Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Somalia

  • Jeshi la Somalia lawaangamiza magaidi 8 wa al-Shabab walioshambulia ujumbe wa rais

    Feb 06, 2021 04:43

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwaangamiza magaidi 8 wa kundi la al-Shabab ambao waliushambulia kwa mizinga mkutano wa serikali uliokuwa unaongozwa na rais wa nchi hiyo.

  • Marekani inaendelea kuingilia Somalia kijeshi

    Feb 03, 2021 02:28

    Kamandi ya Oparesheni Maalumu za Jeshi la Marekani barani Afrika imetangaza kuwa, Jeshi la Marekani limeanza kutoa mafunzo tena kwa Jeshi la Somalia hata baada ya kutangaza kuondoa askari wake katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Umoja wa Mataifa wasisitiza kuhusu utatuzi wa kadhia ya wakimbizi Somalia

    Feb 02, 2021 12:49

    Mratibu mkazi wa Umoja wa Mataifa na wa masuala ya kibinadamu nchini Somalia amesema wakimbizi wa ndani nchini humo ni mtihani mkubwa ambao unahitaji suluhisho la muda mrefu.

  • Mwakilishi wa UN Somalia alaani vikali shambulio la kigaidi la mjini Mogadishu

    Feb 02, 2021 07:31

    Umoja wa Mataifa nchini Somalia umelaani vikali shambulizi la kigaidi lilofanywa Jumapili kwenye hotel ya Afrika katika mji mkuu Mogadishu na kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kusalia majeruhi.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulio la kigaidi la al-Shabaab Somalia

    Feb 01, 2021 03:18

    Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu kwa mabomu na risasi.

  • Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Jan 28, 2021 04:19

    Serikali ya Uganda imekadhibisha taarifa kuwa jeshi la nchi hiyo UPDF limeua wanachama 189 wa genge la al-Shabaab kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • 9 wauawa katika mpaka wa Kenya na Somalia, AU yatoa kauli

    Jan 26, 2021 10:58

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema amani katika mpaka wa Kenya na Somalia ni jambo muhimu kwa ajili ya uthabiti wa eneo zima la Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika.

  • Jeshi la Uganda laua wanachama 189 wa al Shabab nchini Somalia

    Jan 23, 2021 07:58

    Jeshi la Uganda UPDF limetangaza kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wameua wanachama 189 wa genge la al Shabab katika shambulizi la kushtukiza na la kasi kubwa nchini Somalia.

  • Mripuko waua watu 7 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Jan 08, 2021 02:43

    Watu wasiopungua 7 wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Watu watano wauawa katika hujuma ya kigaidi Dhobley, Somalia

    Dec 30, 2020 04:33

    Watu watano wameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa kwenye mlipuko uliojiri kwenye barabara ya mji wa Dhobley katika mkoa wa Lower Juba kusini mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS