Dunia
-
Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi
Jan 26, 2021 11:55Bunge la Canada limeitaka serikali ya nchi hiyo liliweke rasmi genge la wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na wafuasi sugu wa aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump katika orodha ya magenge ya kigaidi kama vile al-Qaeda na ISIS (Daesh).
-
Russia kuwasilisha kimataifa malalamiko ya uingiliaji wa Marekani katika masuala yake ya ndani
Jan 26, 2021 11:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa hivi karibuni Moscow itawasilisha rasmi malalamiko yake kuhusu usambazwaji wa habari bandia na za ugaidi unaofanywa na mitandao ya intaneti ya Marekani.
-
Balozi wa Iran UN: Rais wa Marekani achukue hatua ya kwanza
Jan 26, 2021 07:35Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mpango wowote wa kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Marekani Joe Biden, lakini inasubiri serikali mpya ya Washington ichukue hatua ya kwanza ya kuliondolea taifa hili vikwazo na kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Ripoti: Polisi ya Marekani imeua makumi ya Wamarekani weusi tokea 2015
Jan 26, 2021 07:25Uchunguzi mpya umefichua kuwa, makumi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika wameuawa na polisi ya nchi hiyo tokea mwaka 2015.
-
Guterres : COVID-19 imetufunza hatuwezi kupuuza hatari, ataka chanjo igaiwe kiuadilifu
Jan 26, 2021 07:13Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema kuwa maambukizi ya kirusi cha corona na kuenea ugonjwa wa COVID-19 pamoja na mabadiliko ya hali ya hewa, ni changamoto mbili kuu ulizoikumbwa dunia hivi sasa.
-
Mkuu wa majeshi Uhispania ajiuzulu kwa kudunga chanjo ya corona bila kuwemo kwenye orodha
Jan 25, 2021 12:34Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Uhispania Jenerali Miguel Angel Villaroya amejiuzulu wadhifa wake kufuatia sakata la kupatiwa chanjo ya corona wakati hayumo kwenye orodha ya watu wenye kipaumbele cha kupatiwa chanjo hiyo.
-
Kremlin yakosoa uingiliaji kati wa Marekani katika maandamano huko Russia
Jan 25, 2021 03:03Msemaji wa ikulu ya Russia (Kremlin) ameyataja matasmhi ya uingiliaji kati ya Marekani kuhusu maandamano yaliyo kinyum cha sheria huko Russia kuwa ni uingiliaji wa masuala ya ndani ya Moscow.
-
Wamarekani wakatishwa tamaa na chanjo ya corona ya Pfizer
Jan 25, 2021 02:30Baada ya kuvunja rekodi na kuongezeka sana idadi ya maambukizi na vifo vya wagonjwa wa COVID-19 nchini Marekani licha ya chanjo iliyopigiwa propaganda kubwa ya shirika la Kimarekani la Pfizer kuanza kutumika nchini humo, idadi kubwa ya wananchi wa nchi hiyo sasa wamekatishwa tamaa na utendaji kazi wa chanjo hiyo.
-
Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya
Jan 25, 2021 02:29Licha ya kuongezeka kila siku hitilafu baina ya Uturuki na Umoja wa Ulaya lakini bado viongozi wa Ankara wanafuatilia juhudi za kupewa uanachama katika umoja huo.
-
Seneta wa Republican mwenye ushawishi mkubwa: Marais wastaafu Wademocrat pia watakuja kusailiwa
Jan 24, 2021 13:48Mmoja wa Maseneta wa chama cha Republican wenye ushawishi mkubwa nchini Marekjani ameonya kuwa, "marais waliopita Wademocrat" pia wataweza kuja kusailiwa iikiwa Baraza la Seneti litaendelea na mpango wake wa kumsaili aliyekuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump.