Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Rouhani

  • Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo

    Jan 23, 2021 12:12

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaanza kutoa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 hapa nchini katika kipindi cha siku chache zijazo.

  • Rouhani: Ongezeko la wawekezaji wa kigeni Iran ni ishara ya kufeli vikwazo vya Marekani

    Jan 14, 2021 13:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ongezeko la asilimia 56 ya wawekezaji wa kigeni katika maeneo ya biashara huru nchini Iran ni ishara ya kufeli sera za Marekani za ugaidi wa kiuchumi na mashinikizo ya juu kabisa.

  • Rouhani: Mwisho wa serikali ya Trump umeonyesha ubabe hauna mwisho mwema

    Jan 13, 2021 14:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufedheheka na kuaibika utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani katika siku zake za mwisho ni ishara kuwa, ubaguzi wa rangi na ukiukwaji sheria ni mambo ambayo hayana mwisho mwema.

  • Rouhani: Wananchi wa Iran hawawi wenzo wa kufanyia majaribio ya chanjo za nchi za kigeni

    Jan 09, 2021 13:01

    Rais Hassan Rouhani amesema, wananchi wa Iran hawatakuwa wenzo wa kufanyia majaribio chanjo za nchi za kigeni.

  • Rais Rouhani: Kama Biden atatekeleza ahadi zake, basi majibu ya Iran ni rahisi kabisa

    Jan 06, 2021 12:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia kuingia madarakani serikali ya Joe Biden huko Marekani karibuni hivi na kusema kuwa, kama Biden atatekeleza ahadi zake basi majibu ya Iran yako wazi na ni mepesi kabisa.

  • Rouhani: Corona imekuwa mtihani wa kihistoria kwa mataifa na viongozi wa dunia

    Jan 02, 2021 13:16

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema corona au COVID-19 si ugonjwa wa kawaida bali ni mtihani wa kihistoria kwa mataifa na viongozi wa dunia.

  • Rais Rouhani azindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Soleimani

    Jan 02, 2021 13:04

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amezindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Qassem Soleimani.

  • Rais Rouhani: Shahidi Qassim Suleimani amewazawaidia izza Waislamu na kuwadhalilisha maadui

    Dec 31, 2020 12:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shahdi Luteni Jenerali Qassim Suleimani amelizawadia izza wakazi wote wa eneo la Asia Magharibi na Waislamu wa eneo hili na amewadhalilisha maadui katika matukio mengi.

  • Rouhani: Taifa la Iran litaikata miguu Marekani katika eneo

    Dec 30, 2020 14:36

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaikata miguu Marekani katika eneo la Asia Magharibi katika kisasi chake cha mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qassem Suleimani, Kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH).

  • Rais Rouhani: Serikali inafuatilia kila lahadha ili kuvifanya vikwazo kutokuwa na taathira

    Dec 26, 2020 14:33

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali inafanya hima na juhudi kubwa tena kila lahadha kuhakikisha kwamba vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya taifa hili vinafubaa na kutokuwa na taathira.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS