Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

uchumi

  • Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Jun 15, 2020 14:59

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema uchumi wa Kiislamu ndiyo dawa mjarabu ya kuiondoa dunia katika mgogoro wa kiuchumi uliosababishwa na janga la corona.

  • Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani

    Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani

    May 17, 2020 12:21

    Kuenea kwa virusi vya Corona nchini Marekani kumeisababishia jamii ya nchi hiyo matatizo makubwa ya kila upande hususan kwenye upande wa uchumi.

  • Corona na kushadidi changamoto za kiuchumi barani Ulaya

    Corona na kushadidi changamoto za kiuchumi barani Ulaya

    Mar 26, 2020 12:52

    Kugeuka Ulaya na kuwa kitovu cha kuenea virusi vya Corona (Covid-19) katika siku siku za hivi karibuni sambamba na kuongezeka idadi ya walioambukiizwa na virusi hivyo barani Ulaya kumepelekea kuibuka wasiwasi mkubwa katika uga wa utoaji huduma za tiba, afya, huduma za kibinadamu na kijamii katika nchi za bara hilo.

  • AU: Jamii ya kimataifa ichangie ustawi wa viwanda Afrika

    AU: Jamii ya kimataifa ichangie ustawi wa viwanda Afrika

    Nov 17, 2019 07:39

    Umoja wa Afrika umetoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwa na mchango endelevu na amilifu katika ustawi wa viwanda katika nchi za Afrika.

  • Sergei Lavrov: Wamagharibi wameshindwa kutatua matatizo yao

    Sergei Lavrov: Wamagharibi wameshindwa kutatua matatizo yao

    Aug 16, 2019 02:29

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, kiigizo cha Wamagharibi kilichosimama juu ya misingi ya uliberali kimethibitisha kushindwa kwao kutatua matatizo yao.

  • Uchumi wa nchi za Afrika kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4

    Uchumi wa nchi za Afrika kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4

    Jul 08, 2019 08:11

    Uchumi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) unatazamiwa kuimarika na kufikia kiwango cha dola trilioni 3.4.

  • Deni la taifa la Marekani lavunja rekodi, ni zaidi ya dola trilioni 22

    Deni la taifa la Marekani lavunja rekodi, ni zaidi ya dola trilioni 22

    Feb 13, 2019 07:34

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeripoti kuwa, nchi hiyo inadaiwa dola trilioni 22, kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo.

  • Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao

    Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao

    Jan 17, 2019 07:48

    Ripoti ya Benki ya Standard Chartered imedokeza kuwa, kuna uwezekano mkubwa China kuipiku Marekani na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa zaidi duniani mwaka ujao wa 2020.

  • Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Nov 02, 2018 07:28

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amefichua kuwa, nchi hiyo ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi katika mji wa Muzarabani ulioko kaskazini mwa nchi.

  • Kusambaratika uchumi wa Bahrain katika kivuli cha utawala wa Aal Khalifa

    Kusambaratika uchumi wa Bahrain katika kivuli cha utawala wa Aal Khalifa

    Jul 30, 2018 11:07

    Ripoti mbalimbali kutoka nchini Bahrain zinaonyesha kuwa, hali ya uchumi wa nchi hiyo ya Kiarabu inazidi kuwa mbaya chini ya kivuli cha utawala wa Aal Khalifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS