Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Kuwait

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Kuwait azuiwa kusafiri nje ya nchi kwa tuhuma za ufisadi

    Mar 30, 2021 08:02

    Mahakama ya Mawaziri inchini Kuwait imempiga marufuku kusafiri nje ya nchi Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo. Jaber al Mubarak al Hamad all Sabah anakabiliwa na kesi ya ufisadi wa mamia ya mamilioni ya dinari za mfuko wa hazina wa jeshi la nchi hiyo.

  • Spika wa Bunge la Kuwait: Nchi yetu inapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Jan 20, 2021 07:51

    Spika wa Bunge la Kuwait amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba, msimamo wa nchi yake kuhusiana na Palestina uko thabiti na si wenye kubadilika na kwamba, nchi hiyo inapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani yaafiki kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudia

    Dec 30, 2020 06:17

    Katika mwendelezo wa siasa za White House zinazolenga kuuza silaha zaidi; Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa imeafiki kutekelezwa mikataba ya kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudi Arabia.

  • Kuwait: Jukumu la usalama wa Ghuba ya Uajemi ni la nchi zote za eneo hilo

    Dec 15, 2020 11:34

    Waziri Mkuu wa Kuwait amesema kuwa, suala la kulinda usalama wa Ghuba ya Uajemi ni jukumu la nchi zote za eneo hilo na hakuna nchi yoyote inayoweza kujivua na jukumu hilo.

  • Emir wa Kuwait akubali hatua ya serikali kujiuzulu

    Dec 07, 2020 01:17

    Emir wa Kuwait Sheikh Nawaf Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah ameafiki hatua ya kujiuzulu serikali ya nchi hiyo. Kujiuzulu serikali nchini Kuwait ni jambo la kawaida ambalo hufanyika baada ya uchaguzi. Siku ya Jumamosi uchaguzi wa bunge ulifanyika nchini Kuwait.

  • Iran yatuma salamu za rambi rambi baada ya kuaga dunia Amir wa Kuwait

    Sep 30, 2020 08:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia Sheikh Swabah al-Ahmad Jabir as-Swabah, Amir wa Kuwait.

  • Amir wa Kuwait, Sheikh Sabah (91) aaga dunia nchini Marekani

    Sep 30, 2020 04:39

    Amir wa Kuwait, Sheikh Sabah al-Ahmad al-Jaber al-Sabah ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 91.

  • Mirengo ya siasa Kuwait yakanusha kujiunga na mkumbo wa kutangaza uhusiano na Wazayuni

    Sep 20, 2020 11:21

    Mirengo mbalimbali ya kisiasa ya Kuwait imekanusha madai ya rais wa Marekani, Donald Trump aliyedai kuwa nchi hiyo nayo itajiunga karibuni hivi katika mkumbo wa kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni.

  • Msafara wa silaha na zana za kijeshi za Marekani kutoka Kuwait waingia Basra, Iraq

    Aug 17, 2020 13:14

    Duru moja ya masuala ya usalama ya Iraq imeripoti kuwa, msafara wa malori ya kijeshi ya Marekani yaliyosheheni silaha na zana nyingi za kijeshi umeingia katika ardhi ya nchi hiyo kwa lengo la kuhamishia silaha na zana hizo katika kituo cha kijeshi cha Ainul-Asad.

  • Spika wa Bunge la Kuwait ataka nchi za Kiarabu zikabiliane na Israel

    Jul 05, 2020 03:46

    Spika wa Bunge la Kuwait ametaka nchi za Kiarabu zichukue hatua kali za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuteka maeneo zaidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS