Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

silaha ya atomiki

  • Syria: Silaha za nyuklia za Israel zinatishia amani magharibi mwa Asia

    Syria: Silaha za nyuklia za Israel zinatishia amani magharibi mwa Asia

    Jan 28, 2022 10:31

    Mwakilishi wa Syria katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amezitaja silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni tishio kubwa kwa usalama na amani katika eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Iran: Mauaji ya Hiroshima ni kumbukumbu ya jinai za US dhidi ya binadamu

    Iran: Mauaji ya Hiroshima ni kumbukumbu ya jinai za US dhidi ya binadamu

    Aug 08, 2021 07:46

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mashambulizi ya mabomu ya atomiki yaliyofanywa na Kikosi cha Anga cha Jeshi la Marekani dhidi ya miji ya Hiroshima na Nagasaki nchini Japan katika Vita Vya Pili Vya Dunia ndiyo jinai kubwa zaidi dhidi ya binadamu iliyowahi kuhuhudiwa katika uso wa dunia.

  • Russia yasisitiza udharura wa kuepusha vita vya silaha za nyuklia

    Russia yasisitiza udharura wa kuepusha vita vya silaha za nyuklia

    Aug 07, 2020 06:22

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amekosoa siasa za kindumakuwili za nchi za Magharibi hususan Marekani katika suala la kudhibiti silaha za nyuklia na kusema kuwa, kuna ulazima wa kufanyika juhudi za kuzuia uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia.

  • Guterres atahadharisha kuhusu hatari ya silaha za nyuklia

    Guterres atahadharisha kuhusu hatari ya silaha za nyuklia

    Aug 06, 2020 09:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa hatari ya silaha za nyuklia inaongezeka siku baada ya nyingine.

  • Mwakilishi wa Iran UN: Marekani imekiuka mkataba wa NPT

    Mwakilishi wa Iran UN: Marekani imekiuka mkataba wa NPT

    Sep 10, 2019 02:38

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo jukumu la pamoja la kupiga marufuku aina yoyote ya majaribio ya uripuaji silaha za nyuklia na kueleza kwamba Marekani imekiuka mkataba wa kuzuia uundaji na uenezaji silaha za nyuklia (NPT) kwa kujitoa kwenye makubaliano yanayohusiana na mkataba huo na kwa kuanzisha mashindano ya kuzifanya silaha hizo za nyuklia kuwa za kisasa zaidi.

  • Zarif: Madola pekee yenye mabomu ya nyuklia Mashariki ya Kati ni Marekani na Israel

    Zarif: Madola pekee yenye mabomu ya nyuklia Mashariki ya Kati ni Marekani na Israel

    Aug 29, 2018 15:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kwa mnasaba wa "Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Majaribio ya Silaha za Nyuklia" kwamba, licha ya kuwa dunia hivi sasa inaadhibimisha siku ya kimataifa ya kupambana na majaribio ya silaha za nyuklia, lakini madola pekee yenye mabomu ya atomiki katika eneo letu hili (Mashariki ya Kati) ni Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Foreign Policy: Saudi Arabia inataka kutengeneza silaha za nyuklia

    Foreign Policy: Saudi Arabia inataka kutengeneza silaha za nyuklia

    Mar 06, 2018 02:27

    Jarida la Foreign Policy la Marekani limeripoti kuwa, Saudi Arabia inataka kutengeneza silaha za nyuklia ikishirikiana na Marekani.

  • Korea Kaskazini: Haitowezekana kuachana na silaha za nyuklia tulizozipata kwa tabu

    Korea Kaskazini: Haitowezekana kuachana na silaha za nyuklia tulizozipata kwa tabu

    Nov 15, 2017 04:43

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kwamba, ni suala lisilowezekana kuachana na uwezo wa silaha zake za nyuklia uliopatikana kwa tabu, kwa sababu tu ya mashinikizo na vikwazo dhidi yake.

  • Kim Jong-un: Vikwazo vya UNSC havitaizuia Korea Kaskazini kuendelea kuunda silaha zake

    Kim Jong-un: Vikwazo vya UNSC havitaizuia Korea Kaskazini kuendelea kuunda silaha zake

    Oct 09, 2017 15:00

    Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema kuwa nchi yake itaendelea kujiimarisha kwa silaha za nyuklia na makombora ya balestiki ya kuvuka mabara.

  • Trump: Marekani inapaswa kuwa mbele katika uwanja wa silaha za nyuklia

    Trump: Marekani inapaswa kuwa mbele katika uwanja wa silaha za nyuklia

    Feb 24, 2017 04:51

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi yanayogongana akitoa wito wa kuzuiwa uenezaji wa silaha za nyuklia na wakati huo huo akisisitiza kuwa, Washington daima inapaswa kuwa na maghala makubwa zaidi ya silaha za nyuklia kuliko nchi nyingine zote duniani.

Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS