:37

    Licha ya vitisho vya Umoja wa Ulaya kuhusiana na kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia katika fremu ya kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya nchi hiyo, lakini jambo hilo linaonekana kukabiliwa na upinzani mkali barani humo na hata baadhi ya viongozi wa Marekani kutoa onyo dhidi ya hatua hiyo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani apata corona

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani apata corona

    May 05, 2022 06:47

    Matokeo ya vipimo vya corona yanaonyesha kuwa Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameambukizwa maradhi ya Covid-19.

  • Ufyatuaji risasi mjini Chicago wapelekea watu 8 kuawa na wengine 16 kujeruhiwa

    Ufyatuaji risasi mjini Chicago wapelekea watu 8 kuawa na wengine 16 kujeruhiwa

    May 02, 2022 06:00

    Ikiwa ni katika mwendelezo wa vuruga na ufyatuaji risasi wa kiholela nchini Marekani, matukio kadhaa ya ufyatuaji risasi yameripotiwa mwishoni mwa wiki mjini Chicago ambapo watu wasiopungua wanane wameuawa na wengine kumi na sita kujeruhiwa.

  • Nation of Islam: AU ikate uhisiano na utawala wa Kibaguzi wa Israel

    Nation of Islam: AU ikate uhisiano na utawala wa Kibaguzi wa Israel

    Apr 30, 2022 08:19

    Mwakilishi wa kimataifa wa harakati ya Umma wa Kiislamu nchini Marekani amesema kuwa, Umoja wa Afrika unapaswa kuwaondoa mabalozi wake wote katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina na kukata uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021 licha ya kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021 licha ya kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Apr 27, 2022 03:49

    Utafiti wa hivi karibuni umebaini kuwa Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021, mwaka huo huo ambao ulishuhudia ongezeko kubwa la visa vya ubaguzi na unyanyasaji dhidi ya wafuasi wa dini hiyo ya Mwenyezi Mungu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS