Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Shirika la UNICEF

  • UNICEF: Watoto milioni 8 hatarini kufariki dunia kutokana na uzito mdogo

    UNICEF: Watoto milioni 8 hatarini kufariki dunia kutokana na uzito mdogo

    Jun 24, 2022 07:47

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kuwa, takriban watoto milioni nane walio na umri wa chini ya miaka mitano katika nchi 15 zinazokabiliwa na majanga wako katika hatari ya kifo kutokana na uzito mdogo kupindukia endapo hawatapata haraka matibabu ya lishe na huduma zinazotakiwa.

  • UNICEF yataka shule zilizofungwa kwa corona zifunguliwe kote ulimwenguni

    UNICEF yataka shule zilizofungwa kwa corona zifunguliwe kote ulimwenguni

    Sep 16, 2021 12:17

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) limezitaka mamlaka zinazohusika na elimu katika kona zote za dunia zihakikishe kuwa zinafungua haraka shule zilizokuwa zimefungwa kutokana na UVIKO-19.

  • UNICEF yatoa ripoti ya kusikitisha kuhusu mateso ya watoto wakimbizi

    UNICEF yatoa ripoti ya kusikitisha kuhusu mateso ya watoto wakimbizi

    May 07, 2020 00:40

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetoa ripoti ya kusikitisha ya mwaka 2019 kuhusu hali mbaya na mateso ya watoto wasio na makazi kutokana na mapigano katika maeneo tofauti duniani.

  • UNICEF: Watoto 7,300 wameuawa nchini Yemen tokea 2015

    UNICEF: Watoto 7,300 wameuawa nchini Yemen tokea 2015

    May 17, 2019 02:30

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto wapatao 7,300 wameuawa nchini Yemen katika vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake tokea mwaka 2015 hadi sasa.

  • Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto wa Afghanistan

    Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto wa Afghanistan

    Nov 28, 2018 07:39

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umeonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya watoto wa Afghanistan, ambao wanakodolewa macho na ghasia na umwagaji damu kila uchao.

  • UN: Mapigano Libya yawaweka watoto laki 5 katika hatari kubwa

    UN: Mapigano Libya yawaweka watoto laki 5 katika hatari kubwa

    Sep 25, 2018 07:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umetadharisha kuwa, watoto laki tano wapo katika hatari kubwa ya kupoteza maisha kutokana na mapigano yaliyoshtadi katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Unicef: Katika kila dakika 3, binti mmoja anaambukizwa virusi vya HIV

    Unicef: Katika kila dakika 3, binti mmoja anaambukizwa virusi vya HIV

    Jul 26, 2018 07:41

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema mabinti na wanawake wenye umri kati ya miaka 15 na 19 wanajenga thuluthi mbili ya watu walioambukizwa virusi hatari vya HIV mwaka jana 2017.

  • Unicef: Watoto zaidi ya elfu 5 wameuawa, kujeruhiwa katika hujuma za Saudia, Yemen

    Unicef: Watoto zaidi ya elfu 5 wameuawa, kujeruhiwa katika hujuma za Saudia, Yemen

    Jul 04, 2018 03:50

    Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) ametahadharisha kuhusu hali ya kutisha inayowakabili watoto wa Yemen kutokana na mashambulizi ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake.

  • UNICEF: Nchi za Afrika zinaongoza kwa ndoa za utotoni

    UNICEF: Nchi za Afrika zinaongoza kwa ndoa za utotoni

    Mar 06, 2018 08:07

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema ingawaje tabia ya kuozwa kwa lazima mabinti wadogo imepungua duniani, lakini nchi za chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika kwa sasa zinaongoza kwa uozo huo.

  • UNICEF yataka watoto wanaotumia intaneti walindwe

    UNICEF yataka watoto wanaotumia intaneti walindwe

    Dec 13, 2017 03:55

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linasema wakati fursa ya matumizi ya mtandao wa intaneti ikiongezeka ni lazima dunia hii ya kidijitali iyafanye matumizi hayo kuwa salama kwa watoto ili yaweze kunufaisha hasa wale walio katika hatari zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS