Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Palestina

  • AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    Aug 08, 2022 07:28

    Umoja wa Afrika (AU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Aug 08, 2022 07:24

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema maadui Wazayuni wametangaza kuwa wako tayari kufikia makubaliano ya usitishaji vita baada ya makombora na maroketi ya wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza kuutiwa kiwewe na wahakama utawala huo wa Kizayuni.

  • Ushujaa wa vijana wa Palestina, Yemen ni matunda ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Ushujaa wa vijana wa Palestina, Yemen ni matunda ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Aug 08, 2022 03:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani jinai zinazofanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza, amesema ushujaa wa vijana wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • HAMAS: Kuanzisha uhusiano na Wazayuni ndio sababu ya kushadidi jinai dhidi ya Wapalestina

    HAMAS: Kuanzisha uhusiano na Wazayuni ndio sababu ya kushadidi jinai dhidi ya Wapalestina

    Aug 07, 2022 02:59

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, mwenendo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio unaohamasisha utawala huo dhalimu kushadidisha jinai zake dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Raisi alaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina Gaza, IRGC yatoa neno

    Raisi alaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina Gaza, IRGC yatoa neno

    Aug 06, 2022 11:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel yaliyopelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Algeria na Tunisia zalaani kuuliwa wananchi madhulumu wa Palestina

    Algeria na Tunisia zalaani kuuliwa wananchi madhulumu wa Palestina

    Aug 06, 2022 07:35

    Wizara za Mambo ya Nje za Algeria na Tunisia zimelaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwaua wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Rais wa Iran: Wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni

    Rais wa Iran: Wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni

    Aug 05, 2022 02:56

    Rais Ebrahim Raisi amesema, leo wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni na wanaamini kuwa Muqawama na mapambano ndio njia kuu na ya msingi ya kukabiliana na utawala huo.

  • Spika wa Bunge la Iran: Jihadi na mapambano ndiyo njia pekee ya ushindi

    Spika wa Bunge la Iran: Jihadi na mapambano ndiyo njia pekee ya ushindi

    Aug 04, 2022 07:13

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameonana na Katibu Mkuu wa Jihadul Islami ya Palestina na kusisitiza kuwa, njia pekaa ya ushindi ni jihadi na mapambano.

  • Wazayuni wavamia msikiti wa al Aqsa na kuwatia nguvuni Wapalestina 12

    Wazayuni wavamia msikiti wa al Aqsa na kuwatia nguvuni Wapalestina 12

    Aug 04, 2022 02:34

    Jeshi la utawala haramu wa Israel limewatia nguvu Wapalestina 12 sambamba na kundi la walowezi wa Kizayuni kuuhujumu msikiti mtukufu wa al Aqsa, ambacho ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Tawi la kijeshi la HAMAS lawaonyesha askari wawili wa Israel linaowashikilia mateka

    Tawi la kijeshi la HAMAS lawaonyesha askari wawili wa Israel linaowashikilia mateka

    Jul 31, 2022 11:40

    Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS zimetoa taswira, sambamba na kuwahutubu Wazayuni kwamba: viongozi wa utawala wa Kizayuni wanakuambieni uongo kuhusu mateka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS