Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

ugaidi

  • Maelfu ya shule zimefungwa kutokana na ugaidi Burkina Faso

    Maelfu ya shule zimefungwa kutokana na ugaidi Burkina Faso

    Jan 07, 2022 03:30

    Maelfu ya shule zimefungwa nchini Burkina Faso kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara ya magenge mbalimbali ya wabeba silaha wenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al Qaida na Daesh.

  • Iraq na tatizo sugu la ugaidi

    Iraq na tatizo sugu la ugaidi

    Dec 31, 2021 12:32

    Japokuwa mtandao wa kigaidi wa DAESH (ISIS) umetokomezwa nchini Iraq, lakini kutokana na sababu tofauti, kitisho cha ugaidi kingali kipo nchini humo.

  • Iran: Tuko tayari kushirikiana na nchi za magharibi mwa Afrika kupambana na ugaidi

    Iran: Tuko tayari kushirikiana na nchi za magharibi mwa Afrika kupambana na ugaidi

    Nov 16, 2021 11:43

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu y Iran ameelezea kusikitishwa kwake na kupoteza maisha na kujeruhiuwa idadi kubwa ya raia wa Burkina Faso katika shambulio la hivi karibuni la kigaidi na kusisitiza kuwa, Tehran iko tayari kushirikiana na nchi za magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Wanajeshi kadhaa wa Mali wauawa katika mashambulizi tofauti

    Wanajeshi kadhaa wa Mali wauawa katika mashambulizi tofauti

    Nov 01, 2021 03:08

    Jeshi la Mali limetangaza habari ya kuuawa askari saba wa nchi hiyo katika mashambulizi mawili tofauti huko magharibi mwa nchi.

  • Shambulio jipya la bomu laua na kujeruhi watu kadhaa nchini Uganda

    Shambulio jipya la bomu laua na kujeruhi watu kadhaa nchini Uganda

    Oct 26, 2021 08:08

    Mtu mmoja ameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika mlipuko mwingine uliolenga basi la abiria nchini Uganda.

  • Rais wa Uganda: Mlipuko wa bomu Kampala lilikuwa shambulio la kigaidi

    Rais wa Uganda: Mlipuko wa bomu Kampala lilikuwa shambulio la kigaidi

    Oct 24, 2021 15:15

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu Kampala huenda lilikuwa shambulio la kigaidi.

  • Mohseni-Eje'i : Iran itawafuatilia na kuwatia adabu waliohusika na mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani

    Mohseni-Eje'i : Iran itawafuatilia na kuwatia adabu waliohusika na mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani

    Oct 18, 2021 11:26

    Mkuu wa Idara wa Mahakama nchini Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itawafuatilia na kuwaadhibu wale wote waliohusika na mauaji ya kigaidi ya Kamanda Luteni Jenerali Qassem Soleimani.

  • Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi: Ugaidi unatumiwa kulinda maslahi ya madola ya kibeberu

    Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi: Ugaidi unatumiwa kulinda maslahi ya madola ya kibeberu

    Oct 17, 2021 02:26

    Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi yenye makao yake nchini Iran imetangaza kuwa, ugaidi umekuwa ukitumiwa kama fimbo na wenzo wa kulinda na kupanua maslahi ya madola ya kibeberu na wala hauna mfungamano na dini wala madhehebu yoyote ya dini.

  • Makumi ya askari wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Burkina Faso

    Makumi ya askari wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Burkina Faso

    Oct 05, 2021 02:55

    Wanajeshi wasiopungua 14 wa serikali ya Burkina Faso wameuawa katika shambulizi la kigaidi huko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Nukta kadhaa za kuzingatia kuhusu madai ya Imarati ya kupambana na ugaidi

    Nukta kadhaa za kuzingatia kuhusu madai ya Imarati ya kupambana na ugaidi

    Sep 15, 2021 10:18

    Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, umeongeza majina ya watu 38 na mashirika 15 katika orodha yake ya watu wanaodaiwa kuunga mkono ugaidi ambapo majina ya Wairani kadhaa yanaonekana katika orodha hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS