Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Products

Libya

  • Waziri Mkuu wa Libya atakiwa kuunda haraka serikali ya mpito

    Feb 25, 2021 03:51

    Baraza Kuu la Serikali ya Libya limemtaka Abdulhamid al-Dabaiba Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuunda serikali yake haraka iwezekanavyo.

  • Serikali ya mpito ya Libya yafanya kikao chake cha kwanza tangu kuchaguliwa

    Feb 22, 2021 02:56

    Ofisi ya habari ya waziri mkuu wa serikali ya mpito ya Libya imetangaza kuwa kikao cha kwanza cha serikali hiyo kimefanyika baada ya wajumbe wake kuchaguliwa kupitia baraza la mazungumzo lililofanyika mjini Geneva, Uswisi.

  • Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Feb 11, 2021 12:27

    Gadi ya Pwani ya Libya imefanikiwa kuwaokoa wahajiri haramu 1,500 waliokuwa hatarini kuzama katika maji ya pwani ya magharibi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja iliyopita.

  • Majukumu ya mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya na changamoto zake

    Feb 10, 2021 23:34

    Hatimaye Ján Kubiš, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ameanza kazi zake rasmi ikiwa ni baada ya kupita miezi kadhaa ya mazungumzo ya amani ya nchi hiyo ya kaskazni mwa Afrika na mwezi mmoja tangu ateuliwe kushika wadhifa huo.

  • Mjumbe mpya wa Umoja wa Mataifa kuhusu Libya aanza kazi rasmi

    Feb 08, 2021 15:37

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Libya leo Jumatatu, Februari 8, 2021 ameanza kazi rasmi.

  • Waziri Mkuu mpya wa Libya apewa siku 21 kuunda serikali

    Feb 06, 2021 13:52

    Waziri Mkuu mpya wa Libya amepewa siku 21 kuwa ametangaza serikali mpya baada ya kupasishwa kwa wingi wa kura za baraza la mazungumzo ya amani ya Libya.

  • Menfi achaguliwa rais wa muda nchini Libya, al-Dabaiba waziri mkuu

    Feb 06, 2021 04:46

    Mohammed al-Menfi amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Baraza la Urais la Libya huku Abdulhamid al-Dabaiba akichaguliwa kuwa waziri mkuu katika zoezi ambalo limesimamiwa na Umoja wa Mataifa siku ya Ijumaa. Wajumbe kutoka kambi hasimu nchini Libya wameafiki kunda serikali hiyo ya mpito katika kikao ambacho kimefanyika karibu na mji wa Geneva nchini Uswisi.

  • Wanamgambo wa Haftar wapigana wao kwa wao katika mji wa Sirte, Libya

    Feb 02, 2021 11:16

    Duru za habari zimearifu kuwa, wanamgambo wanaoongozwa na Jenerali muasi Khalifa Haftar kamanda wa vikosi kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya wamepigana wao kwa wao katika mji wa Sirte huko Libya.

  • Wagombea wa Baraza la Urais la Libya watangazwa

    Jan 31, 2021 07:43

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametangaza orodha ya wagombea wa Baraza la Urais na kiti cha Waziri Mkuu nchini humo.

  • Maiti 139 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Jan 23, 2021 11:52

    Jumla ya maiti 139 zimegunduliwa katika makaburi ya umati katika mji wa Tarhauna, magharibi mwa Libya tokea mwezi Juni mwaka uliopita 2020 hadi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 20167 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Products
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS