-
Kufichuliwa jinai za kivita za jeshi la Marekani nchini Syria
Nov 14, 2021 11:12Gazeti la New York Times limetoa ripoti inayoonyesha kuwa, jeshi la Marekani limetenda uhalifu wa kivita kwa kuua makumi ya wanawake na watoto katika mashambulio ya anga liliyofanya nchini Syria kwa kisingizio cha kile kinachoitwa mapambano dhidi ya kundi la DAESH (ISIS).
-
Muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia waendeleza hujuma za kijeshi dhidi ya Yemen
Jul 16, 2021 08:11Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na utawala vamizi wa Saudi Arabia umeendelea kuyashambulia maenro mbalimbali ya Yemen.
-
Mashambulizi ya anga ya Israel yaua shahidi makumi ya Wapalestina Gaza
Nov 14, 2019 02:43Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne na kwa siku ya pili mfufulizo zilitekeleza mashambulizi ya anga zaidi ya 50 katika Ukanda wa Gaza, na kuua shahidi makumi ya Wapalestina.
-
Shambulizi la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina Gaza
Nov 02, 2019 12:25Mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel yamepelekea kuuawa shahidi raia mmoja wa Palestina na kujeruhiwa wengine wawili.
-
Uvamizi wa kijeshi wa Saudia dhidi ya Yemen umeua 100,000 tangu 2015
Nov 01, 2019 01:19Ripoti ya asasi moja isiyo ya kiserikali imesema watu zaidi ya 100,000 wameuawa nchini Yemen katika vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake tokea mwaka 2015 hadi sasa.
-
UNICEF: Watoto milioni 2 wamekatiziwa masomo Yemen kutokana na vita
Sep 26, 2019 04:13Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto zaidi ya milioni mbili nchini Yemen wameshindwa kuendelea na masomo yao kutokana na vita vinavyoshuhudiwa nchini humo.
-
Kutambuliwa kimataifa kwamba mashambulizi ya Marekani nchini Syria ni jinai ya kivita
Sep 12, 2019 10:25Muungano wa kimataifa wa eti kupambana na Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani uliundwa mwaka 2014 kwa madai ya kukabiliana na genge hilo la kigaidi, na umekuwa ukifanya mashambulizi ya kiholela nchini Syria bila ya kuwa na taathira zozote za maana mbaya kwa genge hilo la ukufurishaji.
-
Makumi ya magaidi waangamizwa na jeshi la Misri eneo la Sinai
Jul 20, 2019 07:24Jeshi la Misri limetangaza kuwa limeua magaidi 20 katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
40 wauawa, 80 wajeruhiwa katika shambulizi la anga dhidi ya kituo cha wahajiri Libya
Jul 03, 2019 02:49Watu wasiopungua 40 wameuawa huku wengine zaidi ya 80 wakijeruhiwa katika shambulizi la anga lililolenga kituo cha kuwazuilia wahajiri haramu mashariki mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Hujuma ya anga ya Marekani yaua 37 nchini Somalia
Nov 21, 2018 07:46Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) na Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika (AFRICOM) zimedai kuwa mashambulizi ya anga ya wanajeshi wake yamefanikiwa kuangamiza wanachama 37 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia.