Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Rais

  • Mauaji mapya ya ufyatuaji risasi huko Marekani na radiamali ya pupa ya Biden

    Mauaji mapya ya ufyatuaji risasi huko Marekani na radiamali ya pupa ya Biden

    May 26, 2022 06:40

    Katika kisa kingine cha ufyatuaji risasi dhidi ya umati nchini Marekani ambacho kimepelekea kuuawa wanafunzi wengi ya shule ya msingi, Rais Joe Biden wa nchi hiyo kama alivyofanya katika siku za nyuma, ametoa radiamali ya pupa na isiyo ya busara katika uwanja huo.

  • Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri la Macron, marekebisho yanayolenga kutafuta kukubalika na umma

    Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri la Macron, marekebisho yanayolenga kutafuta kukubalika na umma

    May 22, 2022 02:57

    Mwezi mmoja baada ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Ufaransa Emmanuel Macron Rais wa nchi hiyo akiwa na lengo la kutafuta uungaji mkono na kuwaridhisha wapigakura na hivyo serikalii yake iungwe mkono zaidi, amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri.

  • Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    Putin atia saini amri ya kuiwekea vikwazo vya ulipizaji kisasi kambi ya Magharibi

    May 05, 2022 02:15

    Ikulu ya Kremlin imetangaza Jumanne kuwa, Rais Vladimir Putin wa Russia ametia saini amri ya kukabiliana na 'hatua zisizo za kirafiki za baadhi ya nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa." Dikrii hiyo inasisitiza hatua za kulipiza kisasi dhidi ya nchi ambazo zimetajwa kuwa 'zisizo za kirafiki'. Kwa mujibu wa amri hiyo Russia itaziwekea vikwazo baadhi ya nchi na taasisi za kimataifa.

  • Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai

    Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai

    May 03, 2022 04:46

    Ushirikiano wa Iran na nchi za ukanda huu ambao ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu hasa katika serikali ya hivi sasa, umezaa matunda mengi mazuri yakiwemo ya kuongezeka mabadilishano ya kibiashara baina ya Tehran na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.

  • Changamoto za ndani na za nje za Macron katika duru ya pili ya urais nchini Ufaransa

    Changamoto za ndani na za nje za Macron katika duru ya pili ya urais nchini Ufaransa

    Apr 27, 2022 02:38

    Kushinda tena Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa katika uchaguzi wa Rais wa mwaka huu kumeibua maswali mengi kuhusiana na sababu hasa ya wananchi wa nchi hiyo kumpigia kura mwanasiasa huyo.

  • Rais wa zamani wa Kenya, Mwai Kibaki afariki dunia akiwa na miaka 90

    Rais wa zamani wa Kenya, Mwai Kibaki afariki dunia akiwa na miaka 90

    Apr 22, 2022 13:10

    Rais mstaafu wa Kenya, Emilio Mwai Kibaki amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90. Mzee Kibaki aliyezaliwa Novemba 15, 1931, aliliongoza taifa hilo la Afrika Mashariki kati ya mwaka 2002 na 2013.

  • Kukosolewa unafiki wa Marekani kuhusu suala la haki za binadamu

    Kukosolewa unafiki wa Marekani kuhusu suala la haki za binadamu

    Apr 21, 2022 02:50

    Ilhan Omar, mbunge wa Kiislamu katika Congress ya Marekani amesema kuwa madai yanayotolewa na utawala wa Wadhington kuhusu haki za binadamu duniani ni ya kinafiki, na kusisitiza kuwa kama nchi hiyo inataka kuishtaka Russia katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusiana na tuhuma zinazotolewa dhidi yake kuhusu vita vya Ukraine, inapasa kwanza yenyewe ijiunge na kuwa mwanachama wa mahakama hiyo.

  • Putin asisitiza udharura wa kuendelea operesheni za kijeshi za Russia nchini Ukraine

    Putin asisitiza udharura wa kuendelea operesheni za kijeshi za Russia nchini Ukraine

    Apr 15, 2022 05:20

    Akizungumza Jumanne katika kikao cha wafanyikazi wa kituo cha anga cha Vostochny Mashariki ya Mbali nchini Russia, kuhusu kufikiwa malengo ya shambulio la Ukraine, ambayo aliyataja kuwa ya "wazi kabisa na bora," Rais Vladimir Putin amesema: Hakuna shaka hali itaendelea kuwa hivyo."

  • Sensa Tanzania: Rais Samia atangaza tarehe ya kuhesabiwa Watanzania

    Sensa Tanzania: Rais Samia atangaza tarehe ya kuhesabiwa Watanzania

    Apr 08, 2022 13:06

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniza, Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi nembo ya sensa na kutangaza kuwa siku ya sensa ya watu na makazi nchini humo itakuwa Jumanne Agosti 23, mwaka huu 2022.

  • Sisitizo la Putin la kutazamwa upya siasa za kuuzwa nje bidhaa za chakula za Russia

    Sisitizo la Putin la kutazamwa upya siasa za kuuzwa nje bidhaa za chakula za Russia

    Apr 07, 2022 01:56

    Katika hotuba aliyotoa siku ya Jumanne, Rais Vladimir Putin wa Russia amelaani mashinikizo yanayotolewa na nchi za Ulaya dhidi ya shirika la Gazprom, ambalo husafirisha gesi ya nchi hiyo kwenda Ulaya, na kutishia kuchukua hatua za kulipiza kisasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS