Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Quds

  • Mufti wa Quds ataka kuchukuliwa hatua za kukabiliana na hujuma dhidi ya Masjdul-Aqswa

    Mufti wa Quds ataka kuchukuliwa hatua za kukabiliana na hujuma dhidi ya Masjdul-Aqswa

    Apr 15, 2021 08:19

    Mufti wa Quds na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amewataka viongozi wa mataifa ya Kiarabu, ya Kiislamu na wananchi wa mataifa hayo kuchukua hatua za haraka za kusitisha hujuma za utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa.

  • Wapalestina wakasirishwa na kitendo chha Wazayuni cha kuzuia adhana kwa kutumia vipaza sauti

    Apr 14, 2021 11:29

    Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukata nyaya za vipaza sauti katika Msikiti wa al-Aqswa na kuzuia kuadhiniwa kwa kutumia vipaza sauti.

  • Waislamu wahamakishwa na hatua ya Kosovo kufungua ubalozi Quds

    Mar 15, 2021 10:50

    Waislamu wameghadhabishwa mno na kitendo cha Kosovo kufungua ubalozi wa nchi hiyo ndogo ya Ulaya katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Wanajeshi wa Israel wamkamata Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa

    Mar 10, 2021 12:25

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemkamata Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).

  • Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds

    Feb 27, 2021 12:07

    Mufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.

  • Manung'uniko baada ya Equatorial Guinea kusema itahamishia ubalozi wake Quds

    Feb 20, 2021 12:42

    Hatua ya mtawala wa muda mrefu wa Equatorial Guinea kusema kuwa nchi hiyo itauhamishia ubalozi wake mjini Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel kutoka Tel Aviv imekosolewa vikali ndani ya nje ya nchi.

  • Wazayuni waendelea kuchimba mashimo na kubomoa Msikiti wa Al-Aqswa

    Dec 12, 2020 02:59

    Wazayuni wamekithirisha njama zao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa kwa kuendelea kuchimba mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea KATIKA msikiti huo mtakatifu ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Mwakilishi wa mfalme wa Bahrain aingia msikiti wa Al Aqsa kwa kificho kwa kuwahofu Wapalestina

    Nov 30, 2020 11:25

    Mwakilishi wa Mfalme wa Bahrain na wenzake aliofuatana nao wameingia msikiti wa Al Aqsa kwa kujificha wakihofu wasije wakatambuliwa na Wapalestina.

  • Tangazo la biashara la shirika la ndege la UAE lapotosha jina la Msikiti wa Al Aqsa

    Nov 17, 2020 05:37

    Shirika la ndege la taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu limepotosha jina la msikiti wa Al Aqsa katika filamu ya tangazo la biashara lililotoa kutangaza safari zake kuelekea ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina zilizopewa jina la Israel.

  • Malawi kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufungua ubalozi Quds inayokaliwa kwa mabavu

    Nov 05, 2020 03:57

    Malawi inatazamiwa kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufuata mkumbo wa Marekani wa kufungua ubalozi katika mji mtukufu wa Quds huko Palestina unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi

Habari Kuu

  • Iran yazidisha kasi katika mipango ya kuunda chanjo ya corona ndani ya nchi
    Iran yazidisha kasi katika mipango ya kuunda chanjo ya corona ndani ya nchi
    1 hour ago
  • Ethiopia: File na bwawa la Renaissance si kadhia ya kimataifa
  • UN: Eritrea ikomeshe ukatili na mauaji Tigray
  • Russia yaahidi kujibu mapigo baada ya kuwekewa vikwazo vipya vya Marekani
  • Wapalestina 4,500 wanashikiliwa katika korokoro za utawala ghasibu wa Israel

Chaguo La Mhariri

  • Kujaribiwa irada na nguvu ya Iran; kosa la kistratijia la Netanyahu
    Kujaribiwa irada na nguvu ya Iran; kosa la kistratijia la Netanyahu
    5 hours ago
  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu mazungumzo ya nyuklia; sharti la Iran, msingi wa kuhuishwa JCPOA
    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu mazungumzo ya nyuklia; sharti la Iran, msingi wa kuhuishwa JCPOA
    10 hours ago
  • Mauzo ya silaha ya serikali ya Biden kwa Imarati
    Mauzo ya silaha ya serikali ya Biden kwa Imarati
    1 day ago

Zilizotembelewa Zaidi

  • Wazayuni wana wasiwasi wa Iran kulipiza kisasi cha hujuma dhidi ya kituo cha nyuklia cha Natanz
  • Mkuu wa CIA: Marekani inajitia hatarini kuwaondoa askari nchini Afghanistan
  • Mauzo ya silaha ya serikali ya Biden kwa Imarati
  • Kujaribiwa irada na nguvu ya Iran; kosa la kistratijia la Netanyahu
  • Ansarullah yajibu mapigo baada ya Saudia kuua watoto wa Yemen kwa mabomu
  • Kimya cha IAEA baada ya uharibifu uliofanywa katika taasisi ya nyuklia ya Iran
  • Harakati ya Nujabaa: Kuendelea kuwepo kijeshi Marekani ndio hatari kubwa zaidi kwa Iraq
  • Admeri Khanzadi: Adui hana ubavu wa kuhujumu maji ya Iran
  • Ndege za kivita za Israel zashambulia Ukanda wa Ghaza
  • Rouhani: Urutubishaji urani hadi asilimia 60 ni jibu kwa shari
  • Kiongozi Muadhamu: Sera za Iran kuhusu JCPOA ziko wazi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS