Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

shambulizi la kigaidi

  • Barham Salih: Shambulio la Diyala linaonyesha kushindwa magaidi nchini Iraq

    Barham Salih: Shambulio la Diyala linaonyesha kushindwa magaidi nchini Iraq

    Jan 22, 2022 08:47

    Rais wa Iraq almesisitiza kuwa shambulio la kigaidi katika mkoa wa Diyala ni kitendo cha chuki kinacholenga usalama wa Iraq.

  • AU yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua watu 69 Niger

    AU yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua watu 69 Niger

    Nov 06, 2021 03:24

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu huko kusini magharibi mwa Niger.

  • Waliouawa katika shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso waongezeka na kufika 80

    Waliouawa katika shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso waongezeka na kufika 80

    Aug 20, 2021 07:28

    Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa, idadi ya watu waliouawa katika shambulio la kigaidi lililotokea nchini humo katika eneo la Sahel imefika 80.

  • Wanajeshi 15 wa Niger wauawa katika shambulio la kigaidi huko Torodi

    Wanajeshi 15 wa Niger wauawa katika shambulio la kigaidi huko Torodi

    Aug 02, 2021 06:56

    Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, kwa akali wanajeshi wake 15 wameuawa kufuatia shambulio la kigaidi kusini magharibi mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Kigali: Mwenyeji wa kikao cha mameya wa miji ya Francophone + Sauti

    Kigali: Mwenyeji wa kikao cha mameya wa miji ya Francophone + Sauti

    Jul 21, 2021 16:00

    Meya wa miji mikuu ya nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa wameyahimiza mataifa wanachama hasa yale yaliyoko kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika kulipa kipaumbele suala la kuwaelimisha wananchi wao kuhusu elimu ya uzazi wa mpango. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.

  • Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram huko Niger

    Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram huko Niger

    Dec 14, 2020 07:43

    Magaidi wa kundi la Boko Haram wamekishambulia kijiji kimoja kusini mashariki mwa Niger na kuua na kujeruhi watu kadhaa.

  • Spika Qalibaf asisitiza nchi za eneo kushirikiana ili kuutokomeza ugaidi

    Spika Qalibaf asisitiza nchi za eneo kushirikiana ili kuutokomeza ugaidi

    Nov 08, 2020 02:37

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililolenga wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kabul nchini Afghanistan na kusisitizia ulazima wa nchi za eneo kushirikiana pamoja ili kuutokomeza ugaidi.

  • Askari wengine wa Ufaransa wauawa na kujeruhiwa nchini Mali

    Askari wengine wa Ufaransa wauawa na kujeruhiwa nchini Mali

    Sep 06, 2020 07:39

    Wanajeshi wawili wa Ufaransa wameuawa huku mwingine mmoja akijeruhiwa katika shambulizi la kigaidi huko kaskazini mwa Mali.

  • Wanavijiji 12 wauawa Mali, huku mazungumzo ya kutatua mzozo wa kisiasa yakiendelea

    Wanavijiji 12 wauawa Mali, huku mazungumzo ya kutatua mzozo wa kisiasa yakiendelea

    Jul 17, 2020 08:00

    Raia wasiopungua 12 wameuliwa baada ya watu wasiojulikana waliobeba silaha wakiwa wamepanda pikipiki kushambulia vijiji kadhaa vya wakulima wa kabila la Dogon katika eneo la Mopti, katikati mwa Mali.

  • Mashambulizi pacha ya mabomu yaua raia na askari kadhaa nchini Somalia

    Mashambulizi pacha ya mabomu yaua raia na askari kadhaa nchini Somalia

    Jun 21, 2020 14:53

    Kwa akali watu saba wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti ya mabomu yanayoaminika kufanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab huko kusini na katikati mwa Somalia ndani ya masaa 24.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS