Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Oman

  • Oman yatoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran

    Nov 30, 2020 04:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman ametoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran baada ya kuuawa kigaidi, mwanasayansi mkubwa wa nyuklia na masuala ya kijeshi wa Iran, shahidi Mohsen Fakhrizadeh.

  • Mufti wa Oman: Waislamu waondoe mitaji yao katika sekta za uchumi za Ufaransa

    Oct 27, 2020 07:25

    Mufti wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili amewatolea mwito Waislamu wa kuondoa mitaji yao waliyowekeza kwenye vituo na sekta za uchumi za Ufaransa.

  • Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu walaani makubaliano kati ya Sudan na Israel

    Oct 24, 2020 07:45

    Nchi za ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu pamoja na makundi ya muqawama yamelaani vikali hatua ya kufikiwa makubaliano kati ya Sudan na Israel ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina yao. Wananchi wa Palestina wamekitaja kitendo hicho cha kisaliti kama 'dhambi ya kisiasa.'

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Iran ni nchi kubwa katika eneo la magharibi mwa Asia

    Feb 16, 2020 16:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesisitiza kuwa, Iran ni nchi kubwa katika eneo la magharibii mwa Asia.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na mfalme mpya wa Oman

    Jan 12, 2020 07:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye ameelekea nchini Oman kuiwakilisha serikali ya Iran katika shughuli ya kumuenzi na kumkumbuka aliyekuwa mfalme wa nchi hiyo aliyefariki dunia Sultan Qaboos bin Said Al Said, amekutana na kufanya mazungumzo na mfalme mpya, Sultan Haitham bin Tariq Al Said.

  • Haitham bin Tariq Aal Said, ateuliwa kuwa Sultan mpya wa Oman

    Jan 11, 2020 08:06

    Bw. Haitham bin Tariq Aal Said ameteuliwa kuwa Sultan mpya wa Oman baada ya kutangazwa habari ya kufariki dunia Sultan Qaboos wa nchi hiyo usiku wa kuamkia leo Jumamosi.

  • Sultan Qaboos wa Oman ameaga dunia, siku tatu za maombolezo ya kitaifa zatangazwa

    Jan 11, 2020 04:51

    Sultan Qaboos bin Said wa Oman ameanga dunia mapema leo Jumamosi akiwa na umri wa miaka 79

  • Bin Alawi: Iran na Oman zinachukua hatua kwa ajili ya usalama wa eneo

    Jan 07, 2020 12:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inachukua hatua kwa ajili ya kudhamini usalama wa eneo la Ghuba ya Uajemi na Oman pia inashirikiana na Tehran katika uwanja huo.

  • Oman yajiandaa kumtangaza mrithi wa utawala baada ya hali ya afya ya Sultan Qaboos kuzidi kuwa mbaya

    Dec 26, 2019 07:32

    Ripoti za karibuni za vyombo vya habari zimeeleza kwamba, Oman inajiandaa kumtangaza mrithi wa utawala baada ya hali ya afya ya kiongozi wa nchi hiyo Sultan Qaboos bin Said Al Said anayeugua saratani ya utumbo kuzidi kuwa mbaya.

  • Dakta Zarif akutana na Naibu Sultani wa Oman na msemaji wa Ansarullah Muscat

    Dec 25, 2019 02:55

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Mohammad Abdul Salam, msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen nchini Oman.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS