Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

waasi

  • Makundi ya waasi yanajiondoa katika mazungumzo ya amani ya Chad huko Doha, Qatar

    Makundi ya waasi yanajiondoa katika mazungumzo ya amani ya Chad huko Doha, Qatar

    Jul 18, 2022 02:29

    Makundi kadhaa ya waasi wa Chad na vyama vya kisiasa vya upinzani vimejiondoa katika mazungumzo ya amani na serikali ya kijeshi ya taifa hilo la katikati mwa Afrika, vikiishutumu serikali kuwa inataka kuvuruga juhudi za amani.

  • Watu zaidi ya 100 wauawa katika shambulio la waasi Burkina Faso

    Watu zaidi ya 100 wauawa katika shambulio la waasi Burkina Faso

    Jun 14, 2022 08:04

    Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa watu wasiopungua 50 wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha katika kijiji kimoja kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal

    Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal

    Mar 21, 2022 06:42

    Mamlaka ya Gambia imetangazai kwamba imehesabu zaidi ya watu 6,000 waliokimbia ghasia za wiki moja iliyopita kati ya jeshi na waasi wenye silaha katika eneo la Casamance kusini mwa nchi jirani ya Senegal.

  • DRC: Jeshi la Uganda ladai kutwaa moja ya kambi kuu za ADF + SAUTI

    DRC: Jeshi la Uganda ladai kutwaa moja ya kambi kuu za ADF + SAUTI

    Dec 29, 2021 12:13

    Jeshi la Uganda linasema limefanikiwa kudhibiti kambi kubwa ya waasi wa ADF, inayofahamika kama Kambi Ya Yua iliyokuwa inawahifadhi waasi zaidi ya 600 na familia zao, katika operesheni zao inazoshirikiana na wenzao wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wakazi wa Addis Ababa watakiwa kuulinda mji huo baada ya waasi wa Tigray kusonga mbele

    Wakazi wa Addis Ababa watakiwa kuulinda mji huo baada ya waasi wa Tigray kusonga mbele

    Nov 03, 2021 03:32

    Mamlaka za mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa zimetoa wito kwa wakaazi wa mji huo kujiandaa kutetea vitongoji vyao baada ya vikosi vya waasi kutoka eneo la Tigray, ambao wamekuwa wakipigana na serikali kuu kwa mwaka mmoja sasa, kuashiria kwamba huenda wakasonga mbele kuelekea kwenye mji huo.

  • 7 wauawa baada ya waasi kushambulia kambi za jeshi CAR

    7 wauawa baada ya waasi kushambulia kambi za jeshi CAR

    Jul 01, 2021 07:38

    Watu wasiopungua saba wameuawa katika msururu wa mashambulio ya genge moja la waasi mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mazungumzo ya amani yaanza baina ya serikali ya Sudan na waasi wa SPLM huko Juba

    Mazungumzo ya amani yaanza baina ya serikali ya Sudan na waasi wa SPLM huko Juba

    May 27, 2021 02:21

    Mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Sudan na Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Sudan tawi la Kaskazini (SPLM) yalianza jana katika mji wa Juba chini ya usimamizi wa Rais ya serikali ya Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardit.

  • Askari usalama Nigeria wawakamata wanachama 40 wa genge lenye silaha

    Askari usalama Nigeria wawakamata wanachama 40 wa genge lenye silaha

    Apr 27, 2021 07:16

    Kikosi cha usalama nchini Nigeria ckimewatia nguvuni wanachama 40 wa genge la watu waliokuwa na silaha wakati wa operesheni iliyofanyika katika jimbo la kusini la Edo.

  • Waasi 21 wa kundi la CODECO wauawa DRC

    Waasi 21 wa kundi la CODECO wauawa DRC

    Oct 27, 2020 11:17

    Waasi 21 wameuawa katika kipindi cha siku tatu za mapigano baina yao na jeshi la serikali katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Watoto wasiopungua 6 wauawa katika shambulio la  waasi nchini Cameroon

    Watoto wasiopungua 6 wauawa katika shambulio la waasi nchini Cameroon

    Oct 25, 2020 08:20

    Watoto wasiopungua 6 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha lililolenga shule ya Fransisca International Bi-lingual Academy. Shambulio hilo lilifanyika jana katika eneo la Koumba kusini magharibi mwa Cameroon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS