Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

wakimbizi

  • Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi

    Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi

    May 19, 2022 02:12

    Huku mgogoro wa kiuchumi na kisiasa ukiendelea katika baadhi ya nchi za Asia na huku vita baina ya Ukraine na Russia navyo vikiendelea, wimbi la wakimbizi katika mipaka ya nchi za Ulaya nalo limeongezeka.

  • UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda

    UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda

    May 01, 2022 04:10

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR na wadau wengine 44 wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dharura la dola za Marekani milioni 47.8 ili kukabiliana na mahitaji muhimu ya maelfu ya wakimbizi waliofika Uganda mwaka huu, wakikimbia ghasia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na za mapigano ya hapa na pale nchini Sudan Kusini.

  • Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza

    Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza

    Apr 20, 2022 02:48

    Serikali ya Eritrea imekosoa makubaliano ya kuwahamishia Rwanda wakimbizi kutoka Uingereza ikisisitiza kuwa, mpango huo haukubaliki, unashtua na unapaswa kupingwa na kulaaniwa vikali.

  • Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi

    Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi

    Apr 18, 2022 02:27

    Kufuatia kuongezeka idadi ya wakimbizi wanaoingia Uingereza kutoka nchi mbali mbali duniani, wakuu wa London wamechukua hatua kali kuzuia wimbi hilo ambapo sasa wanaoingia nchini humo kama wakimbizi watahamishiwa Rwanda huku faili zao zikichunguzwa.

  • Vifo na wasiwasi wa wakimbizi katika safari ya kuelekea Ulaya

    Vifo na wasiwasi wa wakimbizi katika safari ya kuelekea Ulaya

    Dec 31, 2021 02:49

    Huku mizozo ya kisiasa na kiuchumi ikiendelea kupanuka Asia Magharibi na katika nchi nyingi za Afrika, wimbi la watu wanaotafuta hifadhi na wakimbizi barani Ulaya linaendelea kwa kasi kubwa.

  • Kupitishwa na Bunge la Uingereza sheria ya kibaguzi dhidi ya wahamiaji

    Kupitishwa na Bunge la Uingereza sheria ya kibaguzi dhidi ya wahamiaji

    Dec 11, 2021 02:45

    Bunge la Uingereza limepitisha sheria tatanishi ya "Utaifa na Mipaka", Nationality and Borders kwa kura 298 za wabunge waliounga mkono dhidi ya 231 walioupinga mswada wa sheria hiyo.

  • Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Dec 04, 2021 02:39

    Baada ya siku saba, Ufaransa imekataa ombi la Uingereza lililokuwa limetolewa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson kwa Rais Emmanuel Macron.

  • Maafa ya vifo vya wakimbizi katika mfereji wa Manch, matokeo ya mzozo kati ya Ufaransa na Uingereza

    Maafa ya vifo vya wakimbizi katika mfereji wa Manch, matokeo ya mzozo kati ya Ufaransa na Uingereza

    Nov 27, 2021 14:58

    Zaidi ya wakimbizi 27 kutoka pwani ya kaskazini ya Ufaransa waliovuka Mfereji wa Manchi wakijaribu kufika katika ardhi ya Uingereza walighariki na kufariki Jumatano jioni, Novemba 24, baada ya boti yao kuzama.

  • Maafa ya wahajiri kuelekea Ulaya; watu zaidi ya  75 wazama katika pwani ya Libya

    Maafa ya wahajiri kuelekea Ulaya; watu zaidi ya 75 wazama katika pwani ya Libya

    Nov 21, 2021 08:18

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeripoti kuwa, wahamiaji haramu zaidi ya 75 wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika pwani ya magharibi mwa Libya. Wahajiri hao haramu wamekumbwa na mauti Jumatano iliyopita katika jitihada za kuelekea barani Ulaya.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa vitendo vya mabavu vya nchi za Ulaya dhidi ya wakimbizi

    Umoja wa Mataifa wakosoa vitendo vya mabavu vya nchi za Ulaya dhidi ya wakimbizi

    Nov 13, 2021 11:49

    Akizungumza katika bunge la Ulaya Filippo Grandi Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR amekosoa vitendo vya mabavu na ukandamizaji wa Umoja wa Ulaya dhidi ya wakimbizi na kusisitiza kuwa siku zote na mara kwa mara tunashuhudia raia wanaotafuta hifadhi barani Ulaya wakifukuzwa kwa mabavu na visingizio vya kisheria kutumika katika kuwanyima hifadhi raia hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS