Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika
  • Products

kikao

  • Umoja wa Ulaya washindwa kuiwekea Russia vikwazo vya mafuta; hitilafu zaongezeka

    Umoja wa Ulaya washindwa kuiwekea Russia vikwazo vya mafuta; hitilafu zaongezeka

    May 30, 2022 11:02

    Jitihada za Umoja wa Ulaya za kufikia muafaka kuhusu kutekeleza awamu ya sita ya vikwazo dhidi ya Russia zimegonga mwamba kwani Hungary ni moja ya wapinzani wakubwa zaidi wa mpango huo. Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Umoja wa Ulaya katika kikao chao maalumu cha Jumapili walijadili mpango wa kuzuia meli za mafuta za Russia kuingiza mafuta Ulaya lakini waruhusu mafuta hayo yaingie kwa mabomba. Hata hivyo mazungumzo hayo yalimalizika bila natija.

  • Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia

    Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia

    May 18, 2022 03:04

    Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kikao cha mawaziri wa umoja huo mjini Brussels Ubelgiji kwamba, hakuna uwezekano wa kufikiwa makubaliano kuhusiana na kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya Russia.

  • Mkutano usio na matunda wa Russia-NATO na kuongezeka kwa mizozo ya pande mbili

    Mkutano usio na matunda wa Russia-NATO na kuongezeka kwa mizozo ya pande mbili

    Jan 15, 2022 00:44

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Alexander Grushko, ameuambia mkutano wa waandishi wa habari mjini Brussels mwishoni mwa mkutano wa Russia na NATO siku ya Jumatano kwamba, hitilafu za pande mbili zilikuwa wazi na kwamba katika kikao hicho kumejitokeza hitilafu nyingi.

  • Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan na juhudi za kurejesha uthabiti nchini humo

    Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan na juhudi za kurejesha uthabiti nchini humo

    Oct 22, 2021 13:06

    Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan kilifanyika siku ya Jumatano ya tarehe 20 Oktoba kwa uwenyekiti wa Russia katika mji mkuu huo wa nchi hiyo.

  • Kikao cha kwanza cha nchi watetezi wa chata ya UN chafanyika New York

    Kikao cha kwanza cha nchi watetezi wa chata ya UN chafanyika New York

    Sep 24, 2021 03:05

    Kikao cha kwanza cha kundi la urafiki la nchi watetezi wa hati ya Umoja wa Mataifa kimefanyika mjini New York sambamba na mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaoendela huko Marekani.

  • Majirani wa Libya wamaliza mkutano wao; wasisitiza kutopatiwa silaha mamluki

    Majirani wa Libya wamaliza mkutano wao; wasisitiza kutopatiwa silaha mamluki

    Sep 01, 2021 11:16

    Kikao cha mataifa jirani na Libya kilichokuwa kikifanyika nchini Algeria kimemalizika huku washiriki wa mkutano huo wakisisitizia ulazima wa kuzuia kupatiwa silaha mamluki na wakati huo huo kukabiliana na hatua za kuzusha mifarakano miongoni mwa Walibya.

  • Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu Afghanistan

    Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu Afghanistan

    Aug 07, 2021 11:28

    Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu machafuko yanayoendelea nchini Afghanistan kilifanyika jana Ijumaa mjini New York.

  • Mgogoro wa wakimbizi; italia yataka kuitishwe kikao maalumu cha kutafuta suluhisho

    Mgogoro wa wakimbizi; italia yataka kuitishwe kikao maalumu cha kutafuta suluhisho

    Aug 06, 2021 02:24

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Italia ametoa wito wa kuitishwa kikao maalumu cha kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa wakimbizi na kugawana wakimbizi hao baina ya nchi za Ulaya kwa uadilifu.

  • Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel

    Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel

    Jul 11, 2021 08:22

    Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameonana na wakuu wa nchi tano za eneo la Sahel ya Afrika ambazo ni Chad, Mali, Burkina Faso, Mauritania na Niger. Ingawa kikao hicho kimefanyika kwa njia ya Intaneti, lakini Rais Mohammad Bazoum wa Niger yeye ameshiriki kikao hicho akiwa ziarani nchini Ufaransa.

  • Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia

    Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia

    Jun 11, 2021 02:06

    Rais Joe Biden wa Marekani Jumatano wiki hii aliekelea barani Ulaya ikiwa safari yake ya kwanza nje ya nchi baada ya kushika hatamu za uongozi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS