Dunia
-
Janga la ukatili wa utumiaji silaha nchini Marekani na indhari mpya ya Biden
Apr 19, 2021 02:26Rais Joe Biden wa Marekani Ijumaa usiku alitoa taarifa na kulaani ufyatulianaji risasi ulioandamana na mauaji katika mji wa Indianapolis na kusema: "Kila siku idadi kubwa ya watu wanapoteza maisha kutokana na ukatili wa utumiaji silaha. Sisi tunapaswa kuchukua hatua za kuokoa maisha." Biden alikiri kuwa, ukatili wa utumiaji silaha sasa ni janga nchini Marekani.
-
Ukraine: Yumkini tukajizatiti kwa silaha za nyuklia kwa ajili ya kukabiliana na Russia
Apr 18, 2021 06:27Wakati mivutano ingali inaendelea baina ya Ukraine na Russia, afisa mmoja wa Ukraine amesema yumkini nchi yake ikajizatiti kwa silaha za nyuklia kwa ajili ya kukabiliana na Russia.
-
Ethiopia: Sudan na Misri zinakwamisha mazungumzo kuhusu Bwawa la al-Nahdha
Apr 18, 2021 02:33Serikali ya Ethiopia imetoa taarifa ikizituhumu Misri na Sudan kwamba, zimekuwa zikikwamisha mwenendo wa mazungumzo yenye lengo la kuupatia ufumbuzi mzozo wa Bwawa la la-Nahdha.
-
Maelfu ya wafungwa waachiliwa Mynamar huku hatima ya wengine ikiwa haijulikani
Apr 18, 2021 02:33Jeshi linalotawala nchini Myanmar limetoa agizo la kuachiliwa huru wafungwa wapatao 23,184 katika kile kilichoelezwa kuwa ni msamaha wa mwaka nchini humo.
-
Idadi ya vifo vya wagonjwa wa corona yapindukia milioni 3 kote ulimwenguni
Apr 17, 2021 12:35Idadi ya wagonjwa waliofariki dunia kutokana na ugonjwa wa corona ulimwenguni imepindukia milioni 3. Hadi tunaandika habari hii, watu waliokuwa wamefariki dunia kutokana na ugonjwa huo katika kona mbalimbali duniani walikuwa ni 3,015,072
-
Hatua mpya za serikali ya Biden dhidi ya Russia; vikwazo vipya na kufukuzwa wanadiplomasia
Apr 17, 2021 12:10Serikali ya Marekani juzi Alhamisi iliwawekea vikwazo Shakhsia 12 wa serikali ya Russia wakiwemo viongozi kadhaa wa serikali, wa masuala ya intelijensia wa nchi hiyo pamoja na taasisi 20 za Russia.
-
WHO: Maambukizi ya virusi vya corona yanaongezeka maradufu kila wiki kote dunia
Apr 17, 2021 05:40Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema kuwa, maambukizi ya virusi vya corona yanaongezeka maradufu kila wiki kote duniani.
-
Russia yawafukuza wanadiplomasia 10 wa Marekani kujibu vikwazo vya Washington
Apr 17, 2021 03:29Katika kujibu mapigo kwa hatua ya uhasama na vikwazo vipya vya Washington vilivyotangazwa hivi karibuni na Rais Joe Biden dhidi ya Russia, serikali Moscow imewatimua nchini humo wanadiplomasia kumi wa Marekani.
-
Hati ya ushirikiano mpana wa kistratijia wa Iran na China na wasiwasi wa Wamagharibi
Apr 17, 2021 02:41Tarehe 29 Machi mwaka huu, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China walitia saini hati ya ushirikiano mpana wa kistratijia wa nchi mbili, kufuatia safari ya Wang Yi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China mjini Tehran, ikiwa ni katika kukaribia maadhimisho ya kutimia miaka 50 ya uhusiano wa kidiplomasia wa Tehran na Beijing.
-
Russia yaahidi kujibu mapigo baada ya kuwekewa vikwazo vipya vya Marekani
Apr 16, 2021 12:05Russia imeikosoa vikali serikali ya Marekani ikisema kuwa itajibu mapigo kwa vikwazo vipya vya nchi hiyo vilivyotangazwa na Rais Joe Biden dhidi ya Moscow.