-
Ershadi: Ugaidi na uvamizi wa kigeni ni vitisho vikubwa kwa usalama wa wanawake
Apr 14, 2022 07:01Zahra Ershadi, balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa: "Kuzikalia kwa mabavu ardhi za mataifa mengine, uvamizi wa kigeni na ugaidi ndio vitisho vikuu kwa usalama wa wanawake katika Asia Magharibi."
-
Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na 'janga' la dhulma dhidi ya wanawake
Nov 23, 2021 07:27Rais wa Afrika Kusini amesema dhulma za kijinsia na ukandamizaji unaofanywa na wanaume dhidi ya wanawake ni 'janga' la pili linaloisumbua nchi hiyo kwa sasa, mbali na tandavu ya ugonjwa wa Covid-19.
-
Iran ina azma ya kuwawezesha wanawake na wasichana
Oct 22, 2021 07:15Balozi na Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina azma ya kufanya kilicho dharura ili kuwawezesha wanawake na wasichana."
-
Familia za wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria zaitaka serikali kuwakomboa
Jun 02, 2021 11:32Familia za wanafunzi waliotekwa nyara na magenge ya wahalifu nchini Nigeria na vilevile jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimeitaka serikali ya Nigeria kuchukua hatua madhubuti za kukomboa karibu wanafunzi 200 wa shule moja ya Kiislamu waliotekwa nyara na magenge ya wahalifu katikati mwa Nigeria.
-
Malalamiko ya wanawake dhidi ya Trump na mustakbali wa rais huyo wa Marekani
Oct 19, 2020 06:17Katika siku zilizopita, wanawake nchini Marekani walifanya maandamano katika majimbo mbalimbali ya nchi hiyo likiwemo la Washington ili kutangaza upinzani wao kwa siasa za rais wa nchi hiyo, Donald Trump. Shabaha ya maandamano hayo ilikuwa ni kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji dhidi ya wanawake. Waendeshaji wa maandamano hayo waliahidi kuendelea na operesheni hiyo waliyoipa jina la maandamano 429 katika mikoa 50 ya Marekani.
-
Pakistan yamkamata mtuhumiwa wa pili baada ya mwanamke kubakwa na genge la watu
Oct 14, 2020 02:24Mshukiwa wa pili amewekwa kizuizini nchini Pakistan baada ya kukamatwa na polisi kufuatia ubakaji wa genge la watu dhidi ya mwanamke mmoja ambao umeibua maandamano kote nchini humo.
-
UN: Thuluthi moja ya wanawake wanakabiliwa na dhulma za kijinsia
Nov 25, 2019 12:12Umoja wa Mataifa umesema katika kila wanawake watatu, mmoja amekabiliwa na dhulma za kijinsia au kunajisiwa.
-
UNFPA yataka dhuluma dhidi ya wanawake katika jamii zikomeshwe
Nov 14, 2019 14:28Mmoja kati ya wanawake watatu duniani hukumbana na dhuluma za kijinsia kutoka kwa wapenzi au waume zao.
-
Ramaphosa atangaza mpango wa kuwalinda wanawake wa Afrika Kusini
Sep 20, 2019 02:27Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza sababu zilizomfanya aitishe kikao maalumu cha Bunge akisisitiza kuwa, mgogoro wa kuteswa na kunyanyaswa kupindukia wanawake nchini humo ndiko kulikomlazimisha aitishe kikao hicho.
-
Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani
Aug 31, 2019 16:08Umaarufu wa Rais Donald Trump wa Marekani unazidi kupungua kwa kasi nchini humo huku uchaguzi mkuu wa 2020 ukikaribia. Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni, umaarufu wa Trump umepungua miongoni mwa wanawake wa Marekani.