Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

Quds

  • Jumanne, Juni 7, 2022

    Jumanne, Juni 7, 2022

    Jun 07, 2022 02:34

    Leo ni Jumanne, mwezi 7 Mfunguo Pili Dhulqaad 1443 Hijria, sawa na tarehe 7 Juni 2022 Milaadia.

  • Ismail Hania asisitiza kuuhami Msikiti wa al-Aqswa kwa kutumia nyenzo zote

    Ismail Hania asisitiza kuuhami Msikiti wa al-Aqswa kwa kutumia nyenzo zote

    Jun 06, 2022 10:11

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza udharura wa kutumiwa suhula na nyenzo zote kwa ajili ya kuulinda na kuuhamai Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa.

  • Wapalestina watolewa mwito wa kumiminika Msikiti wa Al Aqsa kukabiliana na njama ya wazayuni

    Wapalestina watolewa mwito wa kumiminika Msikiti wa Al Aqsa kukabiliana na njama ya wazayuni

    Jun 04, 2022 12:05

    Makundi mbalimbali ya Kipalestina yamewatolea mwito Wapalestina kukusanyika mnamo siku zijazo katika msikiti wa Al Aqsa kukabiliana na njama nyingine ya walowezi wa kizayuni.

  • Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu, jamii ya kimataifa kimya!

    Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu, jamii ya kimataifa kimya!

    Jun 03, 2022 10:42

    Licha ya kwamba taasisi mbalimbali za kimataifa zimetoa tangazo rasmi la kusisitiza kuwa Wazayuni hawahusiki kivyovyote vile na maeneo matakatifu ya Wapalestina ukiwemo Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu, lakini kila leo Wazayuni hao wanauvamia Msikiti huo na jamii ya kimataifa imekaa kimya ikiangalia kwa macho tu.

  • Khatibu wa Msikiti nwa al-Aqswa:

    Khatibu wa Msikiti nwa al-Aqswa: "Maandamano ya Bendera" katu hayataingia Masjidul-Aqswa

    May 29, 2022 03:25

    Khatibu wa Masjidul-Aqswa amesema kuwa, uamuzi wa Wazayuni wa kufanya "Maandamano ya Bendera" ni hatua ya kichochezi na amesisitiza juu ya udharura wa kuchukuliwa hatua ya kuwazuia Wazayuni hao kuingia katika msikiti matakatifu wa al-Aqswa.

  • Walowezi wa Kizayuni waendelea kuuhujumu Msikiti wa Al Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni waendelea kuuhujumu Msikiti wa Al Aqswa

    May 23, 2022 09:43

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Khalid Mash'al: Palestina haitaruhusu kutekelezwa njama za kuiyahudisha Masjdul-Aqswa

    Khalid Mash'al: Palestina haitaruhusu kutekelezwa njama za kuiyahudisha Masjdul-Aqswa

    May 18, 2022 07:47

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amesisitiza kuwa, Msikiti wa al-Aqswa ni eneo la kidini na ni la Kiislamu kikamilifu na kwamba, wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa njama chafu za kuliyahudisha eneo hilo takatifu.

  • Israel yampiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa  ; asema sitakaa kimya

    Israel yampiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa ; asema sitakaa kimya

    May 16, 2022 07:44

    Utawala wa Kizayuni umempiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa Sheikh Ikrima Sabri kutokanyaga katika eneo la msikiti huo kutokana na kile ulichokitaja kuwa hatua za Sheikh Sabri za kuuteteta Msikiti Mtukufu wa al Aqsa kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Balozi wa Palestina London aitaka Magharibi kukomesha unafiki

    Balozi wa Palestina London aitaka Magharibi kukomesha unafiki

    May 05, 2022 02:21

    Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina nchini Uingereza ameashiria kimya cha nchi za Magharibi mbele ya vitendo vya kikatili vinavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa na kueleza kuwa, Palestina itakombolewa kutokana na uungaji mkono mkubwa wa watu huru duniani.

  • HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu

    HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu

    May 04, 2022 11:52

    Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Wapalestina na kwamba Wazayuni hawapaswi kuuvuuka.

Onesha Zaidi

Habari Kuu

  • Ebrahim Raisi: Muqawama ndiyo njia pekee ya kutatua masuala ya Waislamu
    Ebrahim Raisi: Muqawama ndiyo njia pekee ya kutatua masuala ya Waislamu
    1 hour ago
  • Mwito wa amani watolewa huku Wakenya wakiendelea kusubiri matokeo ya urais
  • Watu 41 wapoteza maisha kufuatia moto ndani ya Kanisa la Koptik nchini Misri
  • Watetezi wa haki za binadamu walaumu Israel kwa kuwaua wafungwa wa Kipalestina
  • Afisa wa UN atembelea kambi ya Wakimbizi ya Rohingya nchini Bangladesh

Chaguo La Mhariri

  • Kukiri Mkuu wa Sera za Nje wa EU kwamba Magharibi imeonyesha undumakuwili katika kadhia za Ukraine na Gaza
    Kukiri Mkuu wa Sera za Nje wa EU kwamba Magharibi imeonyesha undumakuwili katika kadhia za Ukraine na Gaza
    3 hours ago
  • Onyo la Russia kuhusu uwezekano wa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Marekani
    Onyo la Russia kuhusu uwezekano wa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Marekani
    21 hours ago
  • Nyayo za mafia Waisraeli katika madai  ya Wizara ya Sheria ya Marekani dhidi ya IRGC
    Nyayo za mafia Waisraeli katika madai ya Wizara ya Sheria ya Marekani dhidi ya IRGC
    1 day ago

Zilizotembelewa Zaidi

  • Russia yaonya juu ya uwezekano wa kuvunja uhusiano na Marekani
  • Kissinger: US ipo katika ncha ya kuingia vitani na Russia, China
  • Marandi: Matukio kuhusu Bolton na Salman Rushdie yanatia shaka
  • Putin: Ushirikiano wetu na Pakistan utaimarisha usalama wa kikanda
  • Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi
  • Waturuki watabiri mwisho wa enzi za kisiasa za Erdogan
  • Vita vya Ukraine vyaongeza njaa Marekani, Biden alaumiwa
  • Nyayo za mafia Waisraeli katika madai ya Wizara ya Sheria ya Marekani dhidi ya IRGC
  • Onyo la Russia kuhusu uwezekano wa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Marekani
  • Ghalibaf: Muqawama wa Palestina umetoa bishara ya kuangamia utawala wa Kizayuni
  • Nyaraka 11 zikiwemo za "siri kubwa" zakutwa na FBI nyumbani kwa Trump
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS