Dunia
-
FAO: Bei ya chakula duniani imepanda kuanzia mwezi Novemba
Dec 07, 2019 02:47Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa bei ya chakula duniani imepanda ndani ya mwezi uliopita wa Novemba.
-
Ugiriki yamtimua balozi wa Libya kulalamikia hati ya maelewano iliyosainiwa kati ya Libya na Uturuki
Dec 07, 2019 02:46Serikali ya Ugiriki imemtimua balozi wa Libya mjini Athens, kufuatia kutiwa saini hati ya maelewano ya ushirikiano wa baharini kati ya Uturuki na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya.
-
John Kerry atangaza rasmi kumuunga mkono Joe Biden kwenye uchaguzi wa 2020 Marekani
Dec 06, 2019 13:18John Kerry, waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani ametangaza kumuunga mkono Joe Biden, mgombea anayepewa nafasi kuu katika ngazi ya utangulizi na chama cha Democrat kwa ajili ya uchaguzi wa rais wa mwakani nchini humo.
-
Sera za undumilakuwili za Marekani nchini Syria
Dec 06, 2019 08:04Tangu mwaka 2014, Marekani imejiingiza kijeshi kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh; na hivi sasa pia, licha ya madai ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba imejiondoa kijeshi katika ardhi ya Syria, imeshatafuta kisingizio kingine kipya ili kurefusha muda wa kuweko askari wake nchini humo.
-
ICC yahofishwa na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 06, 2019 07:31Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ameelezea hofu yake kuhusu hatari za kuingizwa eneo la "Bonde la Jordan" katika sehemu ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mtaalamu wa uchumi Islamabad: Mafuta ya Iran yamesaidia ustawi wa Pakistan
Dec 06, 2019 02:51Mtaalamu wa masuala ya kiuchumi wa nchini Pakistan amesema kuwa, kuongezeka uagizaji mafuta kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran kunakofanywa na serikali ya Islamabad mbali na kwamba kumesaidia kukidhi mahitaji ya nishati hiyo muhimu kwa taifa hilo, lakini pia ni hatua kubwa kwa ajili ya ustawi wa kiuchumi wa Pakistan.
-
Joe Biden: Trump ni msingi wa kufedheheka Marekani
Dec 06, 2019 02:50Mshindani mkuu mtarajiwa wa Rais Donald Trump wa Marekani katika uchaguzi wa rais wa 2020 nchini humo, amemtaja rais huyo kuwa ni msingi wa kufedheheka taifa hilo.
-
Troika ya Ulaya yafuata nyazo za Marekani katika njama dhidi ya mpango wa makombora ya kujihami ya Iran
Dec 06, 2019 02:48Pamoja na kuwa nchi za Ulaya zinadai kuwa zinaunga mkono ulindwaji wa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) inatekeleza sera za vitisho dhidi ya Iran na imeamua kufuata nyayo za Marekani katika kupinga uwezo wa makombora ya Iran ambayo lengo lake ni kujihami tu.
-
Taasisi za Kiislamu Norway zagawa nakala za Qur'ani kwa raia baada ya kitabu hicho kuvunjiwa heshima
Dec 05, 2019 10:52Taasisi tatu za Waislamu wa Norway zimesambaza na kugawa bure nakala za Qur'ani tukufu baina ya raia wa nchi hiyo siku chache baada ya kundi moja lenye misimamo mikali kukivunjia heshima kitabu hicho kitakatifu na matukufu mengine ya Kiislamu.
-
Mahakama ya ICC yaanza kusikiliza mashtaka ya jinai za kivita za Marekani huko Afghanistan
Dec 05, 2019 10:30Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imenza kusikiliza mashtaka yanayohusiana na jinai zai kivita zilizofanyika nchini Afghanistan.