-
Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo
Jan 23, 2021 12:12Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaanza kutoa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 hapa nchini katika kipindi cha siku chache zijazo.
-
Rouhani: Ongezeko la wawekezaji wa kigeni Iran ni ishara ya kufeli vikwazo vya Marekani
Jan 14, 2021 13:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ongezeko la asilimia 56 ya wawekezaji wa kigeni katika maeneo ya biashara huru nchini Iran ni ishara ya kufeli sera za Marekani za ugaidi wa kiuchumi na mashinikizo ya juu kabisa.
-
Rouhani: Mwisho wa serikali ya Trump umeonyesha ubabe hauna mwisho mwema
Jan 13, 2021 14:25Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufedheheka na kuaibika utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani katika siku zake za mwisho ni ishara kuwa, ubaguzi wa rangi na ukiukwaji sheria ni mambo ambayo hayana mwisho mwema.
-
Rouhani: Wananchi wa Iran hawawi wenzo wa kufanyia majaribio ya chanjo za nchi za kigeni
Jan 09, 2021 13:01Rais Hassan Rouhani amesema, wananchi wa Iran hawatakuwa wenzo wa kufanyia majaribio chanjo za nchi za kigeni.
-
Rais Rouhani: Kama Biden atatekeleza ahadi zake, basi majibu ya Iran ni rahisi kabisa
Jan 06, 2021 12:37Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia kuingia madarakani serikali ya Joe Biden huko Marekani karibuni hivi na kusema kuwa, kama Biden atatekeleza ahadi zake basi majibu ya Iran yako wazi na ni mepesi kabisa.
-
Rouhani: Corona imekuwa mtihani wa kihistoria kwa mataifa na viongozi wa dunia
Jan 02, 2021 13:16Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema corona au COVID-19 si ugonjwa wa kawaida bali ni mtihani wa kihistoria kwa mataifa na viongozi wa dunia.
-
Rais Rouhani azindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Soleimani
Jan 02, 2021 13:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amezindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Qassem Soleimani.
-
Rais Rouhani: Shahidi Qassim Suleimani amewazawaidia izza Waislamu na kuwadhalilisha maadui
Dec 31, 2020 12:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shahdi Luteni Jenerali Qassim Suleimani amelizawadia izza wakazi wote wa eneo la Asia Magharibi na Waislamu wa eneo hili na amewadhalilisha maadui katika matukio mengi.
-
Rouhani: Taifa la Iran litaikata miguu Marekani katika eneo
Dec 30, 2020 14:36Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaikata miguu Marekani katika eneo la Asia Magharibi katika kisasi chake cha mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qassem Suleimani, Kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH).
-
Rais Rouhani: Serikali inafuatilia kila lahadha ili kuvifanya vikwazo kutokuwa na taathira
Dec 26, 2020 14:33Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali inafanya hima na juhudi kubwa tena kila lahadha kuhakikisha kwamba vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya taifa hili vinafubaa na kutokuwa na taathira.