-
Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri la Macron, marekebisho yanayolenga kutafuta kukubalika na umma
May 22, 2022 02:57Mwezi mmoja baada ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Ufaransa Emmanuel Macron Rais wa nchi hiyo akiwa na lengo la kutafuta uungaji mkono na kuwaridhisha wapigakura na hivyo serikalii yake iungwe mkono zaidi, amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri.
-
Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi
May 05, 2022 02:15Ikulu ya Kremlin imetangaza Jumanne kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia ametia saini amri ya kukabiliana na 'hatua zisizo za kirafiki za baadhi ya nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa." Dikrii hiyo inasisitiza hatua za kulipiza kisasi dhidi ya nchi ambazo zimetajwa kuwa 'zisizo za kirafiki'. Kwa mujibu wa amri hiyo Russia itaziwekea vikwazo baadhi ya nchi na taasisi za kimataifa.
-
Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai
May 03, 2022 04:46Ushirikiano wa Iran na nchi za ukanda huu ambao ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu hasa katika serikali ya hivi sasa, umezaa matunda mengi mazuri yakiwemo ya kuongezeka mabadilishano ya kibiashara baina ya Tehran na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.
-
Changamoto za ndani na za nje za Macron katika duru ya pili ya urais nchini Ufaransa
Apr 27, 2022 02:38Kushinda tena Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa katika uchaguzi wa Rais wa mwaka huu kumeibua maswali mengi kuhusiana na sababu hasa ya wananchi wa nchi hiyo kumpigia kura mwanasiasa huyo.
-
Rais wa zamani wa Kenya, Mwai Kibaki afariki dunia akiwa na miaka 90
Apr 22, 2022 13:10Rais mstaafu wa Kenya, Emilio Mwai Kibaki amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90. Mzee Kibaki aliyezaliwa Novemba 15, 1931, aliliongoza taifa hilo la Afrika Mashariki kati ya mwaka 2002 na 2013.
-
Kukosolewa unafiki wa Marekani kuhusu suala la haki za binadamu
Apr 21, 2022 02:50Ilhan Omar, mbunge wa Kiislamu katika Congress ya Marekani amesema kuwa madai yanayotolewa na utawala wa Wadhington kuhusu haki za binadamu duniani ni ya kinafiki, na kusisitiza kuwa kama nchi hiyo inataka kuishtaka Russia katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusiana na tuhuma zinazotolewa dhidi yake kuhusu vita vya Ukraine, inapasa kwanza yenyewe ijiunge na kuwa mwanachama wa mahakama hiyo.
-
Putin asisitiza udharura wa kuendelea operesheni za kijeshi za Russia nchini Ukraine
Apr 15, 2022 05:20Akizungumza Jumanne katika kikao cha wafanyikazi wa kituo cha anga cha Vostochny Mashariki ya Mbali nchini Russia, kuhusu kufikiwa malengo ya shambulio la Ukraine, ambayo aliyataja kuwa ya "wazi kabisa na bora," Rais Vladimir Putin amesema: Hakuna shaka hali itaendelea kuwa hivyo."
-
Sensa Tanzania: Rais Samia atangaza tarehe ya kuhesabiwa Watanzania
Apr 08, 2022 13:06Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniza, Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi nembo ya sensa na kutangaza kuwa siku ya sensa ya watu na makazi nchini humo itakuwa Jumanne Agosti 23, mwaka huu 2022.
-
Sisitizo la Putin la kutazamwa upya siasa za kuuzwa nje bidhaa za chakula za Russia
Apr 07, 2022 01:56Katika hotuba aliyotoa siku ya Jumanne, Rais Vladimir Putin wa Russia amelaani mashinikizo yanayotolewa na nchi za Ulaya dhidi ya shirika la Gazprom, ambalo husafirisha gesi ya nchi hiyo kwenda Ulaya, na kutishia kuchukua hatua za kulipiza kisasi.
-
Rais wa Zambia hajapokea mshahara wowote tangu aingie madarakani
Apr 05, 2022 08:13Mijadala imepamba moto hususan katika mitandao ya kijamii baada ya kubainika kuwa Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, hajapokea mshahara wowote tangu ashike hatamu za uongozi miezi minane iliyopita.