-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani yaafiki kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudia
Dec 30, 2020 06:17Katika mwendelezo wa siasa za White House zinazolenga kuuza silaha zaidi; Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa imeafiki kutekelezwa mikataba ya kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudi Arabia.
-
Kuwait: Jukumu la usalama wa Ghuba ya Uajemi ni la nchi zote za eneo hilo
Dec 15, 2020 11:34Waziri Mkuu wa Kuwait amesema kuwa, suala la kulinda usalama wa Ghuba ya Uajemi ni jukumu la nchi zote za eneo hilo na hakuna nchi yoyote inayoweza kujivua na jukumu hilo.
-
Emir wa Kuwait akubali hatua ya serikali kujiuzulu
Dec 07, 2020 01:17Emir wa Kuwait Sheikh Nawaf Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah ameafiki hatua ya kujiuzulu serikali ya nchi hiyo. Kujiuzulu serikali nchini Kuwait ni jambo la kawaida ambalo hufanyika baada ya uchaguzi. Siku ya Jumamosi uchaguzi wa bunge ulifanyika nchini Kuwait.
-
Iran yatuma salamu za rambi rambi baada ya kuaga dunia Amir wa Kuwait
Sep 30, 2020 08:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia Sheikh Swabah al-Ahmad Jabir as-Swabah, Amir wa Kuwait.
-
Amir wa Kuwait, Sheikh Sabah (91) aaga dunia nchini Marekani
Sep 30, 2020 04:39Amir wa Kuwait, Sheikh Sabah al-Ahmad al-Jaber al-Sabah ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 91.
-
Mirengo ya siasa Kuwait yakanusha kujiunga na mkumbo wa kutangaza uhusiano na Wazayuni
Sep 20, 2020 11:21Mirengo mbalimbali ya kisiasa ya Kuwait imekanusha madai ya rais wa Marekani, Donald Trump aliyedai kuwa nchi hiyo nayo itajiunga karibuni hivi katika mkumbo wa kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni.
-
Msafara wa silaha na zana za kijeshi za Marekani kutoka Kuwait waingia Basra, Iraq
Aug 17, 2020 13:14Duru moja ya masuala ya usalama ya Iraq imeripoti kuwa, msafara wa malori ya kijeshi ya Marekani yaliyosheheni silaha na zana nyingi za kijeshi umeingia katika ardhi ya nchi hiyo kwa lengo la kuhamishia silaha na zana hizo katika kituo cha kijeshi cha Ainul-Asad.
-
Spika wa Bunge la Kuwait ataka nchi za Kiarabu zikabiliane na Israel
Jul 05, 2020 03:46Spika wa Bunge la Kuwait ametaka nchi za Kiarabu zichukue hatua kali za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuteka maeneo zaidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ijumaa tarehe 19 Juni mwaka 2020
Jun 19, 2020 02:29Leo ni Ijumaa tarehe 27 Shawwal 1441 Hijria sawa na Juni 19 mwaka 2020.
-
Iran: Tuko tayari kuwanufaisha wengine uzoefu tuliopata wa kukabiliana na corona
May 02, 2020 07:52Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyanufaisha mataifa mengine uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19.