Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

uchaguzi wa bunge

  • Mustakabali wenye giza wa Macron; uchaguzi wa Bunge Ufaransa waingia duru ya pili

    Mustakabali wenye giza wa Macron; uchaguzi wa Bunge Ufaransa waingia duru ya pili

    Jun 15, 2022 02:12

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Bunge nchini Ufaransa yanaonyesha kuwa, hakuna muungano wowote uliofanikiwa kupata asilimia 50 ya viti na kwa muktadha huo uchaguzi huo umeingia duru ya pili.

  • Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri la Macron, marekebisho yanayolenga kutafuta kukubalika na umma

    Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri la Macron, marekebisho yanayolenga kutafuta kukubalika na umma

    May 22, 2022 02:57

    Mwezi mmoja baada ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Ufaransa Emmanuel Macron Rais wa nchi hiyo akiwa na lengo la kutafuta uungaji mkono na kuwaridhisha wapigakura na hivyo serikalii yake iungwe mkono zaidi, amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri.

  • Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

    Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

    May 20, 2022 09:08

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, juzi usiku alitoa hutuba akibainisha tathmini yake kuhusu matokeo ya uchaguzi wa hivi karibu wa bunge la nchi hiyo.

  • Ukosoaji wa Sayyid Nasrullah kwa wanaoziandama silaha za muqawama badala ya matatizo ya uchumi, katika kampeni za uchaguzi wa Lebanon

    Ukosoaji wa Sayyid Nasrullah kwa wanaoziandama silaha za muqawama badala ya matatizo ya uchumi, katika kampeni za uchaguzi wa Lebanon

    May 11, 2022 10:42

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah, amesema kuhusu matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na vituo kadhaa vya utafiti kwamba dukuduku la akthari ya watu wa Lebanon si silaha za Muqawama bali ni hali zao za maisha.

  • Kuwa tayari Lebanon kwa ajili ya zoezi la uchaguzi wa Bunge

    Kuwa tayari Lebanon kwa ajili ya zoezi la uchaguzi wa Bunge

    May 05, 2022 08:03

    Bassam Mawlawi, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Lebanon ametangaza kuwa, maandalizi ya lazima kwa ajili ya kuendesha zoezi la uchaguzi wa Bunge nchini humo katika muda uliopangwa yamekamilika.

  • Dr. Tulia Ackson achaguliwa kuwa spika mpya wa Bunge la Tanzania

    Dr. Tulia Ackson achaguliwa kuwa spika mpya wa Bunge la Tanzania

    Feb 01, 2022 13:33

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemchagua Dk Tulia Ackson kuwa spika wa bunge hilo.

  • Umoja wa Mataifa waunga mkono kufanyika uchaguzi wa Libya katika wakati mwafaka

    Umoja wa Mataifa waunga mkono kufanyika uchaguzi wa Libya katika wakati mwafaka

    Dec 24, 2021 11:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amehimiza kufanyika uchaguzi mkuu wa Bunge na Rais katika tarehe mwafaka nchini Libya.

  • Zaidi ya Walibya elfu tano wajitokeza kugombea viti vya Bunge nchini Libya

    Zaidi ya Walibya elfu tano wajitokeza kugombea viti vya Bunge nchini Libya

    Dec 10, 2021 13:07

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Libya imetangaza kuwa, faili la kuandikisha majina ya wagombea wa viti vya Bunge limefungwa na kwamba zaidi ya Walibya elfu tano wamejiandikisha kwa ajili ya kugombea viti hivyo.

  • Zoezi la kuhesabu kura kwa mkono katika vituo vya uchaguzi vya mikoa minne ya Iraq lamalizika

    Zoezi la kuhesabu kura kwa mkono katika vituo vya uchaguzi vya mikoa minne ya Iraq lamalizika

    Nov 05, 2021 07:30

    Tume ya Uchaguzi ya Iraq imetangaza kuwa zoezi la kuhesabu kura kwa mkono katika vituo ya uchaguzi wa bunge vilivyozusha mzozo vya mikoa minne iliyosalia ya Diyala, Babel, Karbala na Najaf limemalizika.

  • Baraza la tume ya uchaguzi Iraq lapinga kura kuhesabiwa tena kwa mkono

    Baraza la tume ya uchaguzi Iraq lapinga kura kuhesabiwa tena kwa mkono

    Oct 23, 2021 07:49

    Baraza la tume ya uchaguzi ya Iraq limekataa kura za uchaguzi katika mikoa mbalimbali ya nchi hiyo zihesabiwe tena kwa mkono licha ya kuthibitisha kuwa kuna makosa na kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS