Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

wapinzani

  • Upinzani Malawi kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais mahakamani

    Upinzani Malawi kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais mahakamani

    Jun 01, 2019 03:53

    Kinara wa chama kikuu cha upinzani cha Malawi Congress (MCP) amesema atawasilisha faili mahakamani kupinga 'wizi wa kura' katika uchaguzi wa rais uliofanyika nchini humo hivi karibuni.

  • Wapinzani nchini Sudan watofautiana juu ya mgomo wa nchi nzima

    Wapinzani nchini Sudan watofautiana juu ya mgomo wa nchi nzima

    May 27, 2019 04:25

    Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan umepinga mwito wa baadhi ya makundi ya wapinzani wa kufanyika mgomo wa nchi nzima kuanzia Jumanne ijayo, baada ya mazungumzo ya kutatua hitilafu zilizopo baina yao na Baraza la Mpito la Kijeshi kushindwa kuzaa matunda.

  • Mgomo wa nchi nzima wa wapinzani nchini Sudan kufanyika wiki ijayo

    Mgomo wa nchi nzima wa wapinzani nchini Sudan kufanyika wiki ijayo

    May 25, 2019 07:08

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametangaza Jumanne ya wiki ijayo kuwa siku ya kuanza mgomo wa nchi nzima, baada ya mazungumzo ya kutatua hitilafu zilizopo baina yao na Baraza la Mpito la Kijeshi kushindwa kuzaa matunda.

  • Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    May 21, 2019 13:30

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametoa mwito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima, wakisisitiza kuwa vikao viwili vya mazungumzo vya juzi na jana jioni vimeshindwa kupatia ufumbuzi hitilafu zilizopo baina ya pande mbili.

  • Wapinzani Sudan wasikitishwa na hatua ya jeshi kusimamisha mazungumzo

    Wapinzani Sudan wasikitishwa na hatua ya jeshi kusimamisha mazungumzo

    May 17, 2019 02:31

    Wapinzani nchini Sudan wameeleza kusikitishwa kwao na hatua ya Baraza la Kijeshi la Mpito ya kusimamisha kwa muda mazungumzo baina ya pande mbili hizo kuhusu uundwaji wa serikali ya muda nchini humo.

  • Baraza la Kijeshi la Sudan na wapinzani wafikia mapatano ya  kuunda serikali ya mpito

    Baraza la Kijeshi la Sudan na wapinzani wafikia mapatano ya kuunda serikali ya mpito

    May 15, 2019 11:18

    Hatimaye baada ya mazungumzo mapana na ya vuta nikuvute Baraza la Kjeshi la Mpito la Sudan na wawakilishi wa upinzani nchini humo wamefikia mapatano kuhusu muda wa miaka mitatu wa kukabidhi madaraka nchini humo na namna serikali hiyo ya muda itakavyoundwa nchini humo.

  • Kuendelea mazungumzo kati ya jeshi la Sudan na wapinzani

    Kuendelea mazungumzo kati ya jeshi la Sudan na wapinzani

    May 13, 2019 10:36

    Ikiwa ni mwezi mmoja umepita tokea Omar al-Bashir, aondolewe madarakani nchini Sudan, bado kuna tofauti kubwa kati ya Baraza la Kieshi la Mpito na muungano wa Uhuru na Mabadiliko kuhusiana na jinsi raia watakabidhiwa madaraka, kuandaliwa mazingira ya uchaguzi na kubuniwa serikali ya kidemokrasia nchini humo.

  • Upinzani: Uingereza haipaswi kumkabidhi Julian Asange kwa Marekani

    Upinzani: Uingereza haipaswi kumkabidhi Julian Asange kwa Marekani

    Apr 12, 2019 14:57

    Kiongozi wa chama Leba nchini Uingereza amekosoa vikali kitendo cha kutiwa mbaroni mjini London mwasisi wa mtandao unaojishughulisha na kufichua siri na kashfa wa WikiLeaks, Julian Assange.

  • Serikali ya Sudan yatishia kutokea vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo

    Serikali ya Sudan yatishia kutokea vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo

    Apr 08, 2019 14:58

    Serikali ya Sudan imetahadharisha kuhusu kutokea vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo na kugawanyika mapande mawili muundo wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Kiongozi wa upinzani Sudan amtaka Rais Bashir ajiuzulu

    Kiongozi wa upinzani Sudan amtaka Rais Bashir ajiuzulu

    Apr 06, 2019 07:50

    Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Sudan amemtaka Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo ajiuzulu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS