Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Niger

  • Shambulio la anga la Nigeria laua watoto saba, lajeruhi watano nchini Niger

    Shambulio la anga la Nigeria laua watoto saba, lajeruhi watano nchini Niger

    Feb 21, 2022 07:44

    Watoto saba wameuawa na wengine watano wamejeruhiwa katika shambulio la anga ambalo imeelezwa kuwa limefanywa kimakosa na jeshi la Nigeria katika eneo la Maradi kusini mwa Niger.

  • Magaidi 100 wa Al Qaida wauawa katika mpaka wa Burkina Faso na Mali

    Magaidi 100 wa Al Qaida wauawa katika mpaka wa Burkina Faso na Mali

    Dec 15, 2021 08:07

    Mamluki 100 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Qaida wameuawa katika oparesheni za pamoja kati ya Burkina Faso na Niger katika mpaka wa nchi mbili hizo.

  • Rais wa Niger akosoa udhaifu wa nchi jirani katika kupambana na ugaidi

    Rais wa Niger akosoa udhaifu wa nchi jirani katika kupambana na ugaidi

    Dec 09, 2021 04:39

    Rais wa Niger amezikosoa nchi jirani katika mapambano ya kukabiliana na ugaidi na magendo ya silaha kutoka Libya katika eneo la Sahel Afrika.

  • Zaidi ya watu 100 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi Niger

    Zaidi ya watu 100 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi Niger

    Dec 05, 2021 15:38

    Shambulio la kigaidi dhidi ya kambi moja ya jeshi magharibi mwa Niger limepelekea zaidi ya watu 100 kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa.

  • Upinzani dhidi ya wanajeshi wa Ufaransa waongezeka Niger, Burkina Faso

    Upinzani dhidi ya wanajeshi wa Ufaransa waongezeka Niger, Burkina Faso

    Nov 28, 2021 02:51

    Asasi za kitaifa za Niger zimeendelea na harakati kama za wananchi wa Burkina Faso za kufanya maandamano ya kupinga kuwepo wanajeshi wa Ufaransa katika nchi hizo.

  • Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa

    Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa

    Nov 21, 2021 08:12

    Vyombo vya habari vimeripot kwamba raia wanne wa Burkina Faso wamejeruhiwa katika malalamiko ya kupinga kupita nchini humo msafara wa kijeshi wa Ufaransa kuelekea nchi jirani ya Niger.

  • Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki

    Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki

    Nov 21, 2021 03:02

    Niger na Uturuki zimetangaza kufikia makubaliano ambayo yanajumuisha kuiuzia Niger silaha mbalimbali zikiwemo ndege zisizo na rubani (droni) na magari ya kivita ili kuongeza uwezo wake wa kijeshi katika kukabiliana na makundi ya kigaidi.

  • 25 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Niger

    25 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Niger

    Nov 18, 2021 02:57

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika shambulio la watu waliobeba silaha huko kusini magharibi mwa Niger.

  • Wanafunzi 26 waaga dunia katika mkasa wa moto shuleni Niger

    Wanafunzi 26 waaga dunia katika mkasa wa moto shuleni Niger

    Nov 09, 2021 03:23

    Wanafunzi wasiopungua 26 wameaga dunia katika mkasa wa moto ulioikumba shule moja nchini Niger.

  • AU yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua watu 69 Niger

    AU yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua watu 69 Niger

    Nov 06, 2021 03:24

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu huko kusini magharibi mwa Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS