Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Zanzibar

  • Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu

    Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu

    Feb 17, 2022 03:18

    Serikali ya Zanzibar jana Jumatano ilizindua rasmi teknolojia mpya inayoweza kutambua uwezekano wa maambukizi ya Covid-19 kwa muda mfupi kwa kutumia simu (EDE).

  • Watu 9 waaga dunia kwa kuzama baharini kisiwani Pemba, wengine hawajulikani waliko

    Watu 9 waaga dunia kwa kuzama baharini kisiwani Pemba, wengine hawajulikani waliko

    Jan 05, 2022 03:20

    Watu tisa wamefariki dunia na wengine kadhaa kuokolewa baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama Mkoa wa Kusini Pemba.

  • Makampuni ya watalii Zanzibar yatakiwa kuchunga hulka za Kizanzibari + Sauti

    Makampuni ya watalii Zanzibar yatakiwa kuchunga hulka za Kizanzibari + Sauti

    Sep 15, 2021 04:27

    Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema kuwa, jukumu la kusimamia maadili na utamaduni wa Kizanzibari kwa wageni wanaotembelea visiwa hivyo linazihusu kampuni zinazoandaa misafara ya watalii wanaongia visiwani humo. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar ahutubia Baraza la Idul Adh'ha, Wete Pemba + Sauti

    Rais wa Zanzibar ahutubia Baraza la Idul Adh'ha, Wete Pemba + Sauti

    Jul 21, 2021 16:06

    Baraza la Idul Adh'ha mwaka huu visiwani Zanzibar, limefanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la mjini Wete, mkoa wa Kaskazini Pemba. Rais Hassan Ali Hassan Mwinyi amehutubia baraza hilo. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit ametutayarishia ripoti ifuatayo.

  • Waandishi Tanzania watakiwa kutumia vizuri kalamu zao kutatua migogoro + Sauti

    Waandishi Tanzania watakiwa kutumia vizuri kalamu zao kutatua migogoro + Sauti

    Jul 15, 2021 13:37

    Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kutumia vizuri kalamu zao kwa ajili ya kuimarisha amani na kutatua migogoro katika jamii ikiwemo ya wakati wa uchaguzi. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.

  • Viongozi wa Uamsho Zanzibar wafutiwa kesi, waanza kuondoka gerezani

    Viongozi wa Uamsho Zanzibar wafutiwa kesi, waanza kuondoka gerezani

    Jun 16, 2021 12:26

    Viongozi 36 wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), wakio gozwa na Sheikh Farid Hadi Ahmed na Mselem Ali Mselem waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya ugaidi, wameachiwa huru.

  • Rais Mwinyi wa Zanzibar aahidi mazuri zaidi kupitia uchumi buluu + Sauti

    Rais Mwinyi wa Zanzibar aahidi mazuri zaidi kupitia uchumi buluu + Sauti

    Jun 13, 2021 08:02

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa, serikali ya awamu ya nane ya Zanzibar ina dhamira ya dhati ya kupanua wigo wa matumizi endelevu ya bahari na rasilimali zake ili kujenga uchumi wa buluu ulio imara kwa taifa. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit na maelezo zaidi.

  • Zanzibar kuanzisha Mfuko Maalum wa Zaka kwa ajili ya kuisaidia jamii

    Zanzibar kuanzisha Mfuko Maalum wa Zaka kwa ajili ya kuisaidia jamii

    Apr 24, 2021 13:00

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inakaribia kukamilisha mpango wa kuanzisha Mfuko Maalum wa Zaka ambao utatumika kuwasaidia watu wenye mahitaji visiwani humo.

  • Rais wa Zanzibar 'awatumbua' Makamanda wakuu watatu wa Idara Maalum za SMZ

    Rais wa Zanzibar 'awatumbua' Makamanda wakuu watatu wa Idara Maalum za SMZ

    Apr 13, 2021 02:50

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Makamanda watatu wa Idara Maalum za SMZ.

  • Wazanzibar wajitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa hayati Magufuli katika Uwanja wa Amaan

    Wazanzibar wajitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa hayati Magufuli katika Uwanja wa Amaan

    Mar 23, 2021 14:40

    Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne ameongoza viongozi mbalimbali na Wazanzibari kwa ujumla katika shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Dkt John Pombe Magufuli, ambaye alifariki dunia Machi 17 jijini Dar es Salaam.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS