Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Nigeria

  • Askari wa Nigeria washambulia Waislamu waliokuwa kwenye maombolezo ya Ashura

    Askari wa Nigeria washambulia Waislamu waliokuwa kwenye maombolezo ya Ashura

    Aug 09, 2022 03:16

    Askari wa serikai ya Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Husain AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.

  • Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura

    Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura

    Aug 08, 2022 07:33

    Wananchi Waislamu hapa Iran na Nigeria jana na leo wameungana na mamilioni ya wafuasi wengine wa Ahlul-Baiti (as) duniani kote katika kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume SAW, Imam Hussein AS.

  • Makumi ya magaidi wauawa katika mji mkuu wa Nigeria

    Makumi ya magaidi wauawa katika mji mkuu wa Nigeria

    Jul 30, 2022 03:41

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi lililowashambulia askari wa Brigedi ya Gadi ya Rais na kuua wanane miongoni mwao mapema mwezi huu katika eneo la Bwari, mjini Abuja.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 46 wa ISWAP jimboni Borno

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 46 wa ISWAP jimboni Borno

    Jul 18, 2022 07:38

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza wanachama 46 wa kundi la kigadi la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.

  • AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia

    AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia

    Jul 16, 2022 02:46

    Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimepokea askari polisi 160 kutoka Nigeria, watakaikisaidia katika jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kasisi akamatwa Nigeria kwa 'kuwashika mateka' kanisani watu 77

    Kasisi akamatwa Nigeria kwa 'kuwashika mateka' kanisani watu 77

    Jul 03, 2022 07:49

    Watu karibu 80 waliokuwa wameshikwa mateka na kasisi mmoja ndani ya kanisa huko nchini Nigeria, wameokolewa katika operesheni ya maafisa usalama.

  • Jeshi la Nigeria laua wabeba silaha 82 jimboni Zamfara

    Jeshi la Nigeria laua wabeba silaha 82 jimboni Zamfara

    Jul 02, 2022 02:23

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanachama wa genge moja la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hatima ya Sheria za Kiislamu Nigeria kujulikana kabla ya Oktoba

    Hatima ya Sheria za Kiislamu Nigeria kujulikana kabla ya Oktoba

    Jun 24, 2022 01:17

    Mahakama moja nchini Nigeria jana Alkhamisi iliakhirisha uamuzi wake kuhusu shauri lililowasilishwa mbele yake likipinga utekelezwaji wa Sheria za Kiislamu (Sheria) katika jimbo la Kano la kaskazini mwa nchi.

  • UN: Usipopatikana msaada wa haraka hali ya kibinadamu itakuwa mbaya zaidi Nigeria

    UN: Usipopatikana msaada wa haraka hali ya kibinadamu itakuwa mbaya zaidi Nigeria

    Jun 22, 2022 07:57

    Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Nigeria ambaye pia ni mratibu wa misaada ya kibinadamu nchini humo Matthias Schmale amesema zaidi ya watu milioni 4.1 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo wanahitaji msaada wa haraka wa chakula katika msimu wa mwambo utakao anza hivi karibuni.

  •  Magaidi Nigeria wawaachia huru watu 11 waliowateka katika shambulio dhidi ya treni

    Magaidi Nigeria wawaachia huru watu 11 waliowateka katika shambulio dhidi ya treni

    Jun 12, 2022 07:55

    Abiria 11 kati ya 61 waliotekwa nyara na genge la wabeba silaha katika shambulizi la kigaidi lililolenga treni ya abiria jimboni Kaduna, Kaskazini Magharibi mwa Nigeria wameachiwa huru.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS