Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Niger

  • AU yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua watu 69 Niger

    AU yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua watu 69 Niger

    Nov 06, 2021 03:24

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu huko kusini magharibi mwa Niger.

  • Watu wapatao 70 wauawa katika shambulio dhidi ya kijiji kusini magharibi mwa Niger

    Watu wapatao 70 wauawa katika shambulio dhidi ya kijiji kusini magharibi mwa Niger

    Nov 05, 2021 03:08

    Serikali ya Niger imethibitisha kuwa watu wasiopungua 69, akiwemo meya wa mji, wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Watu 10 wauawa msikitini katika hujuma ya kigaidi Niger

    Watu 10 wauawa msikitini katika hujuma ya kigaidi Niger

    Oct 14, 2021 06:04

    Taarifa zinasema kuwa watu 10 wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti wa kijiji kimoja huko magharibi mwa Niger.

  • Amnesty International: Watoto wengi wanauawa au kusajiliwa na makundi ya kitakfiri

    Amnesty International: Watoto wengi wanauawa au kusajiliwa na makundi ya kitakfiri

    Sep 14, 2021 01:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, watoto wengi wamekuwa wakisajiliwa na kutumiwa kama askari vitani na makundi ya kitakfiri au kuuawa na makundi hayo katika maeneo ya mpaka wa Burkina Faso, Niger na Mali

  • Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria

    Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria

    Sep 04, 2021 06:47

    Wizara ya Afya ya Niger imetangaza kuwa, watu zaidi ya 100 wameaga dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu ulioyakumba maeneo ya karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Nigeria.

  • Niger: Wanajeshi 16 wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram

    Niger: Wanajeshi 16 wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram

    Aug 26, 2021 08:04

    Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, kwa akali wanajeshi wake 16 wameuawa kufuatia shambulio la kigaidi kusini magharibi mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Makumi ya watu wauawa katika hujuma ya silaha magharibi mwa Niger

    Makumi ya watu wauawa katika hujuma ya silaha magharibi mwa Niger

    Aug 17, 2021 15:51

    Kundi moja la watu wasiojulikana limeua karibu raia 40 huko magharini mwa nchi ya Niger.

  • Watu 19 wauawa katika shambulizi jipya la wabeba silaha Niger

    Watu 19 wauawa katika shambulizi jipya la wabeba silaha Niger

    Jul 30, 2021 12:39

    Raia 19 wameuawa kwenye shambulizi linaloaminika kuwa la kigaidi katika mpaka wa Niger na Mali.

  • Watu 14 wauawa katika shambulio la kundi la wabeba silaha magharibi ya Niger

    Watu 14 wauawa katika shambulio la kundi la wabeba silaha magharibi ya Niger

    Jul 27, 2021 14:53

    Serikali ya Niger imetangaza kuwa raia 14 wameuliwa katika shambulio lililofanywa na kundi la wabeba silaha magharibi mwa nchi hiyo.

  • Watu 19 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Niger

    Watu 19 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Niger

    Apr 19, 2021 07:46

    Kwa akali watu 19 wanaripotiwa kuuawa katika shambulio la wabeba silaha huko magharibi mwa Niger,mpakani mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na Mali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS