Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Kuwait

  • Iran: Tuko tayari kuwanufaisha wengine uzoefu tuliopata wa kukabiliana na corona

    May 02, 2020 07:52

    Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyanufaisha mataifa mengine uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19.

  • Kesi za kwanza za Corona zaripotiwa Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan

    Feb 25, 2020 01:22

    Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan zimeripoti kesi za kwanza za ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona katika nchi hizo za eneo la Asia Magharibi.

  • Kuwait kuanzisha upya safari za ndege kwenda Yemen

    Dec 30, 2019 02:42

    Emad Al-Jalawi , Naibu wa Masuala ya Usalama na Amani ya Safari za Ndege na Uchukuzi nchini Kuwait amesema kuwa hivi karibuni safari za ndege kutoka nchi hiyo kwenda Yemen zitaanza.

  • Kuwait: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo

    Dec 14, 2019 03:06

    Mwakilishi wa Kuwait katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo.

  • Sababu za kujiuzulu serikali ya Kuwait

    Nov 16, 2019 02:42

    Waziri Mkuu wa Kuwait Jaber Al-Mubarak Al-Hamad Al-Sabah jana tarehe 14 Novemba alikabidhi hati ya kujiuzulu serikali yake kwa Amir wa nchi hiyo.

  • Maelfu ya raia wa Kuwait wafanya maandamano dhidi ya serikali

    Nov 07, 2019 12:59

    Maelfu ya raia wa Kuwait wamefanya maandamano makubwa kulalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kimaisha pamoja na sheria inayohusiana na uraia wa nchi hiyo.

  • Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran

    Nov 06, 2019 07:55

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Khaled al-Jarallah amesema nchi yake imezifikishia Saudi Arabia na Bahrain ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutaka amani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Jeshi la Kuwait lajiweka tayari kukabiliana na tukio lolote katika eneo

    Sep 19, 2019 07:03

    Jeshi la Kuwait limetoa taarifa na kueleza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hivyo vimeajiandaa kukabiliana na matukio na tishio lolote katika eneo.

  • Ripota wa UN: Matatizo ya ukosefu wa amani Nigeria yapewe mazingatio

    Sep 03, 2019 08:07

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa matatizo ya kiusalama ya Nigeria yametengeneza mgogoro ambao unahitajia kupewa mazingatio haraka iwezekanavyo, la sivyo utasababisha ukosefu wa usalama katika nchi nyingine za Kiafrika.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Marekani ndio chanzo hasa cha kukosekana amani katika eneo

    Aug 08, 2019 12:31

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, muungano wa kijeshi unaotaka kuundwa na Marekani wa kisingizio cha kudhamini usalama wa vyombo vya majini ndio utakaosababisha kuvurugika zaidi amani na usalama katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS