Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Tanzania

  • Rais Samia anadi fursa za uwekezaji na utalii nchini Tanzania katika ziara yake Marekani

    Rais Samia anadi fursa za uwekezaji na utalii nchini Tanzania katika ziara yake Marekani

    Apr 16, 2022 13:10

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana alikuwa na mazungumzo na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Haris, kwa lengo la kufufua sekta ya utalii nchini Tanzania na kuimarisha uhusiano baina ya nchi hizo mbili.

  • Sensa Tanzania: Rais Samia atangaza tarehe ya kuhesabiwa Watanzania

    Sensa Tanzania: Rais Samia atangaza tarehe ya kuhesabiwa Watanzania

    Apr 08, 2022 13:06

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniza, Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi nembo ya sensa na kutangaza kuwa siku ya sensa ya watu na makazi nchini humo itakuwa Jumanne Agosti 23, mwaka huu 2022.

  • Benki za Kiislamu Tanzania zakumbatiwa na wasiokuwa Waislamu

    Benki za Kiislamu Tanzania zakumbatiwa na wasiokuwa Waislamu

    Apr 07, 2022 01:57

    Benki za Kiislamu nchini Tanzania zimeendelea kupata umaarufu na kupongezwa kwa huduma zao, na sasa zinawavutia kwa wingi hata wateja wasiokuwa Waislamu nchini humo.

  • Rais Samia avitaka vyama vya kisiasa Tanzania kushiriki katika kuleta maendeleo ya taifa

    Rais Samia avitaka vyama vya kisiasa Tanzania kushiriki katika kuleta maendeleo ya taifa

    Apr 05, 2022 11:47

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amehudhuria Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).

  • Uhaba wa mafuta ya petroli wawalazimisha Wakenya kwenda Tanzania kuyatafuta

    Uhaba wa mafuta ya petroli wawalazimisha Wakenya kwenda Tanzania kuyatafuta

    Apr 02, 2022 13:03

    Uhaba wa mafuta ya petroli katika Kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya umewalazimisha madereva kusafiri hadi katika nchi jirani ya Tanzania kupitia mpaka wa Lungalunga ili kutafuta bidhaa hiyo muhimu, huku wafanyabiashara wakipandisha bei kutokana na uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo nchini Kenya.

  • Kongamano la Idhaa za Kiswahili lamalizika Tanzania, waandishi waaswa kutochanganya Kiswahili na Kiingereza

    Kongamano la Idhaa za Kiswahili lamalizika Tanzania, waandishi waaswa kutochanganya Kiswahili na Kiingereza

    Mar 21, 2022 12:17

    Kongamano la kimataifa la Idhaa za Kiswahili limemalizika mjini Arusha Tanzania, kwa washiriki, hasa waandishi wa habari, kukumbushwa umuhimu wa kutekeleza jukumu lao la kuzungumza lugha fasaha ya Kiswahili ili wananchi wanaowasikiliza waweze kujifunza kutoka kwao.

  • Tanzania yakaribisha pendekezo la Iran la kutoa elimu na mafunzo ya ujuzi kwa wanawake wa nchi hiyo

    Tanzania yakaribisha pendekezo la Iran la kutoa elimu na mafunzo ya ujuzi kwa wanawake wa nchi hiyo

    Mar 20, 2022 09:57

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu wa Tanzania amekaribisha pendekezo lililotolewa na Makamu wa Rais wa Iran katika Masuala ya Wanawake na Familia la kuwapatia mafunzo ya ujuzi wanawake na wasichana wa Tanzania.

  • Mahakama Tanzania yamuachia huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe

    Mahakama Tanzania yamuachia huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe

    Mar 04, 2022 12:24

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Freeman Mbowe na wenzake watatu, leo Ijumaa wamefutiwa mashtaka yote yaliyokuwa yakiwakabili katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi.

  • Mahakama Kuu ya Tanzania yasema, Mwenyekiti wa CHADEMA na wenzake watatu wana kesi ya kujibu

    Mahakama Kuu ya Tanzania yasema, Mwenyekiti wa CHADEMA na wenzake watatu wana kesi ya kujibu

    Feb 18, 2022 14:19

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imemkuta ana kesi ya kujibu Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu, katika mashtaka matano ya ugaidi yanayaowakabili .

  • Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu

    Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu

    Feb 17, 2022 03:18

    Serikali ya Zanzibar jana Jumatano ilizindua rasmi teknolojia mpya inayoweza kutambua uwezekano wa maambukizi ya Covid-19 kwa muda mfupi kwa kutumia simu (EDE).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS